Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Mkuu tunakupa ruhusa wewe usimuamini.

Tuachie Sisi watanzania tumuamini.
Siyo suala la mimi vs ninyi watanzania!Ni suala la ukweli/facts vs maneno matamu na ya kuhadhaa watu.Nchi huwa haiongozwi kwa maneno matamu na yanayotia matumaini bali huongozwa kwa mujibu wa sheria na kwa bahati mbaya tayari tuna sheria kandamizi na onevu ambazo zilitungwa na yeye mwenyewe akishirikiana na Magufuli.Kwa kuwa nchi huongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu tunataka Samia afute sheria hizo gandamizi badala ya kutupa maneno matamu ambayo hayaongozi nchi.Umenipata hapo?
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.


Huo ni mwanzo tu, huwezi futa sheria hizo ndani ya siku 18 !!!
 
Sasa ana wiki moja unaanza kumlaumu hivi
Namlaumu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu but the remaining is history!
 
Je ulitaka azibadikishe kwa usiku mmoja? Utaratibu ni kwamba hizi sheria lazima zipelekwe bungeni na kuzifutulia mbali. Nakubaliana na wewe sheria kandamizi zipo na haziitaji kuwepo kwenye jamii na dunia ya leo?
Namlaumu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu lakini yaliyokuja kutokea kila mtu ni shahidi!
 
Namlaumu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu lakini yaliyokuja kutokea kila mtu ni shahidi!
Kama kawaida yako mzee wa kupinga kila kitu[emoji1787]
Umeanza kumpinga hadi mama[emoji28]
 
I think hivo vitarudishwa Tena bungeni ka hyo Sheria ya mitandao, kanuni za mawasiliano ya kielectronic ni ya kufutwa kabisa hata hyo ya msajil ni ya kufutwa kabisa
Samia angekuwa na nia ya kuzifuta hizi sheria kandamizi angekuwa tayari ameshasema katika hutoba zake ambazo tayari ameshatoa.Hana nia ya kuzifuta na nakuhakikishia kuwa anaendelea pale alipoishia Magufuli.Mark these words!
 
Bora ya mama kuliko Jiwe Mara elfu, Mimi mwenyewe Nina furaha, tumpe mda
Namlaumu Mama na sikubaliani na maneno yake matamu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu but the remaining is history!
 
Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.

Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.

Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, yaani kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.

Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Kwa hiyo kwa siku 18 tu ulitaka hizo sheria kandamizi ziwe zimeisha zote kurekebishwa, wewe ungeweza?
Kimatendo, mama anaonekana kwa dhati kabisa anataka tuwe kwenye mstari, hatuwez kumuhukumu kwa siku hizi 18,lakini unaweza kutest hypothesis ukaona kabisa mwelekeo ni wenye matumaini.
Issue ya kuwaita wafanyabiashara wote walioondoka nchini kurudi kuwekeza, vyombo vya habari vilivyofungiwa kufunguliwa na sheria za habari kuwa wazi ili adhabu iwe dhahiri kwa atakaye vunja, mambo kama TRA kukusanya kodi kwa weledi bila kugandamiza watu, suala la kuunda kamati maalum itakayotoa mapendekezo ya jinsi ya kuendea suala la dunia(COVID 19) ni mwanzo mwema ambao Watanzania wengi wanaanza kupata matumaini.
Hopes pekee huleta FURAHA!
 
Tumpatie muda mama,sio rahis kufanya hayo kwa muda wa siku 18 kumbuka kuna Bunge la bajeti linaendelea ,so kufanya reformation ya hayo yote inahitaji muda pia.
Lakini angalau kuna mwanga tunaona.
Namlaumu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu but the remaining is history!
 
Sheria zitafwata ila kiongozi mkuu wa nchi neno lake ni faraja na pengine linaweza ku neutrialise sheria...tumeona kipindi cha JPM alikuwa ananguvu yakuikanyaga katiba na sheria hata Kama zimeandikwa kwene makaratasi...mm naamini raisi wa nchi neno lake Lina ukuu sana
Namlaumu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu but the remaining is history!
 
1.Sheria ya Mitandao ya mwaka 2015.

2.Kanuni za Mawasiliano ya Kieletroniki na ya Posta (Maudhui ya Mtandaoni) zilizopitishwa mwaka 2018 zinamtaka kila anaemiliki blogu au tovuti kulipa ada ya leseni hadi shilingi za kitanzania milioni 2.1 (zaidi ya Dola za Marekani 900). Sheria hii pia inadhibiti maudhui ya mtandaoni na kuruhusu uchunguzi wa mitandao bila usimamizi wa mahakama.

3.Serikali ya Tanzania pia inadhibiti utafiti binafsi na upatikanaji wa taarifa za takwimu kwa umma kupitia sheria ya Takwimu ya mwaka 2015, ambayo inawanyima wananchi vyanzo mbadala vya taarifa huru zilizothibitishwa. Wakati marekebisho ya sheria hii yaliyoletwa mwaka 2019 yameondoa dhima ya jinai kwa kuchapisha takwimu zisizo rasmi, mamlaka bado inadhibiti nani anayeweza kukusanya na kusambaza taarifa za takwimu na kuamua kipi ni sahihi au sio sahihi.

4.Januari 2019, Bunge lilifanya marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa na kuweka vikwazo vingi zaidi vya haki ya uhuru wa kushiriki na kukusanyika kwa amani. Marekebisho haya yalimpa Msajili wa Vyama vya Siasa nguvu ya kufuta vyama vya siasa, kuitisha taarifa kutoka vyama vya siasa na kusimamisha wanachama. Pia ilianzisha hitaji la mashirika na watu binafsi kupata kibali kabla ya kutoa elimu ya uraia, jambo ambalo linazuia haki ya mwananchi kupata taarifa.
Hayo yote mama kayazungumza! Kama unaweza kafungue hotuba yote Youtube, waendesha mitandao na vyombo vya habari wote ameagiza wafunguliwe, wafanyekazi ili mradi wafuate sheria, na sheria ziwe wazi.
 
Hayo yote mama kayazungumza! Kama unaweza kafungue hotuba yote Youtube, waendesha mitandao na vyombo vya habari wote ameagiza wafunguliwe, wafanyekazi ili mradi wafuate sheria, na sheria ziwe wazi.
Namlaumu Mama na sikubaliani na maneno yake matamu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu na yaliyokuja kutokea baadae kila mtu ni shahidi!
 
Hayati alikuwa na maadui wengi,toka amefariki zile story za baadhi ya watu kwamba watu wengi wanakufa kwa corona TZ hakuna tena...hii inaonesha wazi kwamba tatizo halikuwa corona bali hayati.
 
Namlaumu kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye mwenyewe pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Maneno yake matamu hayana faida yoyote kwetu kwa sababu siku zote maneno matamu huwa ni mtaji wa wanasiasa katika kuhadaa watu.Hata Hitler aliwapa maneno matamu wananchi wa Ujerumani hadi wakamuamini na kumpa uwaziri mkuu lakini yaliyokuja kutokea kila mtu ni shahidi!
Nigga learn to enjoy the moment.

Mabadiliko yanaanza na kukiri uwepo wa tatizo.

In_1617730684860.jpg
 
Back
Top Bottom