Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Yaani baadhi ya wenzetu sijui wana akili gani.

Wao wakiambiwa sheria ndogo tu kwamba wacha kunywa pombe basi hawatoweza kuamka asubuhi na kuacha, itabidi iwe ni mchakato kuacha hiyo pombe.

Ajabu wanataka mama akurupuke na kutafuta kila sheria hawajui kama ni mchakato
Tumpeni mama muda ,japo najua uongozi wowte huacha alama ,ila alama nzuri ni katika kumbukumbu nzuri.
 
weakness yake kubwa alikuwa anatumia nguvu akubalike.
angetumia busara kidogo watu wangekuwa na mawazo ya tofauti juu yake.
mama katoa tu kauli tyr. you can se the difference
Kuna tofauti kubwa ya mama na Magu.
Magu alkuwa one man show ameondoka wameanza kumnanga akina Nape na Kigwangala.lakini angeweka mfumo wala hakuna ambaye angemsema bure.
 
Kumpima Mama ndani ya wiki hizi mbili siyo sahihi kwa sababu hata Magufuli,Hitler,Mussolin na kadhalika ndani ya wiki mbili za mwanzo walianza vizuri sana.Magufuli ndani ya wiki mbili za uongozi wake alikuwa ni role model leader huko Ulaya,Marekani,South Afrika na kadhalika ila baadae alikuja kuwa kituko kinachovutia hadi utalii!


Sio kweli, tangu mwanzo Magu alionekana sio kiongozi mzuri, ni watu waliozama ndani ya pyschology ndio tuliweza/waliweza kugundua hilo mapema, mfano katika hali ya kawaida kama kiongozi mkuu (a stateman) anapotaka kumtumbua mtu huwezi kusimama mbele ya kadamnasi na kuwauliza watu walio mbele yako; "jamani nimtumbue au nisimtumbue" au unamsimanisha mtendaji hadharani na unamkejeli na kumvunjia heshima. Hizo ni miongoni mwa nyendo chache mbaya alizoanzanazo huyo mwendazake ambazo zilionyesha udhaifu mkubwa katika uongozi wake, huyo Mama hayupo hivyo ni Muungwana, msataarabu na ana hekima hata kabla hajawa VP tofauti na Mwendazake alipokuwa Waziri alikuwa ni mtu wa mihemuko nk.
 
Wewe mwananchi huwezi kuwa na maisha bora kama unaongozwa kwa sheria ambazo hazina nia ya kukupatia muongozo sahihi katika kujitafutia maisha bora.
Sheria pia zinahitaji utashi na nidhamu.

Unaweza kuwa na sheria nzuri ila haziheshimiki.

Katiba na sheria vinaruhusu shughuli za kisiasa ili ilikuwa ni haramu kufanya.

Sheria inataka mtuhumiwa kufikishwa mahakamani ndani ya saa 48 lakini polisi huwa wanamshikilia mtuhumiwa mpaka wiki tatu au mwezi.

Kwahiyo suala la katiba nzuri au sheria ni sehemu ndogo ya sukuhisho. Its not the ultimate solution.

Watu wa Kimara hawakubomolewa nyumba wakiwa na court conjuction mkononi ?? Je, hapo utasema tatizo ni sheria ?
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
 
Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA, siyo kwamba ameajiri HAPANA, siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge.

Kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.

Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.

Mafisadi pia mkae mbali na mama, Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu, Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu

Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .

Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Ni kawaida ya nyumbu
FB_IMG_1617728213402.jpg
 
Sheria pia zinahitaji utashibna nidhamu.

Unaweza kuwa na sheria nzuri ila haziheshimiki.

Katiba na sheria vinaruhusu shughuli za kisiasa ili ilikuwa ni haramu kufanya.

Sheria inataka mtuhumiwa kufikishwa mahakamani ndani ya saa 48 lakini polisi huwa wanamshikilia mtuhumiwa mpaka wiki tatu au mwezi.

Kwahiyo suala la katiba nzuri au sheria ni sehemu ndogo yavsukuhisho. Its not the ultimate solution.

Watu wa Kimara hawakubomolewa nyumba wakiwa na court conjuction mkononi ?? Je, hapo utasema tatizo ni sheria ?
The bad news ni kwamba unaweza kuwa na sheria nzuri zisiheshimike ila sheria mbaya hufuatwa zaidi.Yaani kukiwa na sheria mbaya huwa zinafuatwa zaidi kuliko kukiwa na sheria nzuri.Maana yake ni kwamba heri uwe na sheria nzuri ambazo haziheshimiki kuliko kuwa na sheria mbaya ambazo zinafuatwa sana.
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
subilin kufungiwa ndani palr covid itakapopamba moto,,pia mjiandae na chanjo,,yani wtz daa!!ni wagum sana kumuelewa maguful
 
Bora huyu mama hata kama hatujamjua kuliko mtu ambaye tulishamjua anapenda tuishi kama mashetani. 🤣🤣🤣🍺🍺 Ilkua inabidi tutoke saa kumi na mbili join na saa mbili usiku tusharudi home. Maisha mafupi jmn tunajengea vizazi vijavyo sawa lakini na sisi tule kidogo jamn
Hotuba ya mama yetu imetuganga majeraha mengi tuliyokuwa nayo.Tutafika!!!
 
The bad news ni kwamba unaweza kuwa na sheria nzuri zisiheshimike ila sheria mbaya hufuatwa zaidi.Yaani kukiwa na sheria mbaya huwa zinafuatwa zaidi kuliko kukiwa na sheria nzuri.Maana yake ni kwamba heri uwe na sheria nzuri ambazo haziheshimiki kuliko kuwa na sheria mbaya ambazo zinafuatwa sana.
Yes, ndio maana utashi ni kitu muhimu. Vitu vingine vitakuja vyenyewe tu.

Siyo kila kitu ni sheria.
 
Yes, ndio maana utashi ni kitu muhimu. Vitu vingine vitakuja vyenyewe tu.

Siyo kila kitu ni sheria.
Unamaanisha kuwa nchi iongozwe kwa utashi bila sheria?Are you kidding?Suala la sheria nzuri kutokufuatwa halihalalishi kuwa sheria nzuri hazina maana.
 
subilin kufungiwa ndani palr covid itakapopamba moto,,pia mjiandae na chanjo,,yani wtz daa!!ni wagum sana kumuelewa maguful
Haya ndiyo mambo makubwa ambayo alifanya Magufuli:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za TTCL na kuilazimisha TTCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.
 
Haya ndiyo mambo makubwa ambayo alifanya Magufuli:

1.Kuondoka duniani wakati hahitajiki.

2.Kuteka wapinzani wake kama akina Azory Gwanda.

3.Kutesa wapinzani wake kwa kuwaweka ndani kila siku.

4.Kuua wapinzani wake na wakosoaji wake kama akina Ben saanane na kuwapiga wapinzani wake risasi kama ilivyokuwa kwa Tindu Lissu.

5.Kuua uhuru wa vyombo vya habari.

6.Kuua uhuru wa kujieleza kwa wananchi kama vile kufungia mitandao ya kijamii kama twitter na kukamata wanaotumia mitandao mingine kumkosoa.

7.Kuiba kura kwa kutumia Polisi,jeshi,TISS pamoja na tume ya uchaguzi.

8.Kuua biashara za watu kupitia sera mbovu za uchumi.

9.Kudanganya katika takwimu za ukuaji wa uchumi wa nchi.

10.Kuweka mihimili yote mitatu mfukoni mwake,yaani mhimili wa urais,bunge na mahakama.

11.Kuua uchumi wa nchi kupitia sheria mbovu za uwekezaji.

12.Kuua watu kwa Corona kupitia leadership negligence.

13.Kuhakikisha kuwa akina Ben Saanane na Azory Gwanda walikipata cha mtema kuni.

14.Ukabila kwa kuhamishia rasilimali nyingi za nchi katika wilaya ya Chato na kujaza wasukuma serikalini.

15 Ukanda kwa kupeleka SGR mwanza wakati siyo economic viable zone.

16.Ubaguzi wa rangi kwa kuwakandia wanawake weusi.Imagine mtu anafanya ubaguzi wa rangi karne ya 21!Is this not insane?

17.Kugandamiza demokrasia kwa kukataza vyama vya upinzani kufanya siasa wakati CCM kufanya siasa ni ruksa.

18.Kunyanyasa malaika-watoto wa kike wasirudi shule wakipata mimba.

19.Ufisadi wa kutisha kwa kufanya miradi mikubwa bila budget kupita bungeni.

20.Wizi wa kutisha wa mali ya uma kupitia kampuni yake ya Mayanga constructions LTD.Mfano uwanja wa Chato umetengenezwa na kampuni hii bila tenda kuitwa.

21.Kubambikizia kesi za kuhujumu uchumi wapinzani wake nchi nzima na kuwatupa korokoroni.

22.Kugushi report ya CAG ya hasara za mabilion za ndege za TTCL na kuilazimisha TTCL watoe gawio fake kwa serekali.

23.Kupora utajiri halali na wa jasho wa matajiri wa Tanzania kwa kuwabambikizia kesi fake za kuhujumu uchumi na kuwalazimisha wakiri makosa ya uwongo kisha kuwafilisi mali zao.
Jamaa alikuwa mbaguzi kuliko hata makaburu.
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Sheria za magufuli zimekufa na magufuli brother,niambie Samia kavunja sheria ipi ya Nchi hadi sasa? Itakapofikia akakengeuka tutamsema tu,Mungu atupe uhai,ila hadi hapa angalau anatupa matumaini!!
 
Back
Top Bottom