Relief Mirzska
JF-Expert Member
- Jun 13, 2017
- 13,992
- 22,396
Mama yetu kipenzi sio Hitler na wala hatakuwa HitlerWapi nimesema kuwa abadili sheria kwa siku moja?Nilichomaanisha mimi ni kwamba kumsifia Samia au kuwa na matumaini nae kwa sababu ya maneno yake matamu siyo sahihi kwa sababu hata Hitler alihadhaa watu kwa maneno yake matamu na watu wakamuunga mkono katika kumfanya kuwa waziri mkuu wa German kumbe moyoni alikuwa na agenda nyingine.Mtaji wa wanasiasa ni maneno yao matamu.Hatupaswi kabisa kuwaamini wanasiasa katika maneno yao matamu bali tunapaswa kuwaamini katika sheria wanazosimamia.
Mimi namlaumu sana Mama na sikubaliani nae kwa maneno yake matamu na kwa matumaini yake kwa sababu Taifa huwa linaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa mujibu wa maneno matamu.Yeye leo alipaswa atoe ahadi kuwa atafuta sheria zote kandamizi ambazo alitunga yeye pamoja na magufuli ila hakufanya hivyo.Hilo ndilo ambalo lingetupa matumaini.Ndugu ni vema ukapunguza chuki na mihemko binafsi ambayo wala haina maana. Cha kwanza kabisa hua inaanza dhamira na kisha ndo hatua au utekelezaji. Mama tayari amekwisha tuonesha dhamira sasa twasubiri utekelezaji. Kitendo cha kuonesha dhamira pekee haijalishi alikua katika mfumo ama lah! Yeye ndie mwenye mamlaka hivyo atakua chachu ya utekelezaji wa Yale yote ambayo wananchi wake wanayatarajia.
Ni kweli zipo sheria kandamizi ambazo bado hazijafanyiwa mabadiliko na pia wapo watendaji ambao pia kwa namna moja au nyingine ndo walichangia kuvuruga sheria pamoja na mambo mengi lakini ukumbuke hivi vyote haviwezi kubadilika kwa pamoja. Vitabadilika lakini ni kwa awamu.
Awamu ya kwanza mama ameanza kwa kuwapa matumaini wale wote ambao waliathiriwa na utawala wa mzee yule, hatua ya pili ni kubadilisha baadhi ya wizala na mambo mengine kama hayo. Hatua zitakazofuata ni kuwaondoa baadhi ambao hawataonekana kubadilika.
Kwahiyo tumuunge mkono maadam ameonesha nia na pale atakapobadili ile nia ambayo alituahidi awali hapo ndipo tunaweza kuleta mashinikizo mbalimbali ila ukianza tu kusema ooh! Yule hatobadilisha kitu Mara yule ndo walewale CCM utakua haupo sahihi.
Yaaan katika kila komenti zako tu ndo zina maono kwa taifa. Nimegundua watanzania wengi hatujui nn kinatakiwa ili inchi isonge. Tumesahau hotuba ya hayati 2015. Baadae hao hao wakaanza kumsema vibaya.Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.
Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.
Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, yaani kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.
Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Kwa sheria kandamizi na onevu zilizopo sasa hivi ambazo alitunga yeye pamoja na Magufuli ambazo ndizo anatumia kuongoza nchi kwa sasa hivi,anaweza kuwa zaidi ya Hitler.Mama yetu kipenzi sio Hitler na wala hatakuwa Hitler
Endelea kufikiria ujinga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kwa sheria kandamizi na onevu zilizopo sasa hivi ambazo alitunga yeye pamoja na Magufuli ambazo ndizo anatumia kuongoza nchi kwa sasa hivi,anaweza kuwa zaidi ya Hitler.
Usiforce tufananeMkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.
Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.
Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, yaani kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.
Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Askofu Rashid akaee mbali Kabsaa na mama yetuNdani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA, siyo kwamba ameajiri HAPANA, siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge.
Kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.
Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.
Mafisadi pia mkae mbali na mama, Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu, Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu
Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .
Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Hapo ndo ujue watu hawana jemaUnavyosema maneno tu unakosea
1. Ameongelea sana kuongeza uwekezaji haya sio maneno tu ni mipango
2. Kachagua makamu mzuri
3. Kaanza kushughulikia Corona
4. Kushughulikia mambo ya muungano
5. Kuchagua waziri mpya wa mambo ya nje
6. Kutoa wanasiasa na kuweka wafanyakazi wenye uwezo mfano kubadili katibu mkuu wa nchi
7. Kubadilisha mifumo ili isitegemea watu tumeona Raisi kafariki! mifumo imara ni mizuri
8. Uhuru zaidi wa vyombo vya habari
9. Kupunguza uhasama na wapinzani
ameenNdani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA, siyo kwamba ameajiri HAPANA, siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge.
Kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.
Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.
Mafisadi pia mkae mbali na mama, Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu, Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu
Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .
Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA, siyo kwamba ameajiri HAPANA, siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge.
Kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.
Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.
Mafisadi pia mkae mbali na mama, Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu, Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu
Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .
Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Nyie ndiyo wale wanafiki wachumia tumbo tunaowataka mkae mbali kabisa na MAMA!! Si ndiyo nyie mlitaka fedhuli arefushiwe muda wa kutunyanyasa zaidi? Mungu amewakatalia,kaeni mbali na samia,msijempaka kinyesi chenu bata nyie,ni mwana ccm sawa,hata hivyi ccm si binaadamu flani,hata hiyo ilani ya ccm nyie makapurwa hamjui iliandikwa na nani na kwa malengo gani,mlishangilia watu kuuliwa,watu kufilisiwa,kubambikiwa kesi za ajabu ajabu,kuporwa,nk,Samia amesema wazi kuwa hayo mambo hataki!! Hilo tu linamtofautisha yeye na nyie mbwakoko,kwendeni huko!!!
Asante Sana Mkuu.1.Sheria ya Mitandao ya mwaka 2015.
2.Kanuni za Mawasiliano ya Kieletroniki na ya Posta (Maudhui ya Mtandaoni) zilizopitishwa mwaka 2018 zinamtaka kila anaemiliki blogu au tovuti kulipa ada ya leseni hadi shilingi za kitanzania milioni 2.1 (zaidi ya Dola za Marekani 900). Sheria hii pia inadhibiti maudhui ya mtandaoni na kuruhusu uchunguzi wa mitandao bila usimamizi wa mahakama.
3.Serikali ya Tanzania pia inadhibiti utafiti binafsi na upatikanaji wa taarifa za takwimu kwa umma kupitia sheria ya Takwimu ya mwaka 2015, ambayo inawanyima wananchi vyanzo mbadala vya taarifa huru zilizothibitishwa. Wakati marekebisho ya sheria hii yaliyoletwa mwaka 2019 yameondoa dhima ya jinai kwa kuchapisha takwimu zisizo rasmi, mamlaka bado inadhibiti nani anayeweza kukusanya na kusambaza taarifa za takwimu na kuamua kipi ni sahihi au sio sahihi.
4.Januari 2019, Bunge lilifanya marekebisho ya Sheria ya Vyama vya Siasa na kuweka vikwazo vingi zaidi vya haki ya uhuru wa kushiriki na kukusanyika kwa amani. Marekebisho haya yalimpa Msajili wa Vyama vya Siasa nguvu ya kufuta vyama vya siasa, kuitisha taarifa kutoka vyama vya siasa na kusimamisha wanachama. Pia ilianzisha hitaji la mashirika na watu binafsi kupata kibali kabla ya kutoa elimu ya uraia, jambo ambalo linazuia haki ya mwananchi kupata taarifa.
Are you a joker ?Faraja itoke wapi? Vifurushi vimepanda wakati wake, mafuta ya kula lita 5 ni elfu 35 leo, mvua imegoma kunyesha tangu awe Rais. Niendelee?
Mkuu,Una uhakika zimeisha?Halafu toka aingie madarakani zile habari za Tanzia zimekwisha kabisa,hapo ndio utaujua uongo wa wafanyabiashara ya korona
Kipi ni ujinga?Endelea kufikiria ujinga[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Mdogo mdogo tutaweka mambo sawa.Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.
Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Wanaofurahia ni wale wapigaji na wenye akili za kuku.Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA, siyo kwamba ameajiri HAPANA, siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge.
Kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.
Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.
Mafisadi pia mkae mbali na mama, Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu, Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu
Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .
Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
AminaNa tunampenda Mama yetu rais wetu Samia Suluhu Hassan.
Mungu atamlinda na kila ubaya wa kila namna.
Yaan mafua na kifua cha safari hii ni sugu utatumia dawa weeeeeee lakini wapi hasa kwa watotoIla mafua yalikuweko bana tusibeze.