Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Ndani ya siku 18 za Mama Samia, Taifa limejawa na FURAHA ingawa hajagawa pesa barabarani wala kuongeza mshahara ila maneno tu ya faraja!

Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.

Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.

Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.

Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Anzisha cha kwako ili kifanye vizuri kuliko hivi vya sasa .

Odhis *
 
Kww
Mungu siyo Amsterdam wala Lisu
Kwa kifupi na kwamba Sasa hivi Jiwe hayupo kabisa
Sio kwamba kasafiri,
Sio kwamba kapumzika CHATO,
Sio kwamba anaumwa,
Sio kwamba Yuko likizo,
Yaani Ni kwamba Jiwe hayupo kabisa katika uso wa dunia,na hiyo ndio furaha ya Watanzania,mama Ni nyongeza tu ya furaha yao.
Jiwe hayupo aisee.
Yaani siamini,na wewe najua huamini,laakini
Jiwe hayupo.
 
Ni kawaida wanasiasa kupumbaza wananchi kwa maneno matamu.Hata madikteta hufanya hivyo.Hata Hitler alipumbaza watu kwa maneno matamu sana hadi wananchi wakampa kibali cha kuwa waziri mkuu ila baadae aliwabadilikia.Nchi huongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu.Mimi nitamuamini Mama tu kama ataenda kufuta sheria zote kandamizi ambazo alitengeneza yeye pamoja na Magufuli.
Mama atoe kauli ZILIZOSHIBA, tume ya kurudisha umoja wetu umeparaganyika sana.
Lissu alipwe haki zake zote.
Kufuta masheria yote ya ovyo.
Kuunda tume kuchunguza MAUJI, kutekwa kwa watu na Shambulio la LISSU.

Tumeishi na Serikali ya propaganda na yeye akiwemo ndani yake kwa miaka 6.
Kuendeleza propaganda zile zile, huku akiamini anafanya vyema, ni kujidharirisha na kukosa maarifa.

Au kama anaona sifa ya mwanamke kiongozi ni kupuyanga kwa maneno mengi bila kutekeleza, aendelee tu.
 
Sasa hivi katika Nchi ambazo wananchi wake wanaishi kwa furaha na Tanzania imo
 
Ndani ya siku 18 za Urais wa Samia Suluhu, nchi imejawa na FURAHA, siyo kwamba amepandisha mishahara HAPANA, siyo kwamba ameajiri HAPANA, siyo kwamba anagawa pesa huko mitaani HAPANA
bali ni MATAMSHI yake tu kama Kiongozi Mkuu wa nchi yanaendelea kuliponya taifa bila sindano wala vidonge.

Kwenye utawala uliopita taifa liligawanyika vipande vipande, taifa liliumizwa na hata yeye alijua ndiyo maana ameanza kwa kuliponya taifa kwa maneno yake kabla ya vitendo.

Nadhani mama huyu hahitaji kuomba aombewe bali sisi kama taifa kwa imani zetu bila kujali kipato, nafasi/cheo, kanda, kabila ama jinsia tuanze kumwombea afya njema, hekima, busara na nidhamu asiingiwe na kiburi huko mbeleni.

Mafisadi pia mkae mbali na mama, Wanasiasa vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Viongozi wa dini vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Watendaji wa serikali vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Wajinga wajinga mkae mbali na mama huyu, Waandishi wa habari vigeugeu mkae mbali na mama huyu, Matapeli wala rushwa mkae mbali na mama huyu

Hatufurahi kupitiliza ila angalau ukikutana watanzia watano, watatu kama sio wanne wanalotabasamu utasikia mama ....oohh mama ni mtu na nusu .

Mungu Mbariki Rais wetu Mama Samia Suluhu Hassan
Mungu atubariki Watanzania
Mungu Ibariki Tanzania.
Amina
 
Mkiamka ndotoni siku moja ndio mtajua hii furaha ya leo ni upepo tu utakaopita, watu wana mihemko sana.

Inashangaza sana kuona watu wanachanganywa akili na maneno tu, nasoma mpaka comment za viongozi wa upinzani naona wanaandika mambo ya kushangaza kabisa, never thought kama tuna wapinzani vichwa vyepesi namna hii.

Hawa wanachotaka ni kuendelea na mambo yao tu, wafanye biashara zao kwa amani baada ya kujichumia kupitia migongo ya "wapiga kura", yaani nasoma comments zote sijaona hata mmoja aliekumbuka Katiba Mpya leo, wote wanashangilia maneno ya mwenyekiti wa CCM, kumbe wanaishi kwa kudra za mwenyekiti wa CCM! ajabu sana.

Niwakumbushe tu, hata Kikwete nae alikuwa na maneno matamu kama haya ya leo. Watanzania tusipoamka badala yake tuendelee kuvitegemea hivi "vyama vya upinzani" tumeliwa.
Wewe kwa naoni yako ulitaka Wapinzani wafanye nn Mkuu?? Kwanza watu watoke kwenye gereza la fikra wawe huru. Uhuru wa kutoa na kuhoji mawazo ukishakuwepo basi suala au mchakato wa kuidai Katiba mpya utafuata. Kila jambo na wakati wake.
 
Unavyosema maneno tu unakosea
1. Ameongelea sana kuongeza uwekezaji haya sio maneno tu ni mipango
2. Kachagua makamu mzuri
3. Kaanza kushughulikia Corona
4. Kushughulikia mambo ya muungano
5. Kuchagua waziri mpya wa mambo ya nje
6. Kutoa wanasiasa na kuweka wafanyakazi wenye uwezo mfano kubadili katibu mkuu wa nchi
7. Kubadilisha mifumo ili isitegemea watu tumeona Raisi kafariki! mifumo imara ni mizuri
8. Uhuru zaidi wa vyombo vya habari
9. Kupunguza uhasama na wapinzani
Point[emoji106][emoji106][emoji106][emoji106][emoji106]
 
Sheria za Magufuli zimefutwa lini?Unaelewa kuwa sheria gandamizi za Magufuli zilitungwa na bunge na haziwi kufutika ni mpaka zifutwe na bunge?
Mkuu Mimi tayari nimekuelewa,na una hoja zenye mashiko.
Ila kwa Sasa naendelea kufurahia kutokuwepo kwa Raisi katili kabisa kuwahi Kutokea katika historia ya nchi yetu yenye upendo na amani.
Na ninadhani hili ndio furaha ya wengi.
Jiwe hayupo bana.Tuliishi kwa hofu aisee,alifanya Mambo ya kukera watu kwa makusudi.
 
Na
Mama atoe kauli ZILIZOSHIBA, tume ya kurudisha umoja wetu umeparaganyika sana.
Lissu alipwe haki zake zote.
Kufuta masheria yote ya ovyo.
Kuunda tume kuchunguza MAUJI, kutekwa kwa watu na Shambulio la LISSU.

Tumeishi na Serikali ya propaganda na yeye akiwemo ndani yake kwa miaka 6.
Kuendeleza propaganda zile zile, huku akiamini anafanya vyema, ni kujidharirisha na kukosa maarifa.

Au kama anaona sifa ya mwanamke kiongozi ni kupuyanga kwa maneno mengi bila kutekeleza, aendelee tu.
Nashawishika na hoja zenu,wewe,Bihaviorist na wengine.
Watu wamefurahi kutokuwepo kwa Jiwe Hadi wanapokea Kila ahadi bila kutafakari.
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.
Mpe muda. Ndiyo kwanza ameanza. Anaunda safu na alisema atatembelea sekta kwa sekta na huko nina imani atatoa maelekezo ya kina. Tusubiri Mkuu.
 
Taifa limejawa na furaha kwa sababu ni taifa la majuha.Ni punguani peke yake ndiye anaweza kumsifia Mama au kufikiri kuwa Mama ana nia njema na Tanzania kwa sababu bado anaongoza nchi kwa kutumia zile zile sheria kandamizi za Magufuli.

Nchi huwa inaongozwa kwa mujibu wa sheria na wala siyo kwa maneno matamu na ahadi za matumaini.Kuongoza nchi kwa maneno matamu na ahadi za matumaini wakati sheria ni mbovu na kandamizi hilo huwa ni changa la macho.Mama atakuwa na nia njema na Tanzania if and only if atafuta zile sheria kandamizi za Magufuli na kutunga sheria zinazoleta haki,usawa na ukuaji sahihi wa uchumi.

Nchi inaendeshwa na katiba. Lipa Kodi. Fanya Kazi. Hutapata Shida wala hutataka hata sababu ya kujua Rais kaamkaje. Mengine Ni ushabiki maandazi na kukosa Kazi.

Umepatia tu pale maneno matamu hayajengi nchi. Watanzania walishasikia maneno Bora na matamu toka lwa nyerere. Sasa Ni Kazi tu. Watanzania wengi wenye maneno kila siku mko mtandaoni, Sijui bundle mnatoa wapi. Amkeni fanyeni kazi. Ukiona barabara mbovu nk. Afya ndo unaweza kukumbuka na kuuliza Hivi Nani mkurugenzi. Nani mkuu wa Wilaya nk. Otherwise nobody cares so long as tuna Amani binafsi na majambazi hawana pa kukimbilia. Ndo mana i will always be proud of having a president by the name of JPM. Police wanafanya Kazi Lakini huwa wanaangalia kama Kiongozi wa juu Yuko serious ama legelege.

Unajua Kwanini mnasifia sana Sasa, Ni kwa kuwa bado mnataka JPM azungumziwe. All the best my Madam President Lead us.
 
Alafu hii corona ni kama gonjwa la ki freemason fulani kwa nini wanaokufa ni viongozi tuu wa serikali nawa dini fulani tuu kuwa siri gani hapo.
Hahahaa kwamba waislam hawafi,wamekufa sana sema viongozi wengi wa kiislam sio maaruf sana halafu akifa asubuhi wanazika jioni, alikufa SHARIF HAMAD
 
Back
Top Bottom