Puna
JF-Expert Member
- Oct 9, 2013
- 2,551
- 4,454
Mkuu ilo nalifahamu!Mantiki ya swali langu ni kuwa niliwahi sikia kule makato yalikuwa wakati wa kutoa pesa Tena ilikuwa kidogo ndio maana nimeuliza,Kama wanendelea na huo utaratibu basi kutakuwa na unafuu kuliko hao NMB na CRDB.Tozo ni kwa banks zzo