😡 Ndani ya siku tatu nimekatwa zaidi ya 20,000 kwenye account ya NMB kama government levy. Tuamke, tunaibiwa

😡 Ndani ya siku tatu nimekatwa zaidi ya 20,000 kwenye account ya NMB kama government levy. Tuamke, tunaibiwa

Huyu mama jamani mbona ana roho ya hiviii?? Sasa sitahesabiwa wala sitapiga kura
Kugoma kuhesabiwa ni kosa, unaweza kufungwa jela kwa miaka miwili 🐒
FZNjCkKX0AAC1IW.jpeg
 
Ccm Jamani Mpaka Lini
Viongozi Wanakula Kodi, Serikali Inawahudumia Hawaoni, Hawasikii
 
Roho inaniuma sana, juzi nilichukua statement nikauta wamekata 11,000 kama government levy

Baadaye nikapita JF nikakuta taarifa kua kuna tozo ya miamala ya kibenki tangu july

Jana, nime withdraw kiasi cha pesa, then leo kupitia statement fupi nimegundua kuna 10,010 imekatwa tena kama government levy baada ya kutoa hiyo pesa

Hii ni too much, huu ni wizi na hujuma dhidi yetu wananchi

Tuamke jamani. Kuna siku tutastuka mwenye account zetu hamna chochote, na hatutakua na popote pa kwenda kushitaki

Bora nichimbe shimo tu hapa niwe nahifadhi huku

[emoji35][emoji35][emoji35]
Mimi wamekata elfu 5 bila transaction yoyote...ni balaa
 
Mkuu ilo nalifahamu!Mantiki ya swali langu ni kuwa niliwahi sikia kule makato yalikuwa wakati wa kutoa pesa Tena ilikuwa kidogo ndio maana nimeuliza,Kama wanendelea na huo utaratibu basi kutakuwa na unafuu kuliko hao NMB na CRDB.
NBC makato ni yaani sh. 128 kama tozo ya serikali
 
Kuna swali kwenye sensa linakuhitaji useme unamiliki viwanja vingapi mashamba mangapi na thamani yake na ulivipataje yaani tukishajua tunaanza kudai kodi yetu
 
Maumivu niliyooo nayo achaa tu.mi machinga nikashawishiwa na crdb acc haina makato ya mwezi.na inaazia 3000 kufungua.....basi nikapata ka pesa nikaweka 30000 juzi nataka niongezee nikachukue hata ka mzigo nakuta helaa imebaki 14000 dah nilitaka kulia.sitakaa niweke hela benk Bora niweke nyumbani au kwenye cm
Na Hili Nalo mwende mkalitizame.
 
Huyu mama jamani mbona ana roho ya hiviii?? Sasa sitahesabiwa wala sitapiga kura
Ile mikopo wanayopewa Zanzibar unafikiri wale wala urojo wanalipa wale? Ni sisi ndio tunakamuliwa hivi tukalipe mikopo waliyopewa wale wala urojo
 
Back
Top Bottom