Isanga family
JF-Expert Member
- Feb 25, 2015
- 17,080
- 33,076
Mkuu hela ni ya wizi ilienda kufichwa shambani kwake watu wakachungulia fursa wakaaiba wakijua hawezi kuongea kitu ndio maana wale wezi walitekwa na kukalishwa kimya ila kule watu hawakai kimya HAWKS ndio kazi yao hiyo wakifanya uchunguzi watakuja na majibu na uchunguzi unatakiwa ufanyike na Rais asiwe madarakani...Again huu ni uzuzu at its best ,yaani ndege izuiliwe just for fun!,chanzo cha deni piga hodi pale magogoni au Lumumba wanajua, maana wanaendesha nchi with pure impunity, hapo SA president CR amekalia chupa wakati yeye ni victim!,fedha iliibiwa kutoka kwake sio mijizi tuliyokua nayo yanayoibia wananchi
Mkuu unadhan ndege ni km mbu kwmb ikitua haitaonekanaAlijuaje inaenda service na inapita huko?
Naunga mkono hoja yk mkuu!Pana jamaa alinunua BMW ikiwa aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo..
Kati ya Mimi na wewe na zuzu? Nimekuuliza chanzo Cha deni unakijua? Huu bdio upumbavu tunaotaka uwatoke mazwazwa kama wewe. Kwa taarifa Yako Hilo deni ni mipabgo ya wapigaji. Stay tunedAgain huu ni uzuzu at its best ,yaani ndege izuiliwe just for fun!,chanzo cha deni piga hodi pale magogoni au Lumumba wanajua, maana wanaendesha nchi with pure impunity, hapo SA president CR amekalia chupa wakati yeye ni victim!,fedha iliibiwa kutoka kwake sio mijizi tuliyokua nayo yanayoibia wananchi
Hakuna mswid huo ni mpango WA yule bwana tozo & co.Kwa mujibu wa Jiwe, ndege moja alinunua kwa bilion 400. Deni la huyo Mswid ni bilion 380. Kwa hiyo kuna kaziada ka bilion 20
Magufuli kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake ametuachia madeni na matatizo na uharibifu mkubwa ambao itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na uharibifu huu!Ukisoma kwa makini chanzo Cha kukamatwa ndege yetu huko Netherlands utaona wazi kuwa huu ni mchongo wa wazi kabisa.
Kwa niaba ya watanzania wazalendo nauliza ndege yetu ilifuata Nini Nethelands?
Jamaa anadai aliuza buffaloes; wafanyakazi wakaweka pesa kwenye sefu ila mmoja akaona haitakuwa salama kwenye sefu akaamua kuipeleka ndani Kwa presda na kuitunza chini ya kochi ambapo ni salama zaidi ππππMkuu hela ni ya wizi ilienda kufichwa shambani kwake watu wakachungulia fursa wakaaiba wakijua hawezi kuongea kitu ndio maana wale wezi walitekwa na kukalishwa kimya ila kule watu hawakai kimya HAWKS ndio kazi yao hiyo wakifanya uchunguzi watakuja na majibu na uchunguzi unatakiwa ufanyike na Rais asiwe madarakani...
Kwa hili napinga; hivi unakua hoyo kampuni iliyokamata ndege ilijiondoa yenyewe kwenye uwekezajji wa kiwanda Cha sukari?Magufuli kwa kipindi kifupi tu cha uongozi wake ametuachia madeni na matatizo na uharibifu mkubwa ambao itatuchukua miongo kadhaa kuondokana na uharibifu huu!
Wajiondoe wenyewe halafu waende mahakamani kudai kuondolewa?! Haya ni mambo ya Magufuli na yapo mengi tu yanajitokeza taratibu, tutaona mengi.Kwa hili napinga; hivi unakua hoyo kampuni iliyokamata ndege ilijiondoa yenyewe kwenye uwekezajji wa kiwanda Cha sukari?
Mdogo ni wewe ambaye uelewa wako mdogo wa siasa za nje.Kwa hiyo wwe watu wa Ulaya unawaona ni Malaika sana!!? Kumbe wwe bado mdogo hujawajuwa Wazungu vizuri!!
Shida ya waimba mapambio ndio hiiWajiondoe wenyewe halafu waende mahakamani kudai kuondolewa?! Haya ni mambo ya Magufuli na yapo mengi tu yanajitokeza taratibu, tutaona mengi.
Biashara yeyote inatakiwa alipe kodi na malipo makubwa yanafanyika bank yaani kuanzia laki moja rand ni ishu ya bank hiyo na SARS wapate kodi yao nachokwambia hapo pana madudu mengi kuliko unavyodhania sisi tuendelee na Kalyinda yetu Hawks watakuja na majibu sahihi karibuni tuu..Jamaa anadai aliuza buffaloes; wafanyakazi wakaweka pesa kwenye sefu ila mmoja akaona haitakuwa salama kwenye sefu akaamua kuipeleka ndani Kwa presda na kuitunza chini ya kochi ambapo ni salama zaidi ππππ
Nafikiri haliwezekani kwa mujibu wao huwa wanasema kuwa wadau au wateja husika hawapendi mkataba kuwa wazi kwa sababu za kibiashara.ifike wakati mikataba inayoingia Serikali yetu wananchi tushirikishwe moja kwa moja kwa kuiweka wazi nasi kutoa maon yetu. kama walivyofanya ktk rasimu ya Katiba. kila mkataba nakala ziwekwe wazi tuikague kwanza. vinginevyo hawa watu wasiozidi hata 500 watatuingiza jahanamu watu zaidi ya milion 60
Itafika siku tunaamka utasikia wamechukuwa uwanja wa ndege hakuna kuingia mpaka ulipie.Hivi hawaweza kuikamata Tayanesiko?
Mi nimekuelewa sana mkuuPana jamaa alinunua BMW ilipokua mbovu na ilikua ishamaliza muda wa kutengenezwa na kampuni tuliwasiliana nae nikaenda BMW wakampa gharama akaita mafundi wawili ilikua 2018 BMW X 6 aliita mafundi toka SA walipata ndege na vifaa wakarekebisha gari lake akailipa BMW maisha yakaendelea ila sisi kama Nchi mafundi wa ndege wao hawawezi kusafiri kutoka huko kuja kutengeneza mpaka ndege inawashwa bila abiria kuzunguka Dunia...pana uhuni mwingi sana hapo...