Kindred Spirit
JF-Expert Member
- Apr 4, 2023
- 260
- 375
Waw! Kumbe ni huko Lebanon wametembelewa na Watalii hao.
Yes
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Waw! Kumbe ni huko Lebanon wametembelewa na Watalii hao.
Kwa waislamu kusema uongo kwao ni Sunna na wanaita Taniya kwao kuongopa ni kawaida sana na ndiyo maana hata Waki pigwa sana vitani wao huita wameshinda na akifa wao husema ni shahid I!! Ndiyo maana mimi nawaambia wasitufanye sisi wote Mazuzu.Uwanja unaweza kubeba watu 50,000 tu hao mamilioni wamekaa wapi? Tujifunze kuepuka hizi exaggeration au tupende kupata taarifa kutoka credible sources.
Aljazeera wameripoti kuwa hakuzikwa kwa sababu za kiusalama ( kuhofia Muisraeli). Hata mrithi wake aliyeuwawa wiki moja baadaye alikuwa hajazikwa pia.
We fala kweli hizo ndege za Israel zimenda mpigia salute Nasurlah kama hujui.Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Hicho ni kisingizio tu Mbona leo ndege za Israel zimeruka sana juu ya anga la Beirut? Na wamezika tu kuna viungo walikuwa bado wanavitafuta na walipovipata ndipo ikaamliwa wazike waliogopa kumzika nusu nusu!!Aljazeera wameripoti kuwa hakuzikwa kwa sababu za kiusalama ( kuhofia Muisraeli). Hata mrithi wake aliyeuwawa wiki moja baadaye alikuwa hajazikwa pia.
Kwani wote wameingia uwanjani? Kwanza hizb walizuia watu kuingia waliingia hasa wageniUwanja unaweza kubeba watu 50,000 tu hao mamilioni wamekaa wapi? Tujifunze kuepuka hizi exaggeration au tupende kupata taarifa kutoka credible sources.
Leo tunazika shupavu aliongoza jahazi kwa 30+ years
Waarabu tu wanaruhusiwa kutafuna bikra 72 ila hawa wamatumbi big noKwani nani alikuwa hujui? Naomba kujua kama Gaidi Hassan Nasrallah naye atakabidhiwa wale Mabikira 72 awabikiri?
Hivi unajua Hezbollah wamepigwa sana pesa kwenye msiba huo? Walikuwa wanatoza pesa kuona tu jeneza hilo.Kwani wote wameingia uwanjani? Kwanza hizb walizuia watu kuingia waliingia hasa wageni
Washington wameihijitahid kufichaficha lakini kwa dunia yako unayowaamini hao hapo wameambia laki 450,000
Loading…
www.washingtontimes.com
Hicho ni kisingizio tu Mbona leo ndege za Israel zimeruka sana juu ya anga la Beirut? Na wamezika tu kuna viungo walikuwa bado wanavitafuta na walipovipata ndipo ikaamliwa wazike waliogopa kumzika nusu nusu!!
Kwani wote wameingia uwanjani? Kwanza hizb walizuia watu kuingia waliingia hasa wageni
Washington wameihijitahid kufichaficha lakini kwa dunia yako unayowaamini hao hapo wameambia laki 450,000
Loading…
www.washingtontimes.com
Ndio maana nika kuwekea Washington mimi hao siwafuatilii mimi nina source zangu za taarifaIt's hundreds of thousands not millions. Deal!
Ndege za magaidi wa Israel,ndio kawaida yao.Hata walipomtesa,kumsulubu Yesu,na kumuua,pia wzlishangilia na kumtemea mate,lakini iko siku,atawatia mikononi,ondoa wasiwasi.Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Hata walipomsulubu,kumpiga Yesu,na kumuua,hao magaidi Israel,walishangilia kwa,kumtemea mate na kumvalisha nepi.Lakini iko siku,atawatia mikononi,kwa,maana waislamu na wakristo,wanaamini yuko hai,mbinguni.Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Hapo Yesu kaingiaje?Ndege za magaidi wa Israel,ndio kawaida yao.Hata walipomtesa,kumsulubu Yesu,na kumuua,pia wzlishangilia na kumtemea mate,lakini iko siku,atawatia mikononi,ondoa wasiwasi.
Hata walipomsulubu,kumpiga Yesu,na kumuua,hao magaidi Israel,walishangilia kwa,kumtemea mate na kumvalisha nepi.Lakini iko siku,atawatia mikononi,kwa,maana waislamu na wakristo,wanaamini yuko hai,mbinguni.
Hawa.magaidi wa Israel,hata walipomsulubu na kumpiga Yesu;na kuvalusha nepi,na kumkita mkuki,na kumtemea mate,na kumuua,pia walishangilia,wasubiri kukutana naye.Kwa maana waislamu na wakristo,wanasema yuko hai,mbinguni.Ndege-vita za Israel zilivyokuwa zinawatia Jambajamba waliohudhuria mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah huko Beirut,Lebanon
Kwani nani alikuwa hujui? Naomba kujua kama Gaidi Hassan Nasrallah naye atakabidhiwa wale Mabikira 72 awabikiri?
Yesu pia walimsulubu na kumvalisha nepi,wakamuua,lakini iko siku,atawatia mikononi,hawa,magaidi wa IsraelHapo Yesu kaingiaje?