Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Ndege-vita za Israel(IAF) zatamba kwenye mazishi ya Hassan Nasrallah huko Beirut, Lebanon

Uwanja unaweza kubeba watu 50,000 tu hao mamilioni wamekaa wapi? Tujifunze kuepuka hizi exaggeration au tupende kupata taarifa kutoka credible sources.
Kwa waislamu kusema uongo kwao ni Sunna na wanaita Taniya kwao kuongopa ni kawaida sana na ndiyo maana hata Waki pigwa sana vitani wao huita wameshinda na akifa wao husema ni shahid I!! Ndiyo maana mimi nawaambia wasitufanye sisi wote Mazuzu.
 

Attachments

  • IMG_1160.jpeg
    IMG_1160.jpeg
    72.2 KB · Views: 1
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
We fala kweli hizo ndege za Israel zimenda mpigia salute Nasurlah kama hujui.
 
Aljazeera wameripoti kuwa hakuzikwa kwa sababu za kiusalama ( kuhofia Muisraeli). Hata mrithi wake aliyeuwawa wiki moja baadaye alikuwa hajazikwa pia.
Hicho ni kisingizio tu Mbona leo ndege za Israel zimeruka sana juu ya anga la Beirut? Na wamezika tu kuna viungo walikuwa bado wanavitafuta na walipovipata ndipo ikaamliwa wazike waliogopa kumzika nusu nusu!!
 

Attachments

  • IMG_7285.mp4
    13.3 MB
  • IMG_1733.jpeg
    IMG_1733.jpeg
    202 KB · Views: 1
Uwanja unaweza kubeba watu 50,000 tu hao mamilioni wamekaa wapi? Tujifunze kuepuka hizi exaggeration au tupende kupata taarifa kutoka credible sources.
Kwani wote wameingia uwanjani? Kwanza hizb walizuia watu kuingia waliingia hasa wageni
Washington wameihijitahid kufichaficha lakini kwa dunia yako unayowaamini hao hapo wameambia laki 450,000

 
Hicho ni kisingizio tu Mbona leo ndege za Israel zimeruka sana juu ya anga la Beirut? Na wamezika tu kuna viungo walikuwa bado wanavitafuta na walipovipata ndipo ikaamliwa wazike waliogopa kumzika nusu nusu!!

Hapana. Nasrallah alikufa akiwa intact kabisa maana alikuwa kwenye bunker, likely mshtuko au kuangukiwa na kifusi au kukosa hewa, vitu kama hivyo but hakuwa hata na jeraha. Inasemekana Israeli alifanya calculations sana kuona namna gani watamfikia kwenye bunker maana lilikuwa deep sana, ndege zililazimika kutupa mabomu several time eneo moja kuhakikisha kuna impact.

Walihitaji public funeral ambayo haikuwezekana back then. Imagine licha ya kusubiri muda muafaka bado Israel ameshow kwenye shughuli ya kumwaga , Israeli ana intelijensia hatari sana duniani. But walishakubaliana kufanya ceasefire, licha ya setback za hapa na pale it is safer now kufanya mkusanyiko kama ule.
 
Kwani wote wameingia uwanjani? Kwanza hizb walizuia watu kuingia waliingia hasa wageni
Washington wameihijitahid kufichaficha lakini kwa dunia yako unayowaamini hao hapo wameambia laki 450,000


It's hundreds of thousands not millions. Deal!
 
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Ndege za magaidi wa Israel,ndio kawaida yao.Hata walipomtesa,kumsulubu Yesu,na kumuua,pia wzlishangilia na kumtemea mate,lakini iko siku,atawatia mikononi,ondoa wasiwasi.
Ndege-vita za Jeshi la Israel leo hii zimekuwa zikitamba kwenye anga la Beirut wakati wa mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah aliyeuwawa na majeshi ya Israel Sept 27,2024 saa 12:21 jioni. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanja I hapo zikiwa kwenye speed na zikiwa kwenye “After-Burner” hivyo kusababisha mtafaruku mkubwa uwanjani hapo na ililazimu mtangazaji kuwatangazia watu watulie wasibabaike. Uwanjani hapo walikuwepo viongozi wakuu kutoka Yemen,Iran na nchi zingine zinazounga mkono Magaidi hao wa Hezbollah. Ndege hizo zilikuwa zikipita uwanjani hapo zikiwa kwenye Formation ya Arrowhead
Hata walipomsulubu,kumpiga Yesu,na kumuua,hao magaidi Israel,walishangilia kwa,kumtemea mate na kumvalisha nepi.Lakini iko siku,atawatia mikononi,kwa,maana waislamu na wakristo,wanaamini yuko hai,mbinguni.
 
Ndege za magaidi wa Israel,ndio kawaida yao.Hata walipomtesa,kumsulubu Yesu,na kumuua,pia wzlishangilia na kumtemea mate,lakini iko siku,atawatia mikononi,ondoa wasiwasi.

Hata walipomsulubu,kumpiga Yesu,na kumuua,hao magaidi Israel,walishangilia kwa,kumtemea mate na kumvalisha nepi.Lakini iko siku,atawatia mikononi,kwa,maana waislamu na wakristo,wanaamini yuko hai,mbinguni.
Hapo Yesu kaingiaje?
 
Ndege-vita za Israel zilivyokuwa zinawatia Jambajamba waliohudhuria mazishi ya Gaidi Hassan Nasrallah huko Beirut,Lebanon
Hawa.magaidi wa Israel,hata walipomsulubu na kumpiga Yesu;na kuvalusha nepi,na kumkita mkuki,na kumtemea mate,na kumuua,pia walishangilia,wasubiri kukutana naye.Kwa maana waislamu na wakristo,wanasema yuko hai,mbinguni.
 
Kwani nani alikuwa hujui? Naomba kujua kama Gaidi Hassan Nasrallah naye atakabidhiwa wale Mabikira 72 awabikiri?

Losing virginity should be a one time experience siyo full time job. I would never wish itokee kwa adui yangu, first time sex is horrible. Inaonekana kama Allah hajui hilo.

And who are those women kwanza, ni hawa hawa wa duniani au wengine, if not, hawa wa duniani wanaenda wapi wakifa? Na wanawake wanaahidiwa nini sasa maana ni kama hawako kwenye mahesabu.

But one thing for sure, Yesu alishasema mbinguni hakuna kuoa wala kuolewa. Itoshe kusema habari hii yenye matumaini inajitosheleza kabisa.
 
Back
Top Bottom