Bata batani la jimbo la ash-Sharqīyah
The Kingdom of Saudi Arabia
Damman, ni mji mkuu wa Jimbo la Mashariki Saudi Arabia. ash-Sharqīyah province (Arabic: المنطقة الشرقية.
Wenyeji jimbo hilo linakwenda wakiliita Al-Mintaqah ilipoenekana 5H-ONE ndege ya kiserikali ya Tanzania kwa mujibu wa tovuti za plane spotter maarufu wa kuaminika duniani na kutupiwa JamiiForums habari zake.
Miji-pacha iliyoungana kieneo Damman na Khobar ni eneo la kusifika kwa mapumziko na utalii. Jimbo lina idadi ya watu wakaazi 4 millioni. Huku wenyeji raia wa Saudia ni 3 million na wageni wakaazi 1 million wa kimataifa toka nje waishio jimboni humo .
Hivyo kwa kila watu 4 kuna wastani wa watu 3 ni wenyeji kwa mtu mmoja (1 )ni mgeni kutoka nchi za nje hivyo ni maeneo murua kabisa kubarizi kufanya utalii na matembezi ya holiday.
Damman ndipo kisima cha kwanza cha mafuta kilichimbwa nchini Saudia na kuanzia hapo utajiri wa mafuta ukaanza kuineemesha nchi hii mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani kupitia kampuni ya Aramco ambayo imewekeza vilivyo si tu katika sekta ya mafuta bali hata masuala ya kijamii kama bata la kitalii tajwa.
Tanzania inaweza kujifunza kuhusu matumizi mazuri ya maliasili za nchi kama mafuta, gesi, pwani, fukwe na utalii kutoka yanayoonekana katika jimbo hili la mashariki kabisa la Saudi Arabia.
Inside
King Fahd International Airport
A
Saudi Aramco aircraft at
Shaybah Airport in
Shaybah
Dammam's
King Fahd International Airport, operating since October 1999
Kutoka mji wa Damman Saudi Arabia ni kilometa chache yaani 20 unavuka bahari kupitia daraja refu kabisa unaingia Bahrain nchi nyingine tajiri kuendelea na utalii na mapumziko
The Kingdom of Bahrain