Tulia weweeAende moja kwa moja asirudi tena Tanganyika
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tulia weweeAende moja kwa moja asirudi tena Tanganyika
Naniliu aliwahi kwenda Uchina Usiku na kurudi Usiku huo huo😄😄Mi Nimetoa habari tu! alafu si unaona hiyo picha ya kwanza ina Tanz1? ikiwa hivo ujue ndani kuna No. 1 mwenyewe
Ahhahahahahahahja hovyo sna wew inaelekeaa uko under maturedkama anahani, si lazima atakutana nao, awaambie tu kwamba kama hawataki hatuwabembelezi, yeye akiondoka madarakani tutawanyooosha, na pia Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo ambaye ndiye proved kuwa na Nguvu kuliko mungu wao atatusaidia na kututoa kwenye mikono yao.
Kbsa kak watu mtani wako busy kutafuta risiki zao hbr za wapi alipo rais na ndege iko wapi ya rais hawana habr nayoKinachochekesha ukipita humu utafikiri Tanzania yote ndo inaongea hivi, kumbe huku mtaani raia hata hawana habari hivi vistori vya kizushi vya hawa 'overgrown babies' wa jf
Mtu anamfatilia rais kuliko anavyomfatilia demu wakeDuh....mmeshaanza!
Huyu Mama naye sasa amekuwa kiguu na njia, hatulii! Amalize miaka yake hii 2 iliyobaki apumzike!
Alizoea NGO, Nchi ni zaidi ya NGOs!
Aende moja kwa moja asirudi tena Tanganyika
Sasa kwa nini anaenda kwa kujificha ficha! ?Tumepata wanunuzi wawili waarabu. Wa kwanza ni DPWorld ambao wametupa offer mbuzi tukaikataa. Wa pili ni MBS ambaye kafika bei nzuri. Ndiyo maana mchana tukaelekea Saudia kumkabidhi atupe mpunga wetu.
Serikali yenu tunafanya kila juhudi kuwaletea maendeleo.
Mpango unaofuata ni kuuza moja zile terrible teens B787-8 maana haina kazi.
Walivyo washenzi wakamchomesha mahindi siku mbili akaamua kurudi bila kufanya kilicho mpelekaKama alienda Kenya bila y kuaga. Uko majuu ataaga kweli?
Thread 'Ndege ya Rais yaonekana Dubai leo Julai 28, 2023' KWELI - Ndege ya Rais yaonekana Dubai, leo Julai 28, 2023Hv ni kweli au uzushi