Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

Ndege ya Rais yaonekana Dubai, Saudi Arabia

kama anahani, si lazima atakutana nao, awaambie tu kwamba kama hawataki hatuwabembelezi, yeye akiondoka madarakani tutawanyooosha, na pia Mungu wa Ibrahim Isaka na Yakobo ambaye ndiye proved kuwa na Nguvu kuliko mungu wao atatusaidia na kututoa kwenye mikono yao.
Ahhahahahahahahja hovyo sna wew inaelekeaa uko under matured
 
Chuma kimeonekana kimetua Oman
Wanatamani wazima transponder ila ndo hivyo tena

Naniliu aliwahi kwenda Uchina Usiku na kurudi Usiku huo huo😄😄
IMG_20230729_104322.jpg
 
Kinachochekesha ukipita humu utafikiri Tanzania yote ndo inaongea hivi, kumbe huku mtaani raia hata hawana habari hivi vistori vya kizushi vya hawa 'overgrown babies' wa jf
Kbsa kak watu mtani wako busy kutafuta risiki zao hbr za wapi alipo rais na ndege iko wapi ya rais hawana habr nayo

Nimejaribu kumuuliza muongeaji mmoja mzee mmoja hv namuonaga anajadili swla la bandari namuuliza vip mama enu kaenda wapi nasikia yuko dubai ,,jamaa aksema safri za rais hzo bhna lzm kutakuwa na mikutano yao huko nikasema duh hapa tz maji ni mengi mno
 
Ccm ina makando kando mengi sana kias kwamba inaleta matatzo kila uchao mfano petrol naw ni kama anasa hiv RAIS AMEKAAA KIMYA WALA KUONGEA ANAONA MDOMO MZITO
 
Bata batani la jimbo la ash-Sharqīyah
The Kingdom of Saudi Arabia

Damman, ni mji mkuu wa Jimbo la Mashariki Saudi Arabia. ash-Sharqīyah province (Arabic: المنطقة الشرقية.



Wenyeji jimbo hilo linakwenda wakiliita Al-Mintaqah ilipoenekana 5H-ONE ndege ya kiserikali ya Tanzania kwa mujibu wa tovuti za plane spotter maarufu wa kuaminika duniani na kutupiwa JamiiForums habari zake.

Miji-pacha iliyoungana kieneo Damman na Khobar ni eneo la kusifika kwa mapumziko na utalii. Jimbo lina idadi ya watu wakaazi 4 millioni. Huku wenyeji raia wa Saudia ni 3 million na wageni wakaazi 1 million wa kimataifa toka nje waishio jimboni humo .

Hivyo kwa kila watu 4 kuna wastani wa watu 3 ni wenyeji kwa mtu mmoja (1 )ni mgeni kutoka nchi za nje hivyo ni maeneo murua kabisa kubarizi kufanya utalii na matembezi ya holiday.

Damman ndipo kisima cha kwanza cha mafuta kilichimbwa nchini Saudia na kuanzia hapo utajiri wa mafuta ukaanza kuineemesha nchi hii mzalishaji mkubwa wa mafuta duniani kupitia kampuni ya Aramco ambayo imewekeza vilivyo si tu katika sekta ya mafuta bali hata masuala ya kijamii kama bata la kitalii tajwa.

Tanzania inaweza kujifunza kuhusu matumizi mazuri ya maliasili za nchi kama mafuta, gesi, pwani, fukwe na utalii kutoka yanayoonekana katika jimbo hili la mashariki kabisa la Saudi Arabia.

Inside King Fahd International Airport A Saudi Aramco aircraft at Shaybah Airport in Shaybah
Dammam's King Fahd International Airport, operating since October 1999

Kutoka mji wa Damman Saudi Arabia ni kilometa chache yaani 20 unavuka bahari kupitia daraja refu kabisa unaingia Bahrain nchi nyingine tajiri kuendelea na utalii na mapumziko
1690624916567.png

The Kingdom of Bahrain
 
Tumepata wanunuzi wawili waarabu. Wa kwanza ni DPWorld ambao wametupa offer mbuzi tukaikataa. Wa pili ni MBS ambaye kafika bei nzuri. Ndiyo maana mchana tukaelekea Saudia kumkabidhi atupe mpunga wetu.
Serikali yenu tunafanya kila juhudi kuwaletea maendeleo.
Mpango unaofuata ni kuuza moja zile terrible teens B787-8 maana haina kazi.
Sasa kwa nini anaenda kwa kujificha ficha! ?
 
Back
Top Bottom