MAPITO Mwanza
JF-Expert Member
- Aug 21, 2018
- 4,236
- 5,907
Huna jipya, kwendraaMmemaliza? Mnataka kuufahamu ukweli?
ewe mwenye jipya mbona hatulioni?Huna jipya, kwendraa
Chadema tafuteni kazi za kufanya. Hamuwez kuchochea mageuzi. Tengenezeni sera na mipango hasa Kwa vijana. Kama mnaweza kuwasaidia Kwa miradi mbalimbali mtafanikiwa pakubwa sio kuchochea chochea vitu visivyo na kichwa Wala miguu.Anahangaika kuuza nchi.
View attachment 2701857
Wewe ni nani wa kuwakataza watu kujiachia?Bakizeni mengine mdomoni wapendwa....mnajiachia mno hata kama mpo huru
Sawasawa mkuuWewe ni nani wa kuwakataza watu kujiachia?
Wewe ndo mwijaku au Juma lokole!!?Bakizeni mengine mdomoni wapendwa....mnajiachia mno hata kama mpo huru
Nyie wapumbavu mtaishia hivyo hivyoAnahangaika kuuza nchi.
View attachment 2701857
🙏Wewe ndo mwijaku au Juma lokole!!?
Huyu samia anaenda kulisambaratisha taifa la Tanzania, ni swala la mda tuNdege ya Rais wa Tanzania yenye usajili wa 5H-ONE imeonekana kutua Dubai na kuanza safari kuelekea Saudi Arabia!
Bado idara ya habari ya Ikulu haijatoa taarifa yoyote kama Rais Samia yuko ziarani katika nchi hizo mbili za UAE na SAUD ARABIA.
View attachment 2701734View attachment 2701735