Bwana Utam
JF-Expert Member
- Feb 15, 2016
- 19,559
- 36,514
Wazipeleke kwanza UKRAINE hizo shost air craft (maana sio rasmi)Izo ndege zikikutana na Ant-Aircraft missile za UK, hazichomoi
Sent using Jamii Forums mobile app
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wazipeleke kwanza UKRAINE hizo shost air craft (maana sio rasmi)Izo ndege zikikutana na Ant-Aircraft missile za UK, hazichomoi
US na SHOST zake AmeenMungu atuepushe na Mabalaa ya hawa majitu malafi
Mungu atuepushe na Mabalaa ya hawa majitu malafi
Refers Javellin alizopeleka muingereza zilivyofanya Tanks za kirusiDuuh ![emoji15] subiri tuone
Biden hewa kabisaNaona wameamua kumjibu U.S.A[ Biden] kwa vitendo
Kinuke tuDuuh! Basi Uko kwingine pia mambo yanaweza aribika muda sio mrefu?[emoji848]
Ebooh!!😁🙌 inaonekana we jamaa unapenda Vita?🤔😁😄Kinuke tu
Refers Javellin alizopeleka muingereza zilivyofanya Tanks za kirusi
Tulia ww, haya mambo yalianza Japan, Vietnam, Iraq, Palestina, Libya nk na mlikua kimya tu na sometimes kufurahi na kejeli juu, leo tuna mazoezi yetu tunapasha imekua kelele sioMungu atuepushe na Mabalaa ya hawa majitu malafi
Yule mzee umri umekwisha enda amebaki kuropoka ropoka tu Kama mtoto marekani sijui walifeli wapi kumchagua yule kikongwe[emoji16]Biden hewa kabisa
Watu huwa wanasema Mungu NI wetu sote huwa anajibu kwa kila mmoja na wakati wake muda wao wa kuteseka Libya, Syria,Iraq, Palestine,Congo,Yemen, Afghanistan,n.k ulipita na unaendelea muda wa kuteseka wengine ni Sasa hivyo tu .Tulia ww, haya mambo yalianza Japan, Vietnam, Iraq, Palestina, Libya nk na mlikua kimya tu na sometimes kufurahi na kejeli juu, leo tuna mazoezi yetu tunapasha imekua kelele sio
Ndege moja hapo kama ya abiria.😂-Ndege za kivita za china na urusi zilifanya mazoezi ya pamoja katika bahari ya Japan na bahari ya china mashariki siku ya jumanne ya tarehe 24 May 2022 wakati viongozi wa “Quad”walipokutana Tokyo, waziri wa ulinzi wa Japan alisema.
- Nobuo kishi alisema Tokyo imeeleza “wasiwasi mkubwa” kwa urusi na china juu ya safari za ndege, ambazo zilifanyika wakati viongozi kutoka Amerika[U.S.A], India, Australia na Japan wakifanya mazungumzo juu ya usalama wa kikanda.
- “Wakati jumiaya ya kimataifa inajibu uchokozi wa urusi dhidi ya Ukraine, ukweli kwamba china ilichukua hatua hiyo kwa ushirikiano na urusi ambayo ni mchokozi, ni sababu ya wasi wasi haiwezi kupuuzwa".Al-Arabiya iliripoti
View attachment 2237105
Credit: @Dondookimataifa/Instagram
View attachment 2237108
😄😄😄🙌Waache waoanee....japo roho yangu kiteteee....
Ebooh!😳😳😁😁😁Ndege moja hapo kama ya abiria.😂
Mitambo ya US inaangusha hizo kama embe juu ya mti.
Endelea kujifariji kama inakupa ahueni.Ndege moja hapo kama ya abiria.😂
Mitambo ya US inaangusha hizo kama embe juu ya mti.
Izo ndege zikikutana na Ant-Aircraft missile za UK, hazichomoi
US na wachumba zake ndio walafi na wezi wakubwaMungu atuepushe na Mabalaa ya hawa majitu malafi
Putin ni kijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]Yule mzee umri umekwisha enda amebaki kuropa ropa tu Kama mtoto marekani sijui walifeli wapi kumchagua yule kikongwe[emoji16]