Hizo ant aircraft za UK kwanini hazipslekwa Ukraine???Duuh !😳 subiri tuone
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hizo ant aircraft za UK kwanini hazipslekwa Ukraine???Duuh !😳 subiri tuone
Mnyonge mnyongeni haki yake mpeni mwingereza kwenye javellin kaupiga mwingi alijua kuvichakaza vifaru vya mrusi balaa👍
Ila Biden bhana hapana bora Putin , Trump hatakama umri umeenda wapo fiti na fresh kabisa Ila Biden Sasa anasalimiana mpaka na vivuli🙌😄😄😄Putin ni kijana [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Sijajua uyo jamaa aliyesema kuhusu anticraft za uk ali maanisha niniHizo ant aircraft za UK kwanini hazipslekwa Ukraine???
Aya sawa👍Sisi tunachoangalia nini kinachoendelea kwa sasa Ukraine.
Simtaki Biden, weakness za Biden ndo zimesababisha yoteEbooh!![emoji16][emoji119] inaonekana we jamaa unapenda Vita?[emoji848][emoji16][emoji1]
Ukrein hasingekuwa na javelin ingekula kwakeMnyonge mnyongeni haki yake mpeni mwingereza kwenye javellin kaupiga mwingi alijua kuvichakaza vifaru vya mrusi balaa[emoji106]
Mpaka na hewa,Ila Biden baba hapana bora Putin , Trump hatakama umri umeenda wapo fiti na fresh kabisa Ila Biden Sasa anasalimiana mpaka na vivuli[emoji119][emoji1][emoji1][emoji1]
Yule mzee wamarekani walipigwa na kitu kizito sijui walimchaguaje😁😁😁Simtaki Biden, weakness za Biden ndo zimesababisha yote
Kabisa mkuu zimewasaidia Sana kwa upande wao👍Ukrein hasingekuwa na javelin ingekula kwake
😄😄😄😄 Hamna kitu pale yule mzee dishi limeyumba sidhani kama 2024 atarudi WhitehouseMpaka na hewa,
Russia hawa hawa wanaoendelea kuhangaishwa na kale kamkoa ka Ukraine!?Naona wameamua kumjibu U.S.A[ Biden] kwa vitendo
NonsenseWaache waendelee kufanya mazoea ya pamoja lakini hata mchina na mrusi waungane hawawezi umpiga mmarekani.
Mmarekani anambinu nyingi sana.
Pale urusi anapigana na NATO nzima Kwa sababu NATO wanatoa mbinu na silaha Kwa Ukraine na bado Russia anaendelea kuchukua maeneo msijitoe akili aiseeRussia hawa hawa wanaoendelea kuhangaishwa na kale kamkoa ka Ukraine!?
Mpaka sasa Russia hajui hata analolitaka huko Ukraine. Wewe unajua anataka nini huko!?Pale urusi anapigana na NATO nzima Kwa sababu NATO wanata mbinu na silaha Kwa Ukraine na bado Russia anaendelea kuchukua maeneo msijitoe akili aisee
Wewe wa huko Gongolamboto unataka kusema unaakili kuliko warusi kwamba hawajui wanachokitaka?acha kujiaibisha aisee.Mpaka sasa Russia hajui hata analolitaka huko Ukraine. Wewe unajua anataka nini huko!?