Ndege za kivita za China na Urusi zafanya mazoezi ya pamoja

Ndege za kivita za China na Urusi zafanya mazoezi ya pamoja

Punguza ujinga matusi ya nn?
Sio ujinga. mtu anapomsifia mwanaume mmoja kuhusu mambo ya faragha na kumponda mwingine ni wazi mtu huyo kama ni mwanaume basi ana tabia za kichoko (yaani bwabwa) au kama ni mwanamke basi anatamani awe mke/mchepuko wa huyo anayemsifia.

Na hiko ndicho ulichofanya kwenye post yako namba 68. Mimi nimefanya conclusion tu.
 
-Ndege za kivita za china na urusi zilifanya mazoezi ya pamoja katika bahari ya Japan na bahari ya china mashariki siku ya jumanne ya tarehe 24 May 2022 wakati viongozi wa “Quad”walipokutana Tokyo, waziri wa ulinzi wa Japan alisema.

- Nobuo kishi alisema Tokyo imeeleza “wasiwasi mkubwa” kwa urusi na china juu ya safari za ndege, ambazo zilifanyika wakati viongozi kutoka Amerika[U.S.A], India, Australia na Japan wakifanya mazungumzo juu ya usalama wa kikanda.

- “Wakati jumiaya ya kimataifa inajibu uchokozi wa urusi dhidi ya Ukraine, ukweli kwamba china ilichukua hatua hiyo kwa ushirikiano na urusi ambayo ni mchokozi, ni sababu ya wasi wasi haiwezi kupuuzwa".Al-Arabiya iliripoti

View attachment 2237105

Credit: @Dondookimataifa/Instagram

View attachment 2237108
Mwambie China akadondoshe kajiwe kadogo tu pale Taiwan
 
Ndugu hayo maelezo umeyapatia wapi kuhusu kauli hio ya China
Vyanzo ni vyingi sana niliona CNN, BBC na Aljazeera
China alibweteka sana technologia kubwa anayoitumia ni kutoka Marekani mambo yake yako wazi kwa Marekani ndio mana mara zote akiulizwa iwapo anaisaidia Russia kwenye operation kule Ukraine huwa anakataa mbingu ardhi kwa sababu yuko uchi sana kwa Marekani
 
Sio ujinga. mtu anapomsifia mwanaume mmoja kuhusu mambo ya faragha na kumponda mwingine ni wazi mtu huyo kama ni mwanaume basi ana tabia za kichoko (yaani bwabwa) au kama ni mwanamke basi anatamani awe mke/mchepuko wa huyo anayemsifia.

Na hiko ndicho ulichofanya kwenye post yako namba 68. Mimi nimefanya conclusion tu.
Una akili za kipumbavu.
 
The beta version of RuStore, a Russian app store for Android (similar to Google Play), has been launched, it has more than 100 applications, including those that have been sanctioned e.g banks.

The launch was officially announced by VK and the Ministry of Digital Development.
 
N
Vyanzo ni vyingi sana niliona CNN, BBC na Aljazeera
China alibweteka sana technologia kubwa anayoitumia ni kutoka Marekani mambo yake yako wazi kwa Marekani ndio mana mara zote akiulizwa iwapo anaisaidia Russia kwenye operation kule Ukraine huwa anakataa mbingu ardhi kwa sababu yuko uchi sana kwa Marekani
Ndugu unakifahamu kwa undani unachozungumza?🤔
 
Back
Top Bottom