Ulikuwa namuda wakutosha pamoja nae
Na ukayajua
Na bila kujali ukamchagua kuishi nae na shida zake izo zote
Mwanamke mshenzi unamjua hata akijificha tabia zake vipi
**** vichembe chembe unavijua uyu ni mshenzi na anaigiza.
Hapo ss tumeenda kwa njia ya kawaida
Kwa sababu ww kabla hujamuoa unajua WAPI ULIKUTANA NAE,UNAJUA ANAPENDA MAVAZI YA KISHENZI NAMNA GANI,ANAPENDA VIWANJA NAMNA GANI,NI MTU WASTAREHE NAMNA GANI, MARAFIKI ZAKE NI WATU WA NAMNA GANI,
Akikuficha yeye tabia basi angalia marafiki na watu anaopenda kukaa nao je ni watu wa mtindo gani.
USINIAMBIE WW UNATABIA GANI NA GANI WW KAA KIMYA ALAFU NIONYESHE MARAFIKI ZAKO TU NTAELEWA