Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Kuna uwezekano mkubwa aliyoyatarajia kutoka kwako hayapati kwa huu muda mfupi
 
POLE
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
KATAA NDOA KIJANA, NDOA NI UTUMWA
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Uenda ana Mimba, so msome vizuri make her happy.Utaacha Wangapi??Hii ndo Dunia yetu na Wanaume tumeumbiwa Mateso,So Be strong
 
Umewah kuwa kwenye shida ukamuomba Mungu ikapoteapotea.
Ama ukaomba kisha watu ata watatu wakaota ndoto moja inayofanana kila kitu kuhusu ww na hata hukuwaambia kitu kuhusu.
Ama umewahi kuomba kuwa na uhitaj na ukapata

Mungu hujihusisha sana na mamb matatu kwa mwanadamu
Kuhakikisha anapata wokovu.
Anapata mweza sahihi katika safari ya duniani.
Na kumpatia uzima wa milele.
Ayo mengine ni nyongeza.
Kuzaliwa kuoa/kuolewa na kufa.

Mungu hakupi usipomuomba.
Alimpa adam mke pasipo kuombwa akaishia kulalamikiwa kuwa ni huyu mwanamke ulienipa

Tangu siku hio Mungu hampi mtu mwenza isipokuwa uyo mtu amemhitaji na aakamuomba.

Kuhusu njia anazozijibu kasome visa mbali mbali vya watu waliotaka mke wakamshirikisha Mungu
Wakwanza akiwa ni isaka.

Ila kwakuwa umekishwa kosea.
Ww chakufanya ni kimoja

KUDUMU MWAMINIFU.
ENDELEA KUMPENDA TUU.
MUOMBEE SANA.
MUONYESHE UPENDO ZAIDI YA WA MWANZO BILA KUJALI,

Maana ibilisi alishakupata kupitia mke.
Kumbuka adam hakudanganywa na nyoka miaka yote mpaka pale mwanamke alipotumiwa na shetani.
Na ni hvyo kila wakati.

Huyo ni ibilisi kabisa amemvagaa mkeo.
Wala mkeo yeye hana shida.
Pana watu Wana tabia ngumu sana kuishi nao ni hatari kwa afya ya akili unasemaje hawa
 
Ndiyo maana siku hizi watu wanashauri cohabiting kwa muda ya miezi 6 hivi . Hapo mtu utaweza kuzijua vizuri rangi halisi za mwenza wako .
 
Pana watu Wana tabia ngumu sana kuishi nao ni hatari kwa afya ya akili unasemaje hawa
Ulikuwa namuda wakutosha pamoja nae
Na ukayajua
Na bila kujali ukamchagua kuishi nae na shida zake izo zote
Mwanamke mshenzi unamjua hata akijificha tabia zake vipi
**** vichembe chembe unavijua uyu ni mshenzi na anaigiza.
Hapo ss tumeenda kwa njia ya kawaida

Kwa sababu ww kabla hujamuoa unajua WAPI ULIKUTANA NAE,UNAJUA ANAPENDA MAVAZI YA KISHENZI NAMNA GANI (mavazi tu yanatosha kumuelezea,mtu wa vikaptura ,vimini sana, migongo wazi,anamwendo wake fulan kujitingisha,maziwa anapandishagajuu, UNAJUA ROHO GANI INAMUENDESHA),ANAPENDA VIWANJA NAMNA GANI,NI MTU WASTAREHE NAMNA GANI, MARAFIKI ZAKE NI WATU WA NAMNA GANI,

Akikuficha yeye tabia basi angalia marafiki na watu anaopenda kukaa nao je ni watu wa mtindo gani.

USINIAMBIE WW UNATABIA GANI NA GANI WW KAA KIMYA ALAFU NIONYESHE MARAFIKI ZAKO TU NTAELEWA
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Tukiwaambia ndoa ni jehanamu kwa mwanaume muwe mnaelewa
 
Ulikuwa namuda wakutosha pamoja nae
Na ukayajua
Na bila kujali ukamchagua kuishi nae na shida zake izo zote
Mwanamke mshenzi unamjua hata akijificha tabia zake vipi
**** vichembe chembe unavijua uyu ni mshenzi na anaigiza.
Hapo ss tumeenda kwa njia ya kawaida

Kwa sababu ww kabla hujamuoa unajua WAPI ULIKUTANA NAE,UNAJUA ANAPENDA MAVAZI YA KISHENZI NAMNA GANI,ANAPENDA VIWANJA NAMNA GANI,NI MTU WASTAREHE NAMNA GANI, MARAFIKI ZAKE NI WATU WA NAMNA GANI,

Akikuficha yeye tabia basi angalia marafiki na watu anaopenda kukaa nao je ni watu wa mtindo gani.

USINIAMBIE WW UNATABIA GANI NA GANI WW KAA KIMYA ALAFU NIONYESHE MARAFIKI ZAKO TU NTAELEWA
Sio wengi wanaoshinda ibadani wanamtafuta Mungu wengi uenda kutafuta waume.
Uchumbani huwa malaika ni hadi uwe na macho ya rohoni kuwatambua
 
Sio wengi wanaoshinda ibadani wanamtafuta Mungu wengi uenda kutafuta waume.
Uchumbani huwa malaika ni hadi uwe na macho ya rohoni kuwatambua
Mwanamke hata awe analala na kuamka kanisani,kama ni mshenzi unamjua.
Kama nilivyosema apo juu.

Ukitaka kwenda ndani zaidi
Angalia ata vitu anavyofatilia mtandaoni.
Anapenda vitu gani.

Ila kabla ya yote
MKE MWEMA HUTOKA KWA MUNGU MWENYEWE.
 
Back
Top Bottom