Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Kaa nae chini uzungumze nae, akikaidi waita wasimamizi wa ndoa yenu myazungumze. Akikaidi na hapo fanya maamuzi ya kiume sasa.
Mtu anapokuwa na changamoto za kitabia eneo la ndoa ukishaanza itisha mavikao anajiona yeye anakumudu kupita maelezo. Wewe unachotakiwa kufanya ni pale anakuonyesha tabia sizo msomee mashitaka yake kisha mpe utaratibu wa kuenda nao ili muweze kuishi pamoja na si vinginevyo, kiongozi ndie hutoa muongozo na sio mtendaji au anayetakiwa kuwa chini ya kiongozi.

Uanaume sio kitu xha kuambiwa au kuelekezwa ni kitu cha kuwa na kufanya. Trust in your frame work and usiruhusu mtu akuchekeche hata kidogo.
 
Aisee, kwa red flags hizo he should run for hiz life 😂😂..huwez kununa na kukasirika bila sababu ya msingi, hayo yanayokusibu hayawez kujisolve ukinuna na kukasirika, sema usikike tujue tunasolve vipi, hakuna jambo linalofanyika dunia ya leo lisilokuwa na solution .
Tatizo ni Muha bro!!! Hapo ndio kazi inakuwa ngumu zaidi...
 
Kabla ya kuoa watu hutumia hisia zaidi na moyo instead ya kutegemea Logic gates za ubongo zifanye kazi. Unajua kabisa kwamba huyu ananipendea huduma ila hayupo real na wewe ila sababu una vihela vya rushwa vya TPA unaona huyu namuweza tu. Mara Paap DP World hawa hapa shughuli hamna tena 😂😂😂 hio furaha utaipata wapi na iphone 16 hainunuliki wala vacation za Dubai haziendeki???
Aaah aisee kitendo cha serikali kuwaambia wanetu wachague dp world au tpa ni cha huzuni, no wonder jamaangu mmoja naonaga status zake anasema “ntawamis sana wanangu” kajichagulia tpa wamemwamishia mwanza ni huzuni kwakweli,
 
Aaah aisee kitendo cha serikali kuwaambia wanetu wachague dp world au tpa ni cha huzuni, no wonder jamaangu mmoja naonaga status zake anasema “ntawamis sana wanangu” kajichagulia tpa wamemwamishia mwanza ni huzuni kwakweli,
Hahahahaha sasa mwanza ataenda kusimamia samaki ziwani au inakuwaje 😂
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu

Usimpe attention...
 
Tatizo ni Muha bro!!! Hapo ndio kazi inakuwa ngumu zaidi...
😂😂😂😂😂, wabish sana waha 😂😂😂, ila wanawake bwana kuna kimoja yan eti nikichelewa kujibu text utasikia we endelea na mambo yako, nikakapaga warning sijui akajisahau tena akarudia vile vile me sasa sijajibu wala siji kujibu nimeendelea na mambo yangu, ukiona mwanamke anatisha ivyo ujue ana watu wengi wanamsumbua piga chin anza upya.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mrudishe kwao mapema kabla hajakudodea mkuu. Utakuja kunishukuru baadaye.
 
kitu kimoja nakushauri, ndoa yangu inakaribia miaka 20 huko. kwenye ndoa, mkaribishe Yesu atawale maisha yenu, utaenjoy sana. Mimi ndoa yangu sikuanza na Mungu, ndani ya mwaka mmoja tulikuwa tunavurugana hadi najuta kuoa, nilikuwa hadi nampiga mke wangu ngumi na mateke kama mbwa, nakumbuka kuna mwaka niliwahi kumpiga mke wangu tukiwa na first born wetu akiwa na miaka kama mmoja. katoto kalivyo kadogo vilevile kalilia sana kakawa kanamsaidia mamake. ilinipa uchungu mno. zamani niliamini labda ni ile story kwamba mkiwa wote mmekutana ukubwani, kila mtu amelelewa na tabia zake, mkizichanganya lazima miaka miwili mitatu ya mwanzo mvurugane na mtakuja kuwa compatible baadaye. THIS IS VERY WRONG.

NIlikuja kuthibitisha hili ni la uongo baada ya kumpa Yesu maisha, ghafla kila kitu kilibadilika, upendo kwa mke wangu ulijaa, naye kwangu ulijaa, hadi tendo la ndoa hamu iliongezeka na utamu hata wa tendo la ndoa ukawa wa ajabu na yeye upande wake nikaona amebadilika nikimfanya anaonekana anaenjoy zaidi na anaonyesha kuridhika, tukawa kama mapacha hadi leo. sikatai, kumekuwa na ups and down kwenye hilo kwamba hatujakaa kama malaika, ila hata tukigombana kidogo tu kwa kauli, haipiti siku, tumeshapatana na tumekumbatiana. sisi huwa tunalala kwa kukumbatiana hadi leo, nilichojifunza ni hiki;

1. shetani ni roho, huwa anaweza kuingia kwa mmoja na kumtumia mgombane, hadi huwezi jua why mnagombana ila mnagombana tu, yeye shetani anawagongesha vichwa, anakaa pembeni anafurahia mnavyoumizana mioyo tena bila sababu za msingi, na kwa njia hiyo, anawarudisha sana nyuma kimaendeleo na kifamilia, anasababisha hadi magonjwa, hadi kuchepuka kwa silaha yake hii.

2. ukimpa Yesu Maisha yako (ukiokoka) akaondoka, kuna kuwa hakuna kugombana na ndoa inabadilika, manake kila mtu anamhofu Mungu, na kuchepuka kunapotea. ELEWA HILI, sisemi wote waliookoka hawagombani, no, hata ukiokoka unaweza kugombana na kuwa na ndoa mbaya, KAMA UMEOKOKA KWA JINA TU SIO KWA ROHO, wokovu wa Mungu ni wa uhakika, kama kweli umempa Yesu maisha na HUNA MICHANGANYO, Mungu akiwa maishani mwako shetani anafanya nini hapo? ataondoka tu, na kama ukienenda kiroho, shetani anaondoka. hao walokole unaona wanahangaika na ndoa, wamefanya michanganyo na wanafungua milango wao wenyewe shetani anaingia na kuwasumbua.

3. hata unyumba, unakuwa mzuri sana kama nyote mmeokoka kwa kweli. why? shetani huwa anaweza kuharibu chochote kama umemruhusu akaingia maishani mwako, kuna pepo mahaba, huwa yanawaingia wanaume kwa wanawake, hao ni maajenti wa shetani, ukiwa nalo utakuta mkeo wa kawaida tu, unaweza hata kulala naye kitanda kimoja ukaenda mzunguko mmoja tu, ila ukitoka unaenda mizunguko mingi na unaenjoy sana, ndio lengo la shetani, anaweza kukukosesha hamu ya tendo kwa mwenza wako ila nje upo fresh tu.

4. kuna watu wanakosa watoto, kumbe shetani amekaa kwenye vizazi vyao, mapepo ambayo ndio maajenti wa shetani, wanakaa kwako, wanakuoa, wanakuotesha mandoto unazini nao, na kiroho unayazalia hadi watoto. hayo ndiyo yanazuia mimba usipate, au mbegu zako zisizalishe. jaribu kwa Mungu, okoka kwa kweli, sio kwa dini, uone. Mungu atakushangaza.

5. kuna mengi naweza kuongea, mwenye shida ajaribu kumtafuta Mungu. Mungu anasema onjeni muone kuwa Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemtumaini Bwana, jaribu tu wala usisimuliwe.

Mwenye kunielewa amenielewa.
Sijaokoka ila hio namba 3 na 4 ni uhalisia wa ndoa nyingi na ndicho chanzo cha ndoa nyingi kuvunjika.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
ndoa ni zaidi ya kujamiana,wanaume halisi tu ndo wataweza kukaa na mtoto wa watu
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Oa bikra wapo wengi tu! Yanini unakazana na mamalaya yametumika na watu wa kila aina haliwezi kuwa na upendo wowote
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Piga mashine mkuu kisirani kitapotea hakikisha unapiga mashine.
 
kitu kimoja nakushauri, ndoa yangu inakaribia miaka 20 huko. kwenye ndoa, mkaribishe Yesu atawale maisha yenu, utaenjoy sana. Mimi ndoa yangu sikuanza na Mungu, ndani ya mwaka mmoja tulikuwa tunavurugana hadi najuta kuoa, nilikuwa hadi nampiga mke wangu ngumi na mateke kama mbwa, nakumbuka kuna mwaka niliwahi kumpiga mke wangu tukiwa na first born wetu akiwa na miaka kama mmoja. katoto kalivyo kadogo vilevile kalilia sana kakawa kanamsaidia mamake. ilinipa uchungu mno. zamani niliamini labda ni ile story kwamba mkiwa wote mmekutana ukubwani, kila mtu amelelewa na tabia zake, mkizichanganya lazima miaka miwili mitatu ya mwanzo mvurugane na mtakuja kuwa compatible baadaye. THIS IS VERY WRONG.

NIlikuja kuthibitisha hili ni la uongo baada ya kumpa Yesu maisha, ghafla kila kitu kilibadilika, upendo kwa mke wangu ulijaa, naye kwangu ulijaa, hadi tendo la ndoa hamu iliongezeka na utamu hata wa tendo la ndoa ukawa wa ajabu na yeye upande wake nikaona amebadilika nikimfanya anaonekana anaenjoy zaidi na anaonyesha kuridhika, tukawa kama mapacha hadi leo. sikatai, kumekuwa na ups and down kwenye hilo kwamba hatujakaa kama malaika, ila hata tukigombana kidogo tu kwa kauli, haipiti siku, tumeshapatana na tumekumbatiana. sisi huwa tunalala kwa kukumbatiana hadi leo, nilichojifunza ni hiki;

1. shetani ni roho, huwa anaweza kuingia kwa mmoja na kumtumia mgombane, hadi huwezi jua why mnagombana ila mnagombana tu, yeye shetani anawagongesha vichwa, anakaa pembeni anafurahia mnavyoumizana mioyo tena bila sababu za msingi, na kwa njia hiyo, anawarudisha sana nyuma kimaendeleo na kifamilia, anasababisha hadi magonjwa, hadi kuchepuka kwa silaha yake hii.

2. ukimpa Yesu Maisha yako (ukiokoka) akaondoka, kuna kuwa hakuna kugombana na ndoa inabadilika, manake kila mtu anamhofu Mungu, na kuchepuka kunapotea. ELEWA HILI, sisemi wote waliookoka hawagombani, no, hata ukiokoka unaweza kugombana na kuwa na ndoa mbaya, KAMA UMEOKOKA KWA JINA TU SIO KWA ROHO, wokovu wa Mungu ni wa uhakika, kama kweli umempa Yesu maisha na HUNA MICHANGANYO, Mungu akiwa maishani mwako shetani anafanya nini hapo? ataondoka tu, na kama ukienenda kiroho, shetani anaondoka. hao walokole unaona wanahangaika na ndoa, wamefanya michanganyo na wanafungua milango wao wenyewe shetani anaingia na kuwasumbua.

3. hata unyumba, unakuwa mzuri sana kama nyote mmeokoka kwa kweli. why? shetani huwa anaweza kuharibu chochote kama umemruhusu akaingia maishani mwako, kuna pepo mahaba, huwa yanawaingia wanaume kwa wanawake, hao ni maajenti wa shetani, ukiwa nalo utakuta mkeo wa kawaida tu, unaweza hata kulala naye kitanda kimoja ukaenda mzunguko mmoja tu, ila ukitoka unaenda mizunguko mingi na unaenjoy sana, ndio lengo la shetani, anaweza kukukosesha hamu ya tendo kwa mwenza wako ila nje upo fresh tu.

4. kuna watu wanakosa watoto, kumbe shetani amekaa kwenye vizazi vyao, mapepo ambayo ndio maajenti wa shetani, wanakaa kwako, wanakuoa, wanakuotesha mandoto unazini nao, na kiroho unayazalia hadi watoto. hayo ndiyo yanazuia mimba usipate, au mbegu zako zisizalishe. jaribu kwa Mungu, okoka kwa kweli, sio kwa dini, uone. Mungu atakushangaza.

5. kuna mengi naweza kuongea, mwenye shida ajaribu kumtafuta Mungu. Mungu anasema onjeni muone kuwa Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemtumaini Bwana, jaribu tu wala usisimuliwe.

Mwenye kunielewa amenielewa.
Ondoa pumba hapa muabudu mfuuu
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
sasa subiri siku atakayokuambia sasa na wewe ni mwanaume kati ya wananume
 
Oa tu.. ila usitusumbue na kadi za michango..

Huwa mnasumbua watu alafu ndoa zenyew hamdumu. Wiki moja kila mtu na 50 zake.
Mtu unamchangia gharama za Sherehe ya ndoa yake halafu bado tena anakuletea kesi zake za mahusiano yake ambayo alikata viuno na kurukaruka siku anayaingia kwa mbwembwe zote.

Hebu tusichoshane. Kama ni ulijiona kidume kuoa then komaa kuwa kidume kusimama kiume kwenye ndoa yako na kuwa baba wa familia.
 
😂😂😂😂😂, wabish sana waha 😂😂😂, ila wanawake bwana kuna kimoja yan eti nikichelewa kujibu text utasikia we endelea na mambo yako, nikakapaga warning sijui akajisahau tena akarudia vile vile me sasa sijajibu wala siji kujibu nimeendelea na mambo yangu, ukiona mwanamke anatisha ivyo ujue ana watu wengi wanamsumbua piga chin anza upya.
😂😂😂😂😂😂😂 anakutaftia sababu
 
Tukisema msioe mnatuita mashoga, sasa pambana na hali yako.
Dunia ya sasa kwenye wanawake 20 unaweza kupata wawili au mmoja tu mwenye sifa ya kuwa mke.
Na huyo mwenye sifa ni single mother wa watoto wawili au watatu ameamua kuwa mpole kwasababu ana uhitaji wa kupata bwege m'moja wa kumsaidia kuwajibika na matoto yake aliyopata kwenye harakati zake za usupawomani huko uraiani.
 
Back
Top Bottom