toughlendon_1
JF-Expert Member
- Feb 7, 2018
- 6,283
- 11,253
A year mzee ๐๐๐๐Mkataba ni mwaka mwaka๐ vumilia miezi 11 iliobakia hio ndio ujue kama unaacha kazi ya kuwa mume au unaendelea nayo!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
A year mzee ๐๐๐๐Mkataba ni mwaka mwaka๐ vumilia miezi 11 iliobakia hio ndio ujue kama unaacha kazi ya kuwa mume au unaendelea nayo!
Unatupa kule unakamata mubebi mwengine?Me ndio mana wanawake wananishindaga, yan ku bow kwa mtu kama kosa sijafanya mimi aisee haiwezekan, hakuna kitu sipend kama kukisia huyu kakasirika au kabadilika au kanuna kwasababu sijui kwasababu ya kitu gani, naona kama ni kupoteza muda bora mtu mkweli na alie straight.. nikikuuliza once kama sielew wala sijisumbui wanawake wapo tooop na wengi tu waelewa.
Anakimbiaje majukumu mapema hivyo?๐A year mzee ๐๐๐๐
Kibarua kizito hiko๐คhata tako hana
Labda atumie kanuni ya oa acha oa acha hadi atakapompata mkamilifu
๐๐๐๐๐๐Aise,kwa hiyo ulijua kwenye ndoa utakutana na raha tuu? Ukisikia changamoto za ndoa ndiyo kama hizo na hapo bado mpaka useme
Yan sisi wanaume sometimes hatuna akili, mwanamke anaekutaka humtaki unaemtaka anajifanya yeye ana watu wengi kwenye queue, alafu anakuonyesha redflags za kutosha we unajifanya unakomaa, ndio mana sikuiz watu wanaoana leo kesho wanaachana. For the same reason ndio mana kuna masingo maza wakutosha sikuizUnatupa kule unakamata mubebi mwengine?
Ohoooo, wanyaturu kama mnataka marungu na magobore kwaajiri ya hii vita naomba mnipe hii tenda.Ni mnyaturu?
inasemekana hata tako hana, ni huzuni๐Si ulimpendea tako ukacompromise tabia, haya sasa pambana ndiye chaguo lako๐
Waha ndio zao ila ukimuweka discipline mtaenda wake zao wanakadiscipline fulani kwenye ndoa.hapana muha
Ndoa ukome kushupalia usivyoviwezando mnaongoza kwa usingle maza plus kujifanya ma~super women wa mchongo kwa kudanga!...mimi nilichomoka alimanusura anisogeze shambani ila mizimu ya kingosha ikanipambania!
Ndoa ya braza ina serious probleminasemekana hata tako hana, ni huzuni๐
Kabla ya kuoa watu hutumia hisia zaidi na moyo instead ya kutegemea Logic gates za ubongo zifanye kazi. Unajua kabisa kwamba huyu ananipendea huduma ila hayupo real na wewe ila sababu una vihela vya rushwa vya TPA unaona huyu namuweza tu. Mara Paap DP World hawa hapa shughuli hamna tena ๐๐๐ hio furaha utaipata wapi na iphone 16 hainunuliki wala vacation za Dubai haziendeki???Yan sisi wanaume sometimes hatuna akili, mwanamke anaekutaka humtaki unaemtaka anajifanya yeye ana watu wengi kwenye queue, alafu anakuonyesha redflags za kutosha we unajifanya unakomaa, ndio mana sikuiz watu wanaoana leo kesho wanaachana. For the same reason ndio mana kuna masingo maza wakutosha sikuizI
Aisee, kwa red flags hizo he should run for hiz life ๐๐..huwez kununa na kukasirika bila sababu ya msingi, hayo yanayokusibu hayawez kujisolve ukinuna na kukasirika, sema usikike tujue tunasolve vipi, hakuna jambo linalofanyika dunia ya leo lisilokuwa na solution .Anakimbiaje majukumu mapema hivyo?๐
Elimu ya mahusiano hakuna kizazi sasa watu utaka waishi kama masingle wakiwa kwenye ndoa kumbe ndoa ni kanuniYan sisi wanaume sometimes hatuna akili, mwanamke anaekutaka humtaki unaemtaka anajifanya yeye ana watu wengi kwenye queue, alafu anakuonyesha redflags za kutosha we unajifanya unakomaa, ndio mana sikuiz watu wanaoana leo kesho wanaachana. For the same reason ndio mana kuna masingo maza wakutosha sikuiz
Lack of Nyashi leads to a vast number of problems including GubuGubu syndrome ๐Ndoa ya braza ina serious problem