Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mzee jikague! Mkojoze vyema hiyo ndiyo dawa kubwa ya kisirani na kununa.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hizi tabia ni wanawake wengi wanazitumia kama silaha kuadhibu waume wao bila kujua zinafanya ndoa zivunjike mapema sana.
 
Komaa TU na goma lako kama nasi tunavyokomaa na misalaba yetu mizito na sio huo wa kitoto.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mkataba ni mwaka mwaka😂 vumilia miezi 11 iliobakia hio ndio ujue kama unaacha kazi ya kuwa mume au unaendelea nayo!
 
Me ndio mana wanawake wananishindaga, yan ku bow kwa mtu kama kosa sijafanya mimi aisee haiwezekan, hakuna kitu sipend kama kukisia huyu kakasirika au kabadilika au kanuna kwasababu sijui kwasababu ya kitu gani, naona kama ni kupoteza muda bora mtu mkweli na alie straight.. nikikuuliza once kama sielew wala sijisumbui wanawake wapo tooop na wengi tu waelewa.
 
Back
Top Bottom