Dini inaruhusu kuoa wapili?wanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Dini inaruhusu kuoa wapili?wanawake wanachangamoto sijui nioe mwingine
Bado kabisa 🤣 🤣 🤣Mbona hayo yote ni kawaida subiri phase two ndo utajue wanawake ni nini, rafiki yangu hu ni mwezi wa pili analala kwenye gari lake ila ndoa yake in miaka 4, hapo kwako hiyo inaitwa cooling break mechi bado kabisa.......
Mi nikimchangia mtu harusi halafu wakaachana ndani ya mmoja, mnanirudishia pesa yangu.Oa tu.. ila usitusumbue na kadi za michango..
Huwa mnasumbua watu alafu ndoa zenyew hamdumu. Wiki moja kila mtu na 50 zake.
Mzee jikague! Mkojoze vyema hiyo ndiyo dawa kubwa ya kisirani na kununa.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Atapiga chini wangapi labda aoe malaika,Piga chini......
Yeyote akimzingua apige tu chini, namba ikiwa kubwa anachukua dada zake anakaa nao....Atapiga chini wangu labda aoe malaika
Labda atumie kanuni ya oa acha oa acha hadi atakapompata mkamilifuYeyote akimzingua apige tu chini, namba ikiwa kubwa anachukua dada zake anakaa nao....
Hizi tabia ni wanawake wengi wanazitumia kama silaha kuadhibu waume wao bila kujua zinafanya ndoa zivunjike mapema sana.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hawapewi elimu ya mahusiano siku hizi Zaid ya kufundishwa kukata viuno tu utadhani ndoa ni viuno TU.Hizi tabia ni wanawake wengi wanazitumia kama silaha kuadhibu waume wao bila kujua zinafanya ndoa zivunjike mapema sana.
Akale magimbi huko kwao, jamaa anamlisha mayai halafu anazingua .....Dah sema Evelyn Salt kuna kiumbe nakufananisha nae sana itikadi zako.
Jina lake linaanza na G* .
Kabla ya breakfast awe katoa mzigo sio ?[emoji23][emoji23][emoji23]
Mkataba ni mwaka mwaka😂 vumilia miezi 11 iliobakia hio ndio ujue kama unaacha kazi ya kuwa mume au unaendelea nayo!Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Umeishaaa😂😂😂hapana muha