Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hapa kuna mawili moja anataka ukipanda kichwani (manipulation) au ulioa mpenzi wa mtu ....kazi kwako
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Pole ndoa ndoana, yangu ina miaka 9 leo kasema anakuja kuchukua nguo zake arudi kwao.

Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
 
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Tatizo sio hili hapa, tatizo ni wewe haukua tayari kwa ndoa. Hayo yote uliyotaja ni mambo ya kawaida kabisa kwa mwanamke hata maofisini tunakutana nayo. Jambo la kwanza ni wewe unasimamaje kwenye nafasi yako kuyasolve hayo au kudeal nayo.

Hukua tayari kwa ndoa ikiwa ndani ya mwezi mmoja tu unakuja na hoja dhaifu kuichoka ndoa
 
Usikute umeoa mke toka chin ya mlima wenye mita 5895,sasa kaona huna hela alizotarajia sasa anatafuta namna ya kugawana hicho kibanda akaanze u~super woman sokon maana ndo walivyo,anyway ndoa ni kama jiji la Dar,kuna raha na karaha!
 
Usikute umeoa mke toka chin ya mlima wenye mita 5895,sasa kaona huna hela alizotarajia sasa anatafuta namna ya kugawana hicho kibanda akaanze u~super woman sokon maana ndo walivyo,anyway ndoa ni kama jiji la Dar,kuna raha na karaha!
Kaoa Muha , wanakaskazini walikufanyaje?pole
 
Back
Top Bottom