Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

pia kwenye ndoa nimejifunza kwamba, ukighafirika kwa lolote, pambana jua lisichwe na uchungu moyoni mwako. fanya juu chini, kama kutubu kwa mwenzako tubu, mwambie nisamehe, na wewe ukiombwa msamaha samehe haraka ili uchungu uondoke mioyoni mwenu. Neno msamaha ni nguzo kwenye ndoa, na Yesu mwenyewe ambaye ndiye msingi wenu anatuhitaji tusameheane. why? kwenye ndoa mkigombana sasaivi, kadiri dakika na masaa yanavyozidi kuendelea, hasira na visasi huwa vinazidi kuongezeka, shetani huwa amekaa pembeni anachochea kuni. hivyo madhara ya ugomvi wa masaa machache ni madogo kuliko madhara ya ugomvi wa siku moja mbili na kuendelea. na mwisho wa siku mtakuja kupatana na mnashangaa kwanini tumeraruana namna hii si tungepatana tu palepale dakika zilezile ili madhara haya yasifikia kiwangu hiki?

WAEFESO 4:26 INASEMA: we na hasira, ila msitende dhambi; jua lisichwe na uchungu wenu bado haujawatoka; 27 wala msimpe Ibilisi nafasi.

WAGALATIA 6:1 - 10 INASEMA: 1 Ndugu zangu, mtu akighafilika katika kosa lo lote, ninyi mlio wa Roho mrejezeni upya mtu kama huyo kwa roho ya upole, ukijiangalia nafsi yako usije ukajaribiwa wewe mwenyewe. 2 Mchukuliane mizigo na kuitimiza hivyo sheria ya Kristo. 3 Maana mtu akijiona kuwa ni kitu, naye si kitu, ajidanganya nafsi yake. 4 Lakini kila mtu na aipime kazi yake mwenyewe, ndipo atakapokuwa na sababu ya kujisifu ndani ya nafsi yake tu, wala si kwa mwenzake. 5 Maana kila mtu atalichukua furushi lake mwenyewe.
6 Mwanafunzi na amshirikishe mkufunzi wake katika mema yote. 7 Msidanganyike, Mungu hadhihakiwi; kwa kuwa cho chote apandacho mtu, ndicho atakachovuna. 8 Maana yeye apandaye kwa mwili wake, katika mwili wake atavuna uharibifu; bali yeye apandaye kwa Roho, katika Roho atavuna uzima wa milele. 9 Tena tusichoke katika kutenda mema; maana tutavuna kwa wakati wake, tusipozimia roho. 10Kwa hiyo kadiri tupatavyo nafasi na tuwatendee watu wote mema; na hasa jamaa ya waaminio.
 
Yesu mwenyewe alikimbia ndoa kwa miaka 33 jakimbia kwa baba yake iweje awe suluhisho ya ndoa.........walokole hapo ndo mnaharibu wake zenu wanapigwa kanisani kirahisi kwa kujipa matumaini ya yesu, plz tenganisha mambo ya ndoa na mambo ya roho.
Kwamba jamaa anamdunda mkewe lawama anampa shetani🤣
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Wewe sini ulikua unaandika vijana wenzako waoe unajikuta mwana filosofia unawakejeli wakataa ndoa
 
Wakati mwingine mwanamke ni kama mtoto mdogo, ndio maana mwanaume akaitwa kichwa cha familia. Tumia busara weka mambo vizuri akijirudi mvute chumban mkungute kimoja mijarabu
 
Lakini chakula cha ndoa si unapewa utakavyo na wewe unampa atakavyo au nacho amekisusia /amekususia

Bado sana mkuu, afu kumbuka unaishi naye miaka mingi ijayo sasa wewe mwezi tu una mengi
Ombea ndoa yako changa kabisa hiyo hata hamjachokana
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mshairi wa Kiarabu anasema "hapati haki yake ioswavyo".

Kama hujakazana kujirekebisha kijana, siku yakibadilika hayo uliyoyataja ujuwe kaanza kupata haki yake ipaswavyo.

Kutokea wapi? Utajaza wewe.
 
Chunguza labda ni mjamzito swali la nyongeza umedumu nae muda gani kabla kufunga nae ndoa usije kuwa ulifanya mkurupuko.
Chukua huu ushauri kama siyo mjamzito maswali haya jiulize
1. Ulimtongoza mwenyewe au ulitongozewa
2. Ulimpenda yeye au ulipenda ajira yake
Kwanini nasema kamanulitongozewa ina maana uyo kaolewa kuepuka kuchekwa kwanini haolewi so kaolewa kama fashion siyo aje awe mke ndio maana aheshimu ndoa so fanya maamuzi mapema kabla hamaenda mahakamani kugawana hiyo sabufa na jiko la gesi

Mbili kama ulioa kisa ana kazi me msadiane maisha hapo umeingia cha kike maana wengi hapa ndio tunachemka hatuoani kwa hisia za mapenzi tunaoana kwa hisia za kuogopa ukali wa maisha matokeo yake ndio haya wewe unaitaji upendo wa dhati wa mapenzi mwenzio hana mda huo maana hisia na wewe za mapenzi hana zaidi ya hisia za maslahi yaliyofanya mkaaoana
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mkwe tulia.Ndiyo ukubwa huo.😂😂😂
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
You are not alone, kuna Wanawake wanaochosha
 
Mbupu tu vingine achana navyo Kuna kitu inaitwa honey money stage ndo unaanza pambana nayo hii ni within 6 moths from being together in one room so tulia Psychology haiongopi
 
Back
Top Bottom