Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Huo mda wa kuja kufaidisha kiwanda cha AZUMA ni saa ngapi. Mara unajisikia kukojoa kaa la moto, mara usaha.
Unakojoa motrooooo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tulia na mmoja inatosha..
Mbona nyie ni wabishi na yule drone...😂😂😂😂 Hovyo sana
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Bado sana mkuu,hapo ndio kwanza uko kwenye 0.001% ya kero za ndoa,piga maombi sana itakusaidia....
 
Unakojoa motrooooo
😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂😂
Tulia na mmoja inatosha..
Mbona nyie ni wabishi na yule drone...😂😂😂😂 Hovyo sana
Wewe itakua ni Meku "motrooo" any way usidanyike upo mwenyewe hata hapo ulipo kuna jamaa anakumegea kama unavyomega wa wengine... we huwezi tulia na mmoja. 2Brains
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
.....hana mimba ? Ndoa ni taasisi ...uvumilivu na kumsaidia kumeulimisha sasa muda atakuwa sawaa
 
kitu kimoja nakushauri, ndoa yangu inakaribia miaka 20 huko. kwenye ndoa, mkaribishe Yesu atawale maisha yenu, utaenjoy sana. Mimi ndoa yangu sikuanza na Mungu, ndani ya mwaka mmoja tulikuwa tunavurugana hadi najuta kuoa, nilikuwa hadi nampiga mke wangu ngumi na mateke kama mbwa, nakumbuka kuna mwaka niliwahi kumpiga mke wangu tukiwa na first born wetu akiwa na miaka kama mmoja. katoto kalivyo kadogo vilevile kalilia sana kakawa kanamsaidia mamake. ilinipa uchungu mno. zamani niliamini labda ni ile story kwamba mkiwa wote mmekutana ukubwani, kila mtu amelelewa na tabia zake, mkizichanganya lazima miaka miwili mitatu ya mwanzo mvurugane na mtakuja kuwa compatible baadaye. THIS IS VERY WRONG.

NIlikuja kuthibitisha hili ni la uongo baada ya kumpa Yesu maisha, ghafla kila kitu kilibadilika, upendo kwa mke wangu ulijaa, naye kwangu ulijaa, hadi tendo la ndoa hamu iliongezeka na utamu hata wa tendo la ndoa ukawa wa ajabu na yeye upande wake nikaona amebadilika nikimfanya anaonekana anaenjoy zaidi na anaonyesha kuridhika, tukawa kama mapacha hadi leo. sikatai, kumekuwa na ups and down kwenye hilo kwamba hatujakaa kama malaika, ila hata tukigombana kidogo tu kwa kauli, haipiti siku, tumeshapatana na tumekumbatiana. sisi huwa tunalala kwa kukumbatiana hadi leo, nilichojifunza ni hiki;

1. shetani ni roho, huwa anaweza kuingia kwa mmoja na kumtumia mgombane, hadi huwezi jua why mnagombana ila mnagombana tu, yeye shetani anawagongesha vichwa, anakaa pembeni anafurahia mnavyoumizana mioyo tena bila sababu za msingi, na kwa njia hiyo, anawarudisha sana nyuma kimaendeleo na kifamilia, anasababisha hadi magonjwa, hadi kuchepuka kwa silaha yake hii.

2. ukimpa Yesu Maisha yako (ukiokoka) akaondoka, kuna kuwa hakuna kugombana na ndoa inabadilika, manake kila mtu anamhofu Mungu, na kuchepuka kunapotea. ELEWA HILI, sisemi wote waliookoka hawagombani, no, hata ukiokoka unaweza kugombana na kuwa na ndoa mbaya, KAMA UMEOKOKA KWA JINA TU SIO KWA ROHO, wokovu wa Mungu ni wa uhakika, kama kweli umempa Yesu maisha na HUNA MICHANGANYO, Mungu akiwa maishani mwako shetani anafanya nini hapo? ataondoka tu, na kama ukienenda kiroho, shetani anaondoka. hao walokole unaona wanahangaika na ndoa, wamefanya michanganyo na wanafungua milango wao wenyewe shetani anaingia na kuwasumbua.

3. hata unyumba, unakuwa mzuri sana kama nyote mmeokoka kwa kweli. why? shetani huwa anaweza kuharibu chochote kama umemruhusu akaingia maishani mwako, kuna pepo mahaba, huwa yanawaingia wanaume kwa wanawake, hao ni maajenti wa shetani, ukiwa nalo utakuta mkeo wa kawaida tu, unaweza hata kulala naye kitanda kimoja ukaenda mzunguko mmoja tu, ila ukitoka unaenda mizunguko mingi na unaenjoy sana, ndio lengo la shetani, anaweza kukukosesha hamu ya tendo kwa mwenza wako ila nje upo fresh tu.

4. kuna watu wanakosa watoto, kumbe shetani amekaa kwenye vizazi vyao, mapepo ambayo ndio maajenti wa shetani, wanakaa kwako, wanakuoa, wanakuotesha mandoto unazini nao, na kiroho unayazalia hadi watoto. hayo ndiyo yanazuia mimba usipate, au mbegu zako zisizalishe. jaribu kwa Mungu, okoka kwa kweli, sio kwa dini, uone. Mungu atakushangaza.

5. kuna mengi naweza kuongea, mwenye shida ajaribu kumtafuta Mungu. Mungu anasema onjeni muone kuwa Bwana ni mwema, heri mtu yule anayemtumaini Bwana, jaribu tu wala usisimuliwe.

Mwenye kunielewa amenielewa.
Hapa umemaliza kila kitu,mwenye kusikia na asikie...
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Ukiona wazazi wa bi harusi wanasherehekea na kucheza siku ya harusi basi ujue wamefurahi msumbufu anaenda.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Yani mtu anune na kukasirika bila sababu? Zipo sababu labda humjali ndio maana
Yani sidhani kama kuna mwanamke utamkuta hana sifa namba moja na namba mbili….ni ngumu sana na wanawake wengi wana nuna ili kubembelezwa ..huyo anataka kudekezwa …huyo mbembeleze mchombeze mpe attention yako onesha unajali …mbembe hivyo hivyo akiwa amenuna mpeleke chumbani mpapase hadi alegee halafu mpeeee….mkunyengeeeee….
Hana shida huyo anataka kudekezwa…uwe unamletea hata zawadi …..
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
sikia ndoa sio lelemama,fahamu panapotokea tatizo,baina ya watu 2 ni lazima hao wote wawili wamechangia,mnatofautia ukubwa wa mchango kwenye huo mgogoro,hivyo hayo unayoyaeleza,ni lazima wewe pia kuna kitu umechangia,sasa ndoa inataka uvumilivu na kuongea kuhusu hayo mayatizo yenu,ongea nae na mtapata ufumbuzi.kwa ushauri mzuri njoo inbox
 
Back
Top Bottom