Nonchalant
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 305
- 432
Cooling break! 😅Mbona hayo yote ni kawaida subiri phase two ndo utajue wanawake ni nini, rafiki yangu hu ni mwezi wa pili analala kwenye gari lake ila ndoa yake in miaka 4, hapo kwako hiyo inaitwa cooling break mechi bado kabisa.......
Aliona tabia ni jambo dogo atambadilisha tu, sasa imegoma kubadilika na tako ameshalizoea hamna jipya tena anaanza kulalamika. Atulie 😆Kwamba alijipa moyo tabia atambadilisha?[emoji23]
KATAA NDOA KIJANA, NDOA NI UTUMWAJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Uenda ana Mimba, so msome vizuri make her happy.Utaacha Wangapi??Hii ndo Dunia yetu na Wanaume tumeumbiwa Mateso,So Be strongJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Pana watu Wana tabia ngumu sana kuishi nao ni hatari kwa afya ya akili unasemaje hawaUmewah kuwa kwenye shida ukamuomba Mungu ikapoteapotea.
Ama ukaomba kisha watu ata watatu wakaota ndoto moja inayofanana kila kitu kuhusu ww na hata hukuwaambia kitu kuhusu.
Ama umewahi kuomba kuwa na uhitaj na ukapata
Mungu hujihusisha sana na mamb matatu kwa mwanadamu
Kuhakikisha anapata wokovu.
Anapata mweza sahihi katika safari ya duniani.
Na kumpatia uzima wa milele.
Ayo mengine ni nyongeza.
Kuzaliwa kuoa/kuolewa na kufa.
Mungu hakupi usipomuomba.
Alimpa adam mke pasipo kuombwa akaishia kulalamikiwa kuwa ni huyu mwanamke ulienipa
Tangu siku hio Mungu hampi mtu mwenza isipokuwa uyo mtu amemhitaji na aakamuomba.
Kuhusu njia anazozijibu kasome visa mbali mbali vya watu waliotaka mke wakamshirikisha Mungu
Wakwanza akiwa ni isaka.
Ila kwakuwa umekishwa kosea.
Ww chakufanya ni kimoja
KUDUMU MWAMINIFU.
ENDELEA KUMPENDA TUU.
MUOMBEE SANA.
MUONYESHE UPENDO ZAIDI YA WA MWANZO BILA KUJALI,
Maana ibilisi alishakupata kupitia mke.
Kumbuka adam hakudanganywa na nyoka miaka yote mpaka pale mwanamke alipotumiwa na shetani.
Na ni hvyo kila wakati.
Huyo ni ibilisi kabisa amemvagaa mkeo.
Wala mkeo yeye hana shida.
inasemekana ni flat screen, mwenzetu anapitia changamoto tumwombee sanaAna chura?
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]hata tako hana
Ulikuwa namuda wakutosha pamoja naePana watu Wana tabia ngumu sana kuishi nao ni hatari kwa afya ya akili unasemaje hawa
Tukiwaambia ndoa ni jehanamu kwa mwanaume muwe mnaelewaJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Sio wengi wanaoshinda ibadani wanamtafuta Mungu wengi uenda kutafuta waume.Ulikuwa namuda wakutosha pamoja nae
Na ukayajua
Na bila kujali ukamchagua kuishi nae na shida zake izo zote
Mwanamke mshenzi unamjua hata akijificha tabia zake vipi
**** vichembe chembe unavijua uyu ni mshenzi na anaigiza.
Hapo ss tumeenda kwa njia ya kawaida
Kwa sababu ww kabla hujamuoa unajua WAPI ULIKUTANA NAE,UNAJUA ANAPENDA MAVAZI YA KISHENZI NAMNA GANI,ANAPENDA VIWANJA NAMNA GANI,NI MTU WASTAREHE NAMNA GANI, MARAFIKI ZAKE NI WATU WA NAMNA GANI,
Akikuficha yeye tabia basi angalia marafiki na watu anaopenda kukaa nao je ni watu wa mtindo gani.
USINIAMBIE WW UNATABIA GANI NA GANI WW KAA KIMYA ALAFU NIONYESHE MARAFIKI ZAKO TU NTAELEWA
Afadhari kuvumilia mwenye chura sio flat screen huwezi kupata maumivu potepoteinasemekana ni flat screen, mwenzetu anapitia changamoto tumwombee sana
Ila kuchagua kati ya tako na tabia ni mtihani sana. Na wengi hawapewi vyote.Si ulimpendea tako ukacompromise tabia, haya sasa pambana ndiye chaguo lako😆
Mwanamke hata awe analala na kuamka kanisani,kama ni mshenzi unamjua.Sio wengi wanaoshinda ibadani wanamtafuta Mungu wengi uenda kutafuta waume.
Uchumbani huwa malaika ni hadi uwe na macho ya rohoni kuwatambua