Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Mwanamke hata awe analala na kuamka kanisani,kama ni mshenzi unamjua.
Kama nilivyosema apo juu.

Ukitaka kwenda ndani zaidi
Angalia ata vitu anavyofatilia mtandaoni.
Anapenda vitu gani.

Ila kabla ya yote
MKE MWEMA HUTOKA KWA MUNGU MWENYEWE.
Hekima hii tunashindwa kujua mapema.
Ukipata mke mwema umepata chombo kilicho bora.
Utajiri wa mwanaume ni amani ya moyo
 
Hakuna kitu kitam kama ndoa
Na hakuna kibaya kama ndoa

Hakuna maneno matam kama ya mke
Midomo yake huwa mitam sana
Ioa inapogeuka upande wapili hakuna midomo michafu na manenonyanayouma kama ya mke

Swala ni WW UPO NA UBAVU WA MTU MWENGINE.
WW NI MWEMBAMBA YEYE MNENE.
WW NI MREFU YEYE MFUPI.
UO UBAVU KAMA SIO WAKO HAUFIT PALE.

Unakuta uo ni ubavu wa mtu fulani mshenzi sana sanaaaaa, ndio uyo mwanamke angekubali kuwa chini ya uongozi wake.

Wengi huwakuta iki
 
Umenena mema wengi tunaishi na wasio ubavu wetu.
Ukiona ndoa inasumbua miaka nenda hakuna amani jua huyo sio ubavu wako.
 
Kwahiyo Dj awaletee kataa ndoa na wimbo gani?
 
Mungu akikupa wa kufanana nae mnakuwa mwili mmoja mnafanana Hadi sura hakuna maumivu wala majuto.
Hata washirikina wanao uwezo wa kuwaunganisha muwe mwili mmoja kutimiza malengo Yao.
Ubavu wako hamuwezi umizana.
Unaishi na lilith badala ya Eva.
 
Kataa ndoa leo wataibuka washindi
 
Hekima hii tunashindwa kujua mapema.
Ukipata mke mwema umepata chombo kilicho bora.
Utajiri wa mwanaume ni amani ya moyo
Mithali 12:4
[4]Mwanamke mwema ni taji ya mumewe;
Bali aaibishaye ni kama kuoza mifupani mwake.


Mithali 31:10-11,28-30
[10]Mke mwema, ni nani awezaye kumwona?
Maana kima chake chapita kima cha marijani.

[11]Moyo wa mumewe humwamini,
Wala hatakosa kupata mapato.

[28]Wanawe huondoka na kumwita heri;
Mumewe naye humsifu, na kusema,

[29]Binti za watu wengi wamefanya mema,
Lakini wewe umewapita wote.

[30]Upendeleo hudanganya, na uzuri ni ubatili;
Bali mwanamke amchaye BWANA, ndiye atakayesifiwa.



Na MWANAMKE ayaesoma ii
Jua kuwa HATA ULALE NA KUAMKA KANISANI,WAKUPE UZEE WA KANISA, NA SITI YA MBELE KANISANI,.

KAMA HAUMSIKILIZI NA KUMTII MUMEO NYUMBANI HUTAKAA KAMWE uione mbingu.
Io ni kulingana na biblia.
Wengi wanajiita wakristo.

Lakini maisha yao ni bora wapagani.
Biblia inasema MBINGU YA MWANAMKE IPO KWA MUMEWE NA KATIKA KUMTII SANA MUMEWE.

Sara alimtii sana ibrahim kama Mungu wake.
HAWA ASINGEDANGANYWA NA NYOKA KAMA ANGEDUMU KUKAA KWA ADAM NA KUMSIKILIZA.
Alidanganywa alipojifanya anaenda mbali na uongozi wa mumewe

NA MWANAUME YOYOTE ASIEMTAWALA MKEWE NA KUMUONGOZA KWENYE NJIA ZA HAKI, HUYO ATA AJIITE MTUME NA NABII HATAKAA AIONE MBINGU KAMWE.

Mungu alimpa uongozi mwanaume juu ya mwanamke ili amuongoze,
Mwanaume hupaswi hata umruhusuu mkeo avae mavazi ya kishenzi.
Na mkeo kuvaa mavazi ya kishenzi, ni hukumu yako.
Ndoa ni ngumu
Mitume walisema nibora tusioe kama ndio hivi
 
Wavulana hawatakiwi kuoa, ni wanaume pekee ambao hufanya careful choices, na wakikosea huvumilia na kutatua changamoto zao.

Unafikiri ni sifa kwako kuchoka ndoa mwezi mmoja na ni lawama kwake? Kwa kifupi :

1. You are very short sighted.
2. Uwezo wako wa kuamua mdogo.
3. Mechanism yako ya kuamua zero.

Kuna chances 125,000,971 za kumchoka wa 2 ukioa baada ya week, why? Your brain is a virus.
 
Ndo maana tunaaswa tuoe wanawake wenye dini.
 
Mtu akiniletea kisirani namzaba makofi mawili tu anakaa sawa yaani sawia bin swadakta.

Kata kofi la MWANA UKOME mpaka anasema asante baba tamu.

Sisi mashangazi hatupendagi ujinga wewe!

cc Lamomy Extrovert Poor Brain Depal Dejane
Au unampiga na komwe hilo πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™ŒπŸ™Œ
Mpaka ataje jina lako la utoto wizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…