Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

hata tako hana
Pole sana.

Hili janga kila mahali. Wanaume wengi mno wanapitia hiyo shida, hata washkaji zangu wanalalamika mno. Wake zao wananuna bila sababu, wanawake wana gubu mno, kisirani na wanawanyima tendo kabisa. Kuna mkurya mmoja mwenye pesa na kazi nzuri, mke wake alimnunia bila sababu na alimnyima tendo, jamaa aliachana na mwanamke ndani ya miezi miwili.
 
Kasha concieve huyo mkuu ni mabadiliko tu ya hormones....ila wanaume mmekua walalamishi sana siku hizi mmhhhh mhuuuuuπŸ™ŒπŸ™Œ
 
Welcome to the party bro.
Sasa hapo ndio pa kutumia uanae wako, mkalishe chini mkanye, usimwombe ila mkanye, asipo sikia mrudishe kwao
 
Kwani ulilazimishwa kuingia ndoani BWASHE?

Sikia Kama kweli ulikubali kwa moyo mmoja pambana na huyo dada angu mtazoeana tu ,,

Sokoni kugumu Sana mzee
 
Mambo mengne tunayatafuta sis wenyewe tu asilimia kubwa wanaume ndio tunaofanya Wanawake kubadilika.usipojua thaman ya mkeo kuna wana nje watajua thaman ya mkeo.msome mkeo mjue njia zake anapenda nini!!!! NB Ndoa ni kwa wanaume waliokomaaa kiakili haswaa kama hujakomaaa kiakili huwez kuish Na mwanamke
 
Amen mtumishi wa Mungu
 
Uchumba wa miezi nane mwaka siyo afya kwenye mahusiano yatakayozalisha ndoa na familia.

Ilivyo binadamu hawezi ku-pretend kitu fulani kwa muda mrefu so kama mtu ana tabia zake mbaya ni rahisi kuzijua mapema na kujua namna ya kuziepuka kama mtakaa kwenye mahusiano ya kawaida zaidi ya miaka miwili,kijana kabla hujamuweka mwanamke wako ndani jipe muda hata miaka mitatu kumchunguza haraka haraka hazina baraka.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…