Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Bro unanipoteza
Mimi nimeoa 2003. Ukihangaika kuridhisha hawa viumbe utapoteza channels za maisha, wenyewe hawajui wanataka nini, ukiwa na pesa maana yake mpambanaji, watakuambia humpi muda wa kutosha, atatembea hadi na watu wasio na hadhi inayofanana nae, ukijifanya kumpa muda mtakosa pesa atatembea na wenye pesa kukidhi mahitaji hata yasio muhimu kwao ili familia yake imuheshimu. Nilishapoteza hadi kazi kwa stress za mke yeye anaongeza elimu na vyeo kazini kwake, nilipokuja kukaa sawa miaka mitano ishapotea bila la maana kwa stress, kuwa makini sana. Muhimu kuwa na maamuzi kama mkuu wa kaya, kuna demokrasia mnapokua wapenzi, ikishakua ndoa udikteta lazima, kwani hata jambo likienda mrama lawama za jamii zitakuangukia wewe, mara anamlaza njaa, mara kashindwa kulipa kodi kisa stress
 
Mimi nimeoa 2003. Ukihangaika kuridhisha hawa viumbe utapoteza channels za maisha, wenyewe hawajui wanataka nini, ukiwa na pesa maana yake mpambanaji, watakuambia humpi muda wa kutosha, atatembea hadi na watu wasio na hadhi inayofanana nae, ukijifanya kumpa muda mtakosa pesa atatembea na wenye pesa kukidhi mahitaji hata yasio muhimu kwao ili familia yake imuheshimu. Nilishapoteza hadi kazi kwa stress za mke yeye anaongeza elimu na vyeo kazini kwake, nilipokuja kukaa sawa miaka mitano ishapotea bila la maana kwa stress, kuwa makini sana. Muhimu kuwa na maamuzi kama mkuu wa kaya, kuna demokrasia mnapokua wapenzi, ikishakua ndoa udikteta lazima, kwani hata jambo likienda mrama lawama za jamii zitakuangukia wewe, mara anamlaza njaa, mara kashindwa kulipa kodi kisa stress
Inaonekana na wewe ulikuwa ni wale wale.....hongera kwa kuzinduka.

Hawa wanawake mnawachukua wakiwa na hizo Tabia ila mnazichukulia Poa sababu ya Nyege za wakati huo.

Baadae ushamzagamua miezi kadhaa ndio unahisi kama zimeanza.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hizi Nyuzi zinapostiwa na wale jamaa wa Kataa Ndoa.

Wamekuja kivingine ktk kutafuta uungwaji mkono.

Tumewashtukia.
 
Muoneni uyu Yan mwezi mmoja unaleta mada ya kuchoka ndoa JF unafikiri ndoa ni amapiano hukuwa tayari kuoa wewe, yan kichwa cha familia wiki 4 kishaanza kulia kwenye mitandao. Muache mtoto wa watu endelea na utoto wako, beti, cheka cheka, post memes wewe familia huwezi
 
Ukweli ni kwamba kipindi cha miezi mitatu baada ya kufunga ndoa ni muhimu sana. Lazima tu pawepo na hiyo hali. Sasa mleta mada ukikutana na hii post uisome vizuri.
Chukua mfano huu wa antigen na antibody. Antigen ni vitu ambavyo vinaingia katika mwili kwa lengo la kuudhuru mwili, mfano virusi au bakteria. Hapo mwili huzalisha antibody kushamblia hizi antigen. Mapigano hayo huzalisha homa au side effect fulani. Wakati mwingine mwili huzalisha antibody kupambana na vinavyoingia mwilini, mfano mimba, zikidhani mimba ni antigen. Matokeo yake mwanamke hupitia changamoto kadhaa hadi pale mwili unapokubaliana na hali halisi.

Chukua tena hii. Herd community nayo ni mulemule. Ili kukabiliana na maradhi fulani inabidi uruhusu kushambuliwa na maradhi husika. Hapo mwili hujenga kinga na mwisho wa siku ugonjwa husika unadunda tu.

Sasa nije kwako mleta mada. Kwanza unatumia majina mazito sana. Hao watu (Nietcz... sijui) walikuwa makini. Wanafalsafa. Wanasayansi. Watu waliokabiliana na mazingira waliyokutana nayo na kiasi kikubwa kuyasbinda. Wewe unanuniwa kisha unanuna? Migogoro unaijua? Mwezi mmoja? Acha hizo arifu. Take your time bro. Show love. Ukiona hali kama hiyo toka kidogo. Ukirudi uje na zawadi (kitimoto hivi 😄). Hiyo hali ina muda itaisha.

Inashangaza pia unakuja na kusema huwezi kuendelea. Mlifungia wapi ndoa? Kiapo kilisemaje? Nasaha za wazazi zilisemaje? Muda na gharama walizotumia watu juu yenu unazifikiria? Unachiwaza ni kuichoka ndoa ya mwezi? Be a man
 
Kama anakupoteza, kwanini umeleta hii mada humu? Au haujaelewa anamaanisha mrudishe kwao.

Mimi nashauri ufanye maamuzi ili ashike adabu na ujue kama aliingia kwenye ndoa kuonekana kaolewa Tu au laaaah!! Na kama ana bwana mwingine tangu unafahamu tu.

N.b.Mwanamke anayekupenda hasingekuwa hivyo kama wewe hauna makosa kwake.. fikra zako ziende nje ya boksi. Pole
Uko sahihi.
Mwanamke akikupenda hakutakuwa na drama yoyote.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Labda mimba inatungwa
 
Kama anakupoteza, kwanini umeleta hii mada humu? Au haujaelewa anamaanisha mrudishe kwao.

Mimi nashauri ufanye maamuzi ili ashike adabu na ujue kama aliingia kwenye ndoa kuonekana kaolewa Tu au laaaah!! Na kama ana bwana mwingine tangu unafahamu tu.

N.b.Mwanamke anayekupenda hasingekuwa hivyo kama wewe hauna makosa kwake.. fikra zako ziende nje ya boksi. Pole
Kumbe una akili nzuri hivi. ....nakuonaga kule mtani wangu kama vile.......Hongera.
 
Back
Top Bottom