Kabla ya kuoa watu hutumia hisia zaidi na moyo instead ya kutegemea Logic gates za ubongo zifanye kazi. Unajua kabisa kwamba huyu ananipendea huduma ila hayupo real na wewe ila sababu una vihela vya rushwa vya TPA unaona huyu namuweza tu. Mara Paap DP World hawa hapa shughuli hamna tena
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Aladu wewe chukua nafasi ya huyo mkePiga chini akanunie kwao.....
Sawa mshauri π§Kuna mawaidha nilisikiliza yanasema
Miez sita had 12 ya mwanzo kwenye ndoa sio ya kuachana ni Muda wa kusomana na kuzoeana,kujua namna Bora na Nzuri ya Kuishi na mwezi wako,ukumbuke mmelelewa kwenye familia mbili tofauti hamuwez kulingana kirahisi
nakuhakikishia, kwa akili yako utafeli tu, it takes God to save your marriage. hii imekuwa proven. kama vile tu shetan anavyoweza kukuletea hamu ya ngono ukashindwa hadi kujizuia ukanunua hadi malaya, hivyo hivyo anaweza kukuondolea hamu ya tendo kwenye ndoa au akakaa katikati yenu, wewe ukiwa vizuri mkeo hayupo vizuri and vise versa, na ugomvi unaanzia hapo. tusimpe shetani nafasi, akiingia tu lazima kuna kitu anaharibu.Mambo mengne tunayatafuta sis wenyewe tu asilimia kubwa wanaume ndio tunaofanya Wanawake kubadilika.usipojua thaman ya mkeo kuna wana nje watajua thaman ya mkeo.msome mkeo mjue njia zake anapenda nini!!!! NB Ndoa ni kwa wanaume waliokomaaa kiakili haswaa kama hujakomaaa kiakili huwez kuish Na mwanamke
Ntaomba unipangishe kwakoππSifugi mwanaume suruali jirani π€£π€£π€£
Mi ukinioa tunaenda kuishi kwako hata km unaishi karibu na mto msimbaziβ¦!!
Chagua tabia, tako sidhani kama lina umuhimu sanaaIla kuchagua kati ya tako na tabia ni mtihani sana. Na wengi hawapewi vyote.
Wanyaturu ndo zao hizo? Hebu fafanua vyema...Ni mnyaturu?
Sio mshauri ila napenda KujifunzaSawa mshauri π§
Hongera... keep into practiceSio mshauri ila napenda Kujifunza
Sawa sawaHongera... keep into practice
Aisee nasikia harufu ya talaka nyingine.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
πππππππππππππ€£π€£π€£Mbona hayo yote ni kawaida subiri phase two ndo utajue wanawake ni nini, rafiki yangu hu ni mwezi wa pili analala kwenye gari lake ila ndoa yake in miaka 4, hapo kwako hiyo inaitwa cooling break mechi bado kabisa.......
Hahahaha !Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hakuna Changamoto yeyote hapo ni ujinga tuuAise,kwa hiyo ulijua kwenye ndoa utakutana na raha tuu? Ukisikia changamoto za ndoa ndiyo kama hizo na hapo bado mpaka useme
Kuna lisong limoja huwa linaimba huyoo ni chaguo lako chaguo lakoo, hata kama ni mweupe, hata kama ni mfupi....Hakuna Changamoto yeyote hapo ni ujinga tuu
Watu kama nyie ndio mnababaishwa na wanawake kisa mnaabudu k.Kama mbunye unapata basi mengine yanazungumzika