Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Ndoa ina mwezi mmoja, nishaanza kukosa amani

Kabla ya kuoa watu hutumia hisia zaidi na moyo instead ya kutegemea Logic gates za ubongo zifanye kazi. Unajua kabisa kwamba huyu ananipendea huduma ila hayupo real na wewe ila sababu una vihela vya rushwa vya TPA unaona huyu namuweza tu. Mara Paap DP World hawa hapa shughuli hamna tena
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu

Mi sijui nikoje?
Maisha yanisumbue hata nnaemmudu anisumbue?

Hamna njia na mlango viko wazi kwake kuondoka.

Mnapotoka ni karibu kuliko mnapokwenda fanya maamuzi mapema hata kama yana gharama gani!

Ila kingine, kemea mambo ambayo huyapendi mapema kuliko kuwa kimya tabia inazidi kukita mizizi mwishoe siku ukiamua kumkanya atakushangaa na pengine asibadilike

Hao viumbe huwa hawaonyeshi tabia zao wakati wa uchumba huficha makucha yao kiasi kwamba we kijana unahisi kama wazazi wanachelewa kuwapa baraka mkaishi pamoja.
Akishafika kwako kwamba mmekuwa mume na mke,
ndo kujihoji kama kwako kunaanza na kujuta pia!
 
Mambo mengne tunayatafuta sis wenyewe tu asilimia kubwa wanaume ndio tunaofanya Wanawake kubadilika.usipojua thaman ya mkeo kuna wana nje watajua thaman ya mkeo.msome mkeo mjue njia zake anapenda nini!!!! NB Ndoa ni kwa wanaume waliokomaaa kiakili haswaa kama hujakomaaa kiakili huwez kuish Na mwanamke
nakuhakikishia, kwa akili yako utafeli tu, it takes God to save your marriage. hii imekuwa proven. kama vile tu shetan anavyoweza kukuletea hamu ya ngono ukashindwa hadi kujizuia ukanunua hadi malaya, hivyo hivyo anaweza kukuondolea hamu ya tendo kwenye ndoa au akakaa katikati yenu, wewe ukiwa vizuri mkeo hayupo vizuri and vise versa, na ugomvi unaanzia hapo. tusimpe shetani nafasi, akiingia tu lazima kuna kitu anaharibu.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Aisee nasikia harufu ya talaka nyingine.
 
Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana

Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro

Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Hahahaha !

Hapo unatakiwa uvumilie lakini hakikisha unatumia maarifa zaidi ili umlainishe awe kama unavyo taka ,Usitumie nguvu anza kumfanyia tafiti vitu gani anakupendeza na nini changamoto na utafute suluhu ya changamoto hizo.

Unajua watu wanapo oana kila mtu anatoka na tabia za makuzi ya kwao au kwenye jamii yao hivyo si lahisi mkaswihi kwa halaka.

Lakini epuka kumfanyia mambo yasiyo faa na anapaswa kujua nini unapenda na nini hupendi mfanye kama rafiki mwisho atakuzoea pia atajua kuwa wanaume wapo hivi .

Baadaye maisha yatasonga .

Nakutakia kila lakheri kwenye safari ya maisha ya ndoa yako.
 
Back
Top Bottom