MtoMsimbazi
JF-Expert Member
- Aug 19, 2009
- 1,800
- 3,091
Hilo trela akijifungua ndio utajuta zaidi it either now or ufe mapema Kwa stress wkt mwenzio kwake ni sawa.Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Kama ii mwez 1 tu wamechokana.Oa tu.. ila usitusumbue na kadi za michango..
Huwa mnasumbua watu alafu ndoa zenyew hamdumu. Wiki moja kila mtu na 50 zake.
🤣🤣🤣🤣 mbavu zanguhata tako hana
Ndoa na kushauri usiingize watu kabisa fanya maamuzi wewe mwenyewe maumivu unàyapata wewe na uzito unaubebe wewe raha unazijue wewe, hamna mtu wakukusaidia kwenye ndoa yako pambana kivyako kama huna mali teme huo mzigo mapema yanao kuja mbele yatakuzidi usimuonee hurumaJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Mbususu anatoa?Jaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1.kisiran
2.kununa
3.Kuzalisha migogoro
haya yote alivokua kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
hapana muha
🤣🤣🤣🤣ndoa acheni things zikibadilika utaona dunia chunguUchumba ulikaa muda gani?
Msingi wa mahusiano yenu ukoje?
Hukuona hizo tabia kabla ya kuoana?
Bro unanipoteza
Hii nimeielewaKama anakupoteza, kwanini umeleta hii mada humu? Au haujaelewa anamaanisha mrudishe kwao.
Mimi nashauri ufanye maamuzi ili ashike adabu na ujue kama aliingia kwenye ndoa kuonekana kaolewa Tu au laaaah!! Na kama ana bwana mwingine tangu unafahamu tu.
N.b.Mwanamke anayekupenda hasingekuwa hivyo kama wewe hauna makosa kwake.. fikra zako ziende nje ya boksi. Pole
Wanamasikhara hawa..Kama ii mwez 1 tu wamechokana.
Hao watoa mawaidha wenyewe wa siku hizi wanawaacha wake zao miezi 2 tu.Kuna mawaidha nilisikiliza yanasema
Miez sita had 12 ya mwanzo kwenye ndoa sio ya kuachana ni Muda wa kusomana na kuzoeana,kujua namna Bora na Nzuri ya Kuishi na mwezi wako,ukumbuke mmelelewa kwenye familia mbili tofauti hamuwez kulingana kirahisi
yaelekea umeoa mwanamke ambaye hukumfahamu hapo awali. Hilo ni kosa ulilofanya. Sasa pima, kama mema ya msingi yake ni mengi basi vumilia, yakubali hayo mapungufu & ishi nae.hiyo kununa alikua nako sema si mtu akiwa mbali sasa saizi naona imekua too much
Bro mkaze vizuri mkeo huu ndo ushauri wangu ukiufanyia kazi utakuja kunishukuruJaman ndoa ndo zilivo.
Yaan tangu nimuoe nimuweke ndani naanza kuona tabia zinazoanza kuninyima aman.Had natamani nimwambie bana tumeshindwana
Tabia anazoonesha
1. Kisiran
2. Kununa
3. Kuzalisha migogoro
Haya yote alivyokuwa kwao sikua nayaona aisee nishachoka.Nimeukumbuka uhuru wangu
Ndoa itaachaje kuwa chungu wakati uchumba ulikuwa umetawaliwa na mambo mengi ya hovyo.🤣🤣🤣🤣ndoa acheni things zikibadilika utaona dunia chungu