MamaSamia2025
JF-Expert Member
- Mar 29, 2012
- 14,588
- 32,361
Hii kibokoUnae muoa usizae nae, na utae zaa nae usimuoe.. equation balanced
Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
📌📌📌Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
NakaziaKama una ushahidi kwanini usichukue hatua??
Hii kulia lia na kulaani wanawake haikusaidii kitu.
Mwenzio ashakua hatua kwa kumuheshimu kidume mwingine, wewe kama huchukui hatua unaishia kulia na kulalamika basi hapo tatizo ni wewe sio yeye.
Si ajabu yeye anasubiri wewe umwambia sasa kwisha, ila bahati mbaya wewe unalialia tu. Basi anakua hana jinsi zaidi ya kuendelea kukuchora.
Nipo upande wako hakuna kuamini mwanamke bora uwe kwenye upande wa kutokuamini angalau utakuwa sehemu sahihi.Let's agree to disagree, keep aging and keep in touch bro, nimekuwa hapo, neamini sana hasa na kuheshimu, Imani, maombi na wokovu, niliyokutana nayo siwezi sahau, naamini wokovu, siamini obidience ya watu kwenye misingi ya wokovu!
I will never trust any Woman life time! I believe in forgiveness as a Biblical truth, But I trust God only for protection, never any Woman under the Sun!
Nina kijana wangu wakiume, siku anaoa sita attend, nitatuma mtu aende on behalf, I will never ever believe kwenye commitment to a Woman, life time, I don't even want my worse enermy to go through the experience have had with Women.
Wanakuaga wakali hao wakichitiwa ukute anaechiti kaleta malaya kwenye chumba na kitanda cha mkewe..nilishuhudia jamaa kamsend off mkewe kwao akajifungue madai yake hawezi hudumia mwanamke aliyejifungu kumbe anamishe yake na mchepuko vile kaondoka tu kamleta ndani kimada kwenye kitanda cha mkewe..huyo akichitiwa na yeye ataona kaonewaSwala la ndoa nadhani tuelimishane ktk pande zote
usaliti upo Kwa jinsia zote(me&ke) tatz ni kuwa sis wanaume tunaamin Tunahaki ya kuchit.
Nadhani ww unaelalmik kuchitiwa,ongea na dhamiri yko kama hujawahi chiti, acha kuwaza kama mvulana waza kama mwanaume.
Kabisa mkuu wanawake wanaonekana wakora ila kuna wanaumee baadhi wanakero sana aisee..mtu kaoa mke anamuheshimu vizuri tu anamunzishia visa kisa ni mwanamke asiongee na asitoe kero zake..ndoa ni changamoto mno sio kidogoMnawasakama sana wanawake,mbona nyie hamzungumzii changamoto zenu?kiufupi ndoa zina changamoto sana ila ni kujifanya mjinga mkiwa wajuaji wote hamtoboi.
Mfano unakuta we unawaza hivi mwenzio anawaza hivi.
Watu wengi ndoa zilishakufa ila wamebaki kuishi kama wazazi.
Ulichagua mke wa namna gani?? Kumbuka si kila mwenye jinsia ya kike anx fit kuwa mke ndo maana ulitakiwa uwe makini, wengine ukisema ndoa ngumu wanakushangaaShukrani Kaka! Hawa viumbe? They are always looking for what is missing! It is very difficult to be a Man, haswa ukiwa mwaminifu, mtulivu na unayejali, lakini ukiwa player na muhuni mambo sio magumu!
Mi nachekaga tuuuUkioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie 😭😭😭😭
Jina la kitabu ni lipi na kinapatikana wapi?Kuna kitabu kimoja ameandika jamaa mmoja mkenya anaitwa Silas Nyanchwani.
Asee vijana nawashauri kabla ya kuoa someni kitabu cha huyu jirani yetu mkenya.
Huyu jamaa ni kichwa sana halafu anayoandika kuhusu ndoa ni ukweli 100%
Mfano kuna research inasema, ndoa yoyote iliyofungwa na wanandoa waliokutana kimjini mjini(mf chuo) au wanandoa wenye kipato sawa, uwezekano wa kuvunjika kwa ndoa hiyo ni mkubwa sana.
Jamaa kaeleza mengi sana.
Huyu hapa msikilizeni.
View: https://youtu.be/4XWp2vrmRSY?si=uHf2z3S6mpcTqFTL
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] umekaa kwenye ndoa miaka mingapi mzee?Ukioa ndo utajua kuwa kuoa sio kuzuri.
Pia ukiwa single utaona kuoa Kuna faida ila maisha ya ndoa ni magumu saana asikudanganye mtu ukipata bahati ya kuwa single usichezee.
Mungu sio mjinga wakusema tuishi na wanawake kwa akili. Wenzetu hawa ni watu hatari saana anaweza kukunyima unyumba lakini uko nje Kuna mtu anampa kwa wakati wowote tu anao utaka akifika kwako kama mume wake sababu zinakuwa nyingi.
Kuna wakati anaweza kuwa hakusikilizi kabisa wewe kama mume wake lakini Kuna boya fulani uko nje anamsikiliza vizuri kabisa na wakati mwingine linampa masharti kama mume wake.
Mwanamke sio kiumbe dhaifu kama tunavyoambia na vitabu vyetu vya dini anaweza kuwa dhaifu kwenye mambo mengine lakini sio kwenye akili.
Tutafute pesa vijana wenzangu
Tayari kwangu mimi nimejiona acha nilie [emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Pitia hiyo video utapata maelezo zaidiJina la kitabu ni lipi na kinapatikana wapi?