Ndoa ya Aziz Ki ni maisha yake binafsi, lakini Wacha nitie neno kidogo

Uhuru wa mtu uheshimiwe Aziz K hapo alipo ana watoto kuona mwanamke mwenye watoto kuna ubaya gani? wewe ambae sio kiazi una kipi labda umemshinda Aziz K?
 
Kuna ndugu zenu wa kike wametembezewa kichapo na wanaume huyo hamisa Cha mtoto. Mbona wameolewa shida ni yeye kuwa maarufu

Kuna wadada huku mtaani ni masingle mother na ni Malaya vibaya mno hebu tutajieni wanaume 10 alowah kuwa nao mnaowafahamu
Wataanzania acheni majungu
 
Labda hii ndoa ni sababu ya mfungo unaokuja mwezi ujao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…