Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje



VIJANA WANAOA NA KUOLEWA AT PAR.
 
Kamuoa Nusrat mbunge, kaoa kimya kimya, mke wake wa Marekani kagundua, huyo Debora wa marekani ameamua kuvunja ndoa, but alikuwa anamtumia maulid miamala ya kutosha
Huyo wa Marekan anayeachana naye ajiandae kufililiska.Wamarekani haki za mwanamke ziko juu mno

Na kama kazaa naye ndio kabisa atakiona cha mtema kuni
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…