fyddell
JF-Expert Member
- Dec 19, 2011
- 12,026
- 22,549
Tatizo mahaba kolezwa kumbe mtu ana malengo yake🤣🤣Sasa huyo Nusrat nae si anataka kuporwa pesa za ubunge na jamaa apite hivi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tatizo mahaba kolezwa kumbe mtu ana malengo yake🤣🤣Sasa huyo Nusrat nae si anataka kuporwa pesa za ubunge na jamaa apite hivi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Maulidi amechanganya, baba ni mnyamwezi, mama ni mtu wa Lindi. Wana uhusiano wa kindugu na mbunge wa Mtama kupitia mama.Ila mnyaturu na Mzaramo wanadumu vizuri tuu
Wakawa wanasema ni mtu wa systemNilikuwa nashangaa huyu Jama kila leo yupo USA, UK etc, Kumbe Marioo, shenzy kabisa, wanaume wachache sana tunaenda nje kwa mishe zetu halali.
Basi huwa najuaga ni maulid ni mtu wa kigomaMaulidi amechanganya, baba ni mnyamwezi, mama ni mtu wa Lindi. Wana uhusiano wa kindugu na mbunge wa Mtama kupitia mama.
Nusrat akiona yanayoendelea kule insta atamuwekea uwalakini mkubwa sana huyu jamaa
Hehe Meekmill alikua anakula Nicki Minaj na bado Diddy anatindua topeSi huwa mnasema ni upinde!
Hata ukipenda ukojolee mikono, midoli au Mikňûdň, ni wewe tu.Uamuzi ni wako dunia hii..ukiamua ukojolee limalaya linalojiuza , ama lijanamke ambalo halina mbele wala nyuma ni wewe tu...au ukojoleee pazuri lishangazi liko UN, au limbunge, ama lifanyabiashara likubwa la afrika huko,, ni wewe tu.
Wale wale waswahili, hawanaga wivuMaulidi amechanganya, baba ni mnyamwezi, mama ni mtu wa Lindi. Wana uhusiano wa kindugu na mbunge wa Mtama kupitia mama.
Mtu mwenye asili ya Kigoma ni BugattiBasi huwa najuaga ni maulid ni mtu wa kigoma
[emoji23]Hata ukipenda ukojolee mikono, midoli au Mikňûdň, ni wewe tu.
Yes ni Mmnayema kwa asili sema familia ilihamia Tabora....Basi huwa najuaga ni maulid ni mtu wa kigoma
Unauhakika Millard Hana wake wewe utakuwa hujuiWanawake wa kiiislamu weusi huwa hawaenjoy ndoa zao. Wanaume wa kiislam weusi wenye vipato vikubwa wapo wachache na hao wachache kazi yao kuoa kuzalisha na kuacha kisha kuoa upya.
Waarabu waislam wana ustaarabu tatizo na wao wanaoa waarabu wenzao tu.
Wanawake wa kikristo wana advantage sokoni maana wakaka wa kikristo wenye vipato vikubwa wapo wengi.. na dini yao inawabana na kuwafosi ustaarabu.
Imagine mtu kama millard ayo alivyojipata kama angekuwa muislamu angekuwa na ndoa ngapi ?
Unacheka?[emoji23]
😂Maulid Baraka wa kitenge ni nouma, anachambuliwa huko Instagram kama yeye anavyochambuaga magazeti[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Na ceiling ni 4 kwa mujibu wa maelekezoHuyu Si ana wake 3 hapa Mjini... Huyo wa Marekani wanne.... Sasa Nusrat ni mchepuko! Jamaa anajua kutafuta Hela!
![]()
![]()
full kuchambuliwa yaan.![]()
SanaMaulid anajua kucheza na wanawake wenye pesa zao😆😆😆
Maulid yy anachungulia fursa tuSasa huyo Nusrat nae si anataka kuporwa pesa za ubunge na jamaa apite hivi. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Na ni bingwa wa kutangaza ndoaMaulid yy anachungulia fursa tu
Namkubali kwa hilo 😄
Ova