Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje

Ndoa ya Marekani ya Mtangazaji Maulid Kitenge yadaiwa kuaota mbawa baada ya kumuoa Mbunge Nusrat Hanje

Diskasheni za kupoozesha machungu ya bei za wese kupanda.
Tunatafuta faraja kona yeyote hata kwa kubomoana
 
Uamuzi ni wako dunia hii..ukiamua ukojolee limalaya linalojiuza , ama lijanamke ambalo halina mbele wala nyuma ni wewe tu...au ukojoleee pazuri lishangazi liko UN, au limbunge, ama lifanyabiashara likubwa la afrika huko,, ni wewe tu.
Hata ukipenda ukojolee mikono, midoli au Mikňûdň, ni wewe tu.
 
Wanawake wa kiiislamu weusi huwa hawaenjoy ndoa zao. Wanaume wa kiislam weusi wenye vipato vikubwa wapo wachache na hao wachache kazi yao kuoa kuzalisha na kuacha kisha kuoa upya.

Waarabu waislam wana ustaarabu tatizo na wao wanaoa waarabu wenzao tu.

Wanawake wa kikristo wana advantage sokoni maana wakaka wa kikristo wenye vipato vikubwa wapo wengi.. na dini yao inawabana na kuwafosi ustaarabu.

Imagine mtu kama millard ayo alivyojipata kama angekuwa muislamu angekuwa na ndoa ngapi ?
Unauhakika Millard Hana wake wewe utakuwa hujui
 
Yule jamaa nilikuwa nashangaa huwa anakipato gani daily safari za majuu??
Huku bongo kaacha wake kibao anajigawa vp kwa kipato gani inashangaza
 
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
emoji23.png
full kuchambuliwa yaan.

Maulid anajua kucheza na wanawake wenye pesa zao😆😆😆
Sana

Ova
 
Back
Top Bottom