Ndoa ya mke mmoja ni maagizo potofu ya mwanadamu, sio Mungu. Ukweli huu hapa

Ndoa ya mke mmoja ni maagizo potofu ya mwanadamu, sio Mungu. Ukweli huu hapa

Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuchelewa. Kuoa wake wengi ninaamini ni sawa kwa utamaduni wa mababu zangu na kwa dini
Hata maelezo mengi ya biblia ni tamaduni za Kirumi na Wayahudi harafu wapuuzi Fulani wanataka kulazimisha tamaduni zao Ili sisi Waafrika tuache zetu Tupate hasara.

Matokeo yake ni ushoga,usaganaji na umalaya.

Naunga mkono hoja.
 
Kwa hiyo sheria ilitaka tuwe na wake wangapi?
Wewe ungependa kuoa wake wangapi?

Note:
Andiko la Tito umelitumia vibaya, umeshindwa kuelewa context. Suala la maaskofu kutakiwa kuwa na sifa ya kuoa mke mmoja lililenga kuwazuia watu ambao kabla ya kuwa wakristo walikuwa na wake wengi (na kwa kuwa ukristo usingeweza kufuta historia zao za nyuma za kuoa) basi kanuni ya kupewa uaskofu ikawazuia ili kulinda heshima ya kanisa machoni pa watu.
Unaoweza kuwatunza,wake wangapi ndio nini? Kumtolea mfano yule Suleiman eti ni ubatili mtupu kwani alivyoshika utaratibu wa dini yake alifukuza wake zake wote?
 
Hii ni ASSUMPTION yako mkuu. Huu ulikuwa uamuzi wa Mungu kuumba pair moja ya ke na me. Angependa angeweza kuumba pair nyingi tu. Hata hivyo, baada ya kuwaagiza Adam na Hawa wazae na kuiongeza dunia hakuna mahali alielekeza (kwenye biblia takatifu.....neno la Mungu) kila mwanaume aoe mke mmoja tu. Nipe kifungu walau kimoja kinachosema hivyo. Otherwise uache kuwapotosh watu kwa maneno ya kufikirika/kudhania
Waefeso 5:31

Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Kwanini sio ataungana na wakeze? Kwanini iwe mkewe? Dhana ya mwili mmoja inaaply vipi watakapokuwa wanawake wengi?
 
Waefeso 5:31

Kwa sababu hiyo, mwanamume atamwacha baba yake na mama yake, ataungana na mkewe, nao wawili watakuwa mwili mmoja.”

Kwanini sio ataungana na wakeze? Kwanini iwe mkewe? Dhana ya mwili mmoja inaaply vipi watakapokuwa wanawake wengi?
Hii inahusianaje na Mungu kuumba mke mmoja na mume mmoja? Acha kupotosha watu mkuu. Lete hoja zenye mashiko sio hizi za kuokoteza. Hujaelewa hoja, rudia tena kusoma uzi utaelewa mkuu.
 
Abraham kuzaa tu na mjakazi aitwaye Hajir na kumpata Ishmael, matokeo yake ndo haya Israel vz Hamas... Hii ni changamoto kaa utu lie kupunguza changamoto
Hamas ni Wafilisti. Hawana undugu wote Na Ibrahimu. Wakati Ibrahimu anahamia Kanisani aliwakuta Wafilisti. Hakuna uzao wa Ismail pale Kanaani. Uzao wa Ismail upo Uarabuni. Wafilisti siyo Waarabu.
 
Hii inahusianaje na Mungu kuumba mke mmoja na mume mmoja? Acha kupotosha watu mkuu. Lete hoja zenye mashiko sio hizi za kuokoteza. Hujaelewa hoja, rudia tena kusoma uzi utaelewa mkuu.
Nimeuliza swali nipate ufahamu unasema napotosha tena boss?

Mada ni, mwanamume kuoa mke mmoja si maagizo ya MUNGU ni ya binadamu.

Swali: Biblia imetoa maelekezo kuwa mwanaume aachane na baba na mama yake aambatane na mkewe na wawe mwili mmoja(waefeso 5:31). Sasa kwanini haikusema aambatane na wake zake ikatumia neno mke? Na je wakishakuwa mke zaidi ya mmoja concept ya mwili mmoja itaaply vipi?

Naomba jibu mkuu.
 
Umeskika kiongozi sema sasa tujibebeshe wangapi?
Beba kadri utakavyoweza kuwatunza mkuu. Na biblia inaagiza uwapende wote kwa usawa na kuwatunza kwa usawa. Hapa ndipo wengi wanapofeli.

God never condemned polygamy, but rather he regulated it which means he approved of it. Some will try to point to Deuteronomy 17:15-17 where God says that a King shall not “multiply wives to himself” to say God was condemning polygamy.

Kula chuma hiko.
 
Nimeuliza swali nipate ufahamu unasema napotosha tena boss?

Mada ni, mwanamume kuoa mke mmoja si maagizo ya MUNGU ni ya binadamu.

Swali: Biblia imetoa maelekezo kuwa mwanaume aachane na baba na mama yake aambatane na mkewe na wawe mwili mmoja(waefeso 5:31). Sasa kwanini haikusema aambatane na wake zake ikatumia neno mke? Na je wakishakuwa mke zaidi ya mmoja concept ya mwili mmoja itaaply vipi?

Naomba jibu mkuu.
1697436265506.png
1697436324398.png
 
Hii inahusianaje na Mungu kuumba mke mmoja na mume mmoja? Acha kupotosha watu mkuu. Lete hoja zenye mashiko sio hizi za kuokoteza. Hujaelewa hoja, rudia tena kusoma uzi utaelewa mkuu.
Nimeuliza swali unasema napotosha tena boss.

Mada ni, mwanamume kuoa mke mmoja si maagizo ya MUNGU ni ya binadamu.

Swali: Biblia imetoa maelekezo kuwa mwanaume aachane na baba na mama yake aambatane na mkewe na wawe mwili mmoja. Sasa kwanini haikusema aambatane na wake zake?

Naomba jibu mkuu.
Sawa.
 
Nimeuliza swali unasema napotosha tena boss.

Mada ni, mwanamume kuoa mke mmoja si maagizo ya MUNGU ni ya binadamu.

Swali: Biblia imetoa maelekezo kuwa mwanaume aachane na baba na mama yake aambatane na mkewe na wawe mwili mmoja. Sasa kwanini haikusema aambatane na wake zake?

Naomba jibu mkuu.

Sawa.
Umeona eeh? Kwa hiyo ni maamuzi ya mtu mkuu. Ukiamua kuoa wengi ni sawa na ukiamua kuoa mmoja pia ni sawa. Hata ukiamua usioe kabisa ni sawa. Hutendi dhambi yoyote. Sasa kwanini wanatupangia tuoe mmoja huku wakijua katazo lao ni baseless?
 
Nimeuliza swali nipate ufahamu unasema napotosha tena boss?

Mada ni, mwanamume kuoa mke mmoja si maagizo ya MUNGU ni ya binadamu.

Swali: Biblia imetoa maelekezo kuwa mwanaume aachane na baba na mama yake aambatane na mkewe na wawe mwili mmoja(waefeso 5:31). Sasa kwanini haikusema aambatane na wake zake ikatumia neno mke? Na je wakishakuwa mke zaidi ya mmoja concept ya mwili mmoja itaaply vipi?

Naomba jibu mkuu.
Mkuu hata mke wa pili, wa tatu na kadhalika kila mmoja wakati wa kutolewa ataachana na wazazi wake na kuungana na huyo mwanaume ambaye naye ataachana na wazazi wake.

Mkuu kwani ukiungana na mke wa kwanza mkawa mwili mmoja mwanaume unakuwa na vichwa viwili? au mikono minne?

Kanuni ya asili tu inakataa dume mmoja kuhudumia jike moja, tazama mazingira yaliyotuzunguka dume moja huhudumia majike mengi? Wanadamu ni wanyama iweje wawe tofauti?

Kwenye biblia maneno yaliyotoka kwa Mungu mubashara ni amri 10, hazikuzungumzia ndoa iwe ya wake wangapi na katika kauli za Yesu hakuna mahali alizungumzia ndoa iwe ya wake wangapi, hakuna!

Mitume wa Yesu walikuwa wayahudi, kwa mujibu wa desturi za wayahudi kwa wakati huo ndoa zao zilikuwa ni za wake wengi! Mitume wengi walikuwa na wake wengi!

Mungu aliwatumia manabii ambao wengi walikuwa na wake wengi mpaka na masuria! Mungu hakuona ni kosa!
 
Mkuu hata mke wa pili, wa tatu na kadhalika kila mmoja wakati wa kutolewa ataachana na wazazi wake na kuungana na huyo mwanaume ambaye naye ataachana na wazazi wake.

Mkuu mkuu kwani ukiungana na mke wa kwanza mkawa mwili mmoja mwanaume unakuwa na vichwa viwili? au mikono minne?

Kanuni ya asili tu inakataa dume kwa jike moja, tazama mazingira yaliyotuzunguka dume moja huhudumia majike mengi? Wanadamu ni wanyama iweje wawe tofauti?

Kwenye biblia maneno yaliyotoka kwa Mungu mubashara ni amri 10, hazikuzungumzia ndoa iwe ya wake wangapi na katika kauli za Yesu hakuna mahali alizungumzia ndoa iwe ya wake wangapi, hakuna!

Mitume wa Yesu walikuwa wayahudi, kwa mujibu wa desturi za wayahudi kwa wakati huo ndoa zao zilikuwa ni za wake wengi! Mitume wengi walikuwa na wake wengi!

Mungu aliwatumia manabii ambao wengi walikuwa na wake wengi mpaka na masuria! Mungu hakuona ni kosa!
Mkuu umemaliza kila kitu. Yesu hakuwahi popote pale kufundisha ndoa ya mke mmoja na alipokujq hapa duniani standard ilikuwa angalau wake wawili mpaka mitume. Hakuna hata sehemu moja anazungumzia neno hilo, na huyo ndio alizungumzia mambo hasa.

Kama Huna muda kabisa kabisa wa kusoma biblia na kujua kazi ya yesu na maonyo na makatazo yake aliyaunganishq kwenye mahubiri yake mashuhuri siku ile pale mlimani. Ile ndo ilikuwa summary ya dhumuni lake duniani. Soma tu ile na ujaribu kuishi yale maneno yake ya siku ile utakuwa mtu the best.

Ila na uzuri na ubora wote wa mahubiri yale na ndiyo alimaliziq kabisa maisha na lengo lake kwa mahubiri ya pale mlimani ila hakuongea hilo jambo na nakuhakikishia ingekuwq shida siku hiyo pale mlimani asingeliachq.

Wale wasoma English bible ile inaitwa "sermon on the mount", !!! Mimi nimeirudia na kuirudia na kurudia ile sermon!!

Na hata yule mwanamke kahaba hakuzuia asipigwe mawe maana kwa kuzuia angetengua torati, yeye alichosema tu ni kuwa basi aliyemsafi na awe wa kwanza kumponda jiwe. Since hakuwepo hakuna aliyemponda
 
Mkuu hata mke wa pili, wa tatu na kadhalika kila mmoja wakati wa kutolewa ataachana na wazazi wake na kuungana na huyo mwanaume ambaye naye ataachana na wazazi wake.

Mkuu mkuu kwani ukiungana na mke wa kwanza mkawa mwili mmoja mwanaume unakuwa na vichwa viwili? au mikono minne?

Kanuni ya asili tu inakataa dume kwa jike moja, tazama mazingira yaliyotuzunguka dume moja huhudumia majike mengi? Wanadamu ni wanyama iweje wawe tofauti?

Kwenye biblia maneno yaliyotoka kwa Mungu mubashara ni amri 10, hazikuzungumzia ndoa iwe ya wake wangapi na katika kauli za Yesu hakuna mahali alizungumzia ndoa iwe ya wake wangapi, hakuna!

Mitume wa Yesu walikuwa wayahudi, kwa mujibu wa desturi za wayahudi kwa wakati huo ndoa zao zilikuwa ni za wake wengi! Mitume wengi walikuwa na wake wengi!

Mungu aliwatumia manabii ambao wengi walikuwa na wake wengi mpaka na masuria! Mungu hakuona ni kosa!
Mkuu umemaliza kila kitu.
Suleimani alioa wake 300+ na masuria 700
Mi nna MKE 1 na michepuko 2 afu naitwa malaya[emoji26]
Hao ni waongo wakubwa mkuu. Usiwasikilize. Mitume wa Yesu walikuwa hadi na concubines. Kama ingekuwa polygamy ni dhambi Yesu asingeruhusu kuandamana na mitume waliooa mitala na hadi kuwa na nyumba ndogo za kutosha.
 
Naingia kwenye mada moja kwa moja bila kuchelewa. Kuoa wake wengi ninaamini ni sawa kwa utamaduni wa mababu zangu na kwa dini zote za asili ya Abraham maana hakuna ilipozuiwa. Nitakuwa mwendawazimu sana nimezalizaliwa na mke wa pili kwa baba na kisha nimezeshwe dhana ya uongo tu na mchungaji au pastor kuwa mke wa pili ni kosa na hivyo nami nijione haramu bila hata kutafiti.

Moja, nimefanya utafiti nimegundua dini haizuii na mwanzo wa jambo hilo ni tamaduni ya Urumi (Roman Empire) ambapo wao utamaduni wao ulikuwa mke mmoja tu. Hivyo sioni haja ya kuamini utamaduni wa Kirumi na kuacha utamaduni wa mwafrika.

Pili, kama Mungu anaamini nyumba ndogo ni haramu asingeruhusu Yesu azaliwe katika uanadamu wake atokee nyumba ndogo.

Historia ya dunia hii nimejaribu sana kuisoma kila sehemu. Mwanzilishi wa jambo hili kuliweka kwenye sheria ya kirumi kabisa na kuhakikisha siyo utamaduni pekee bali sasa liko kwenye sheria ya kirumi dhama hizo anaitwa emperor Augustus! Na kwa msaada tu huyu ni mtoto wa emperor Julius Ceasar (mnaita Julius Kaisari).

Wakati mitume wa yesu wanakimbia Rome baada ya yesu kufa walikuta hii sheria ni kali sana, mke mmoja na mume mmoja. Na wakristo wanaanza kuuliza vipi hili mbona linakingana na torati mnasemaje? Soma kitabu cha Tito ambapo wanaorodheshwa ambao wamezuiwa kuoa zaidi ya mke mmoja. Tena kinasema kabisa kwamba "wafuatao wawe waume wa mke mmoja". Sasa wametajwa. Sisis katika hao waliotajwa hatumo, inakuwaje mchungaji atumezeshe hiyo imani tuikubali?

USHAURI WANGU
Nawashauri wanaume wenye uwezo wa kuoa mke mmoja wafanye hivyo mara moja kwani hakuna kifungu cha biblia hata kimoja kinachowazuia kufanya hivyo. Watu waoe mitala wazae na kuijaza dunia. Hili ndilo agizo la Mungu Baba Mwenyezi. Maagizo mengine yoyote ni ya wanadamu tu!
Ww unaepiga debe mitaala kasome Mathayo 19 , ndo utaelewa maana ya ndoa
 
Mungu angetaka hio polygamy system, angemuumbia Adam mke zaidi ya mmoja.
Ila hakufanya hivo, alimuumbia Adam mke mmoja tuu na Adam akarithika na kukaa naye maisha yake yote na hakuongezewa mke.
Yule ni Adam na Hawa
Na kama kuoa mke zaidi ya mmoja ingekuwa zambi basi Suleiman asingebarikiwa
 
Back
Top Bottom