Mjuni Lwambo
JF-Expert Member
- Apr 25, 2012
- 11,133
- 12,361
Hilo jambo la aibu hawakuliona kwa miaka nane. Kwanza jambo gani la aibu, jamaa hana pumbu moja au dushe limepinda?Hadi mwanamke akatae kabisa kurudi, hapo kuna jambo zito la aibu ndio maana hawaongei.
Haya maisha ya kukutana mjini sio rahisi ...Mtu kwao ana kesi kibao ila mmekutana hapa Dar ...Wapo wanawake vijijini wameacha watoto kwa bibi zao wapo town hapa kujitafuta.Kwa nje alikuwa humble na hofu ya Mungu ila kwa ndani alikuwa jeuri sana.
Kwa nje alionekana mtu wa watu kumbe 95 ya hao watu walikuwa wanaume. Wanaweza kumpigia simu hata saa 8 usiku.
Kwa nje nilikuwa namuona simu ipo busy na simu za kazi, kwa ndani niligundua alikuwa na list ya washikaji kwa hiyo simu inakuwa busy ili kuimarisha kampani.
Kwa nje alionekana singo maza aliyekata mawasiliano na mzazi mwenzie, kwa ndani niligundua wanawasiliana mara kwa mara.
Kwa uchache sana. Mwanamke mlazimishe kujua mambo yake ya ndani sana, itakusaidia kufanya maamuzi
Hadi umepata kwikwi.aisee ninelia sana
Kumbuka unaenda kubeba zigo kwa miaka mingi sana. Unashindwaje kuwekeza kujua hayo? Kwa utandawazi huu unashindwa kuyajua ya kwao?Haya maisha ya kukutana mjini sio rahisi ...Mtu kwao ana kesi kibao ila mmekutana hapa Dar ...Wapo wanawake vijijini wameacha watoto kwa bibi zao wapo town hapa kujitafuta.
Wanawake wengi huwa wanapressurize kufunga ndoa kwa ajili tu ya kufanya sherehe, ili siku hiyo apendeze.Mkuu harusi yao ilifana, MC kalipwa pesa kibao, Sendoff na mizawadi kibao
Ndoa imefungwa ROMAN CATHOLIC, lakini yote tisa iko chali!!!
Mwanaume angetaka mwanamke akakataa siri ingesemwa, ila kama mwanaume katelezeshewa akachomoa mke akataka aendelee mume akakataa lazima mke akimbie na hatasema. Wanaume siyo waropokaji wanakufa na tai shingoni.Rafiki yangu ni mfanyabiashara Kariakoo hivyo pesa ya kubadili mboga sio Tatizo lake kabisa. Amedumu katika mahusiano zaidi ya miaka 8 na mwenza wake wa maisha kabla ya kuamua rasmi kufunga ndoa mwishoni mwa November 2023.
KILA MTU HAELEZI TATIZO
Wasuluhishi wameshindwa kwani kila mtu haongei tatizo ni nini, mwanamke hana nia ya kurudi tena na kaenda kwao!!
Kama watu hawa hawapendani, Je waliwezaje kudumu kwa miaka 8?Je kataa ndoa wana point tuwasikilize 😀?
Jambo gani hilo ambalo halikuonekana miaka yote 8 waliyoishi bila ndoa?!wana lao jambo si bure
Mariam BirianNina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag ili kumpongeza kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyuma mbele, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimmwagia maBAO mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
😂😂😂Mwanaume angetaka mwanamke akakataa siri ingesemwa, ila kama mwanaume katelezeshewa akachomoa mke akataka aendelee mume akakataa lazima mke akimbie na hatasema. Wanaume siyo waropokaji wanakufa na tai shingoni.
Fanya ushikaji kwa tahadhali kubwa sana. Ukizidi anakosa utii kwako, anakuwa hakuogopiSijafikiria kuoa kwa sasa ila kwa kuwa na demu tu napenda awe msela sana tuwe kama marafiki tunda unakula na ushkaji kunakuwepo napenda sana
😢 I miss you Zainab
Wote wameridhia kuachana au kuna mojawapo anatamani ndoa iendelee?Mkuu inauma watu tumesafiri na kuwaunga mkono halafu wameshindwa hata kufika mwaka??
Hii point wataelewa wachache sana.Pili harusi zina mengi waswahili utupia Yao kupitia zawadi
Lililoshindwa kuonekana kwa miaka 8?Hadi mwanamke akatae kabisa kurudi, hapo kuna jambo zito la aibu ndio maana hawaongei.
Eti bonge la paipu nyuma na mbele mabao mazito mazito, acha hizo mkuu.Nina story inataka kufanana na yako. Bonge la harusi, bonge la ukumbi, bonge la promo, mapichapicha, bonge la honeymoon, mc wa kiwango, bibi harusi ni mzuri sana pisikali mweupe ana shepu namba 8 ya tako kubwa anawaka kweli kweli.
Ndoa waliachana kabla ya mwaka, Ila chanzo cha kuachana ndani ya muda mfupi kilijulikana baadae, ni kuwa. Kuna watu walimtumia bwana harusi sextape mbalimbali za bibi harusi kwenye dm ya Instagram ya bwana harusi (watu walimtag ili kumpongeza kwenye comments kwenye page ya MC). Video za miamba mbalimbali ikimpiga bonge la pipe "bibi harusi", tena kwa kuchanganyachanganya mbele na nyuma, nyuma mbele, mbele nyuma, nyuma mbele, wakimmwagia maBAO mazitomazito.
Kumbe yule bibi harusi, alikuwa type ya semibitch. Yaani alikuwa ni mdangaji wa chini kwa chini, Indirect Dangaring. Kumbe wateja walikuwa wanamrecord yeye bila kujua akiwa amelewa.
Ndoa iliyeyuka kabla la mwaka.
Hayo tu ndio umeona ya aibu!!Hilo jambo la aibu hawakuliona kwa miaka nane. Kwanza jambo gani la aibu, jamaa hana pumbu moja au dushe limepinda?
YesLililoshindwa kuonekana kwa miaka 8?