Ndoa yangu changa inataka kuniua

Sasa kwa mtu wa aina hiyo utafanya maendeleo gani kwenye hii dunia..jiulize mwenyewe halafu ujijibu.
Huyo ndo mtu wa kuanzisha nae familia?
 
Sasa kwa mtu wa aina hiyo utafanya maendeleo gani kwenye hii dunia..jiulize mwenyewe halafu ujijibu.
Huyo ndo mtu wa kuanzisha nae familia?
Mkuu kusema ukweli ukiachana na ukweli kuongezeka kwa majukumu kumenisaidia kuongeza jitihada za utafutaji na kuweza kuongeza kipato changu mara mbili zaidi ya kabla ya ndoa. lakini pia gharama na stress za kununua vitu ambavyo sikupaswa kununua tena kunanirudisha nyuma na kunanipa hofu ya kuendeleza hali ya nyumbani.
 
Umesema umemuoa akiwa chuo probably bado ana umri mdogo sana..ana mambo ya kitoto na akili hazijakomaa.
Bado ana akili kama za wale mabinti wa chuo,hayupo tayar kuwa mke wala mama.
Pole mkuu
 
Hapa nafanyaje kumuwezesha yeye kuoa maisha hayapo hivyo???
Maana mbinu zangu zote zimeshindikana
Nyongeza.
Usimshirikishe mambo yako ya kifedha.maana tabia yake ndo hivo.
Kuwa msiri,jifanye uko broke,usishee kadi ya ATM ama namba za mpeaa nk.mpaka atapobadilika labda.
 
Why umpige tukio, unajenga ama unabomoa, ameomba msamaha msamehe, akirudia piga chini
Nilikua na maanisha baada ya kukosea na kuniomba msamaha, huwa tunakaa na wiki 2 au 3 za amani. baada ya hapo atafanya tena tukio la design hii
 
Kwa wakongwe sisi moja ya mbinu za medani ni kumpandisha cheo awe Bi Mkubwa!

Hapo atasaidiana na Bi Mdogo kufanya mipango mahsusi ya maisha.
Kusema ukweli hii inaonekana ndo suluhisho, ila tatizo nafsi yangu haitaki kabisa kusikia habari hizo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…