National Anthem
JF-Expert Member
- Aug 9, 2022
- 19,177
- 56,121
πππ Kwanza unafikiri hata yupo wa kunikubaria humu, mwanamke gani atanikubali au kunitaka mtu kama mie.. nishakubali matokeo mie naishi hivi hivi siku nikizeeka ntakaa kambi za wazeeAaah wewe hata usihangaike. Subiri subiri ufikishe 46 ndio uoe. Kwasasa utamtesa tu mtoto wa watu.
Hongera sana mwamba, kwa kuwa ni baharia mpe jina "Rikiboy" kumuenzi mjumbeKwanza namshukuru mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabiisaa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru mungu mama na mtoto wako salama
Kuna ndugu zangu walinipa support(kunipa moyo) kwenye jambo hili(kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote,
AKILI IKO HOVASππ€£
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Kwanza namshukuru mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabiisaa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru mungu mama na mtoto wako salama
Kuna ndugu zangu walinipa support(kunipa moyo) kwenye jambo hili(kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote,
AKILI IKO HOVAS[emoji23][emoji1787]
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Aaahh.. Ale mabinti za watu kimasihara!! Kutokana nimestaafu, sitaki apitie maseke yangu, kimasihara ndio ilimleta dada yae duniani π€£π.. Niko kidato cha 6 kimasihara akazaliwa kaylah. πHongera sana mwamba, kwa kuwa ni baharia mpe jina "Rikiboy" kumuenzi mjumbe
Matatizo gani?kumbuka na mataizo maana mtoto katoka JF
Hapana, siyo ajabu, ila ni sawa na kuokota embe chini ya mlimao.Ni ajabu fulani hivi eeh!!
Ahsante kaka
Ajabu?
Sahihi, niliingia niliwa nalijua, vigezo na masharti vilizingatiwa kwa 99.99999999999%Hapana, siyo ajabu, ila ni sawa na kuokota embe chini ya mlimao.
Hahahaa hapo National Anthem lazima nidese hii kitu mapema tuNimepitia bandiko lako, ambalo uliweka kwa ajiri ya kupata mwenza, uandishi wako ulikuwa safi sana..
mzabzab mwanawane fanya ukopi desa la mwana utundike tena danya ku edit vitu kadhaaa.. Lazima upate..
C.c mjumbe Mzee wa kupambania
Tuchukueni huu udesa π π
Natafuta mke
Hongera sana mkuu.Kwanza namshukuru mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabiisaa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru mungu mama na mtoto wako salama
Kuna ndugu zangu walinipa support(kunipa moyo) kwenye jambo hili(kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote,
AKILI IKO HOVAS[emoji23][emoji1787]
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
We muache tuπ€£π€£Akamsikilize mandonga alivyokuwa anameambia shaban kaoneka, adiingie kwenye ngumi kwa kupampiwa au kugeza π€£
Hamna bwana, mbona mimi nakukubali sana dogoπ€£π€£π€£πππ Kwanza unafikiri hata yupo wa kunikubaria humu, mwanamke gani atanikubali au kunitaka mtu kama mie.. nishakubali matokeo mie naishi hivi hivi siku nikizeeka ntakaa kambi za wazee
Huh!! Umenishinda tabia. Kumbe kuna mtoto wa mtu alishagalivagaaππππCillah π π π naishia kupiga vipicha vya petee tuuu kujifanya kama nimeoe mtoto wa mtu vileView attachment 2431967
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huh!! Umenishinda tabia. Kumbe kuna mtoto wa mtu alishagalivagaa[emoji134][emoji134][emoji134][emoji134]
Amakweli wanawake tuko na huruma sanaπ€£π€£