makaveli10
JF-Expert Member
- Mar 27, 2013
- 31,583
- 92,670
- Thread starter
-
- #101
Hahaa, kwa kiadi fulani, comments zangu huwa zinareflect maisha yangu ya nyuma, akili zangu na vitu vingi (masihara pia, napemda utani)ajabu ipo kwako kidogo, komenti zako zinakuwaga za kitupaki ni ngumu kujua kama wewe ni ustadhi mzuri tu na una mke na mtoto sasa π
kwa jamii forums kupata mke si ajabu kwani naamin jamii forums ni kama kioo kinareflect unachofanya, ukileta mzaha wadau wanareflect kimzaha mzaha, ukiwa serious mambo yatanakuwa serious kweli.
Acha nirudie tena.. Kumbe jf kweli ni kisima cha mafanikio π
alafu kumbe mshua na wewe ni wa buza!
Robo ya mahari nitatoa mimi.We bado unacheza cheza njoo nikuwowe mama π
πHongereni kwa kuongeza familia mkuu. Nitakuja PM uniandikie tangazo zuri la kutafuta mume
Mungu wa wote, mungu wako kivipi we mzee!? πMungu wangu! Khaaa!
Itabidi tukupe mandonga mtu kazi.ππππ....mi napiga wanaume...onhoo! But asante kwa kujaliπ
Unaweza pataUnaona waliokuwa wananipondea humu mtu anapata bwana
Amfyatue kimasihara....Itabidi tukupe mandonga mtu kazi.
Mr right wako every whereeee π ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja π
reymage Maya AngelouMr right wako every whereeee π ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja π
Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen
Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
Weee wacha nifungue pm, Mungu anaweza kunionekania na mie nije kutoa ushuhuda hapa siku za usoni π .Mr right wako every whereeee π ngoja nikae vizuri hapa naweza patamo ka HB kamoja π
Fungueni PM hizo my zanguu jamani tushonae sareee
Darlin
Lenie
Joanah
Carleen
Mkuu Makaveli, mimi na my zangu tunakutakia kila la Kheri katika familia yako.. anko wetu akuzwe katika kimo na afya njema na ampendeze Mungu na wanadamu.
Ahsante mkuuWeee wacha nifungue pm, Mungu anaweza kunionekania na mie nije kutoa ushuhuda hapa siku za usoni π .
makaveli10 hongera sana mkuu
Mungu awabariki sana na kuwa jaalia kila yaliyo mema ktk familia yenu.Kwanza namshukuru mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabiisaa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru mungu mama na mtoto wako salama
Kuna ndugu zangu walinipa support(kunipa moyo) kwenye jambo hili(kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote,
AKILI IKO HOVASππ€£
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Mtumainie Mungu hatakuacha utane tange nyikani.Weee wacha nifungue pm, Mungu anaweza kunionekania na mie nije kutoa ushuhuda hapa siku za usoni π .
makaveli10 hongera sana mkuu
Aamin mzeeMungu awabariki sana na kuwa jaalia kila yaliyo mema ktk familia yenu.