Yatafanya kazi...Unaamini?Maombi yatafanya kazi kweli mbona hata hamna tumaini kabisaa [emoji19][emoji19]
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28] Mie kukulelewa hapa aisee.. Bora nibaki kama nilivyo
Naamini π’Yatafanya kazi...Unaamini?
GoodNaamini [emoji22]
Hongera sana Mzee mwenzangu.Kwanza namshukuru mungu kwa kweli, nina furaha usingizi umepotea, hamu ya msosi sina kabiisaa toka nilivyopata kifungua kinywa, nimebahatika kunywa chai tu usiku huu.
Ndugu zangu, allah ameniruzuku mtoto wa kiume jioni ya leo, mke wangu kazaa kwa njia ya operation, namshukuru mungu mama na mtoto wako salama
Kuna ndugu zangu walinipa support(kunipa moyo) kwenye jambo hili(kusaka mke JF) si vibaya nikiwapa mrejesho, si rahisi kuwakumbuka wote,
AKILI IKO HOVASππ€£
Thread 'Natafuta mke' Natafuta mke
Nigee basi dili ππGood
Dili la nini sasa...Nigee basi dili [emoji19][emoji19]
π§π§π§π§ Sasa huyo mke mnaeniombea akipatikana atakula niniDili la nini sasa...
Na mimi ndiyo nipo nayasikilizia..
Zimefika hizo.Waoooh hongera sana..salimia kijana wetu
Nawe gusa kisomi πNataka ile kinoma, ila kila nikigusa naishiwa kutemwa kisomi π π
Shukrani sanaUbarikiwe sana....
Shukrani mzee mwenzanguHongera sana Mzee mwenzangu.
Safii sana na Ma aunt zake tupo kumpa sapoti π π π πZimefika hizo.
Nitahakikisha kijana anaupiga mwingi kama baba yake au chama kabisa.
Vijana wwanasema limeisha hilo,Safii sana na Ma aunt zake tupo kumpa sapoti π π π π
Aahh.. Mzee mwenzangu, kweli?Ujue kipind kile unanambia una mke humu jf nilichukulia kama masihara[emoji848]
Amin Amin mkuu
Au shemeji na aje na uzi wake wa shukrani[emoji4]Hongera mkuu,
weka ID ya shemeji tumtumie vijizawadi PM