Ndoa za siku hizi ni majanga

Ndoa za siku hizi ni majanga

Kupendana kulivyo kutamu..[emoji6][emoji6][emoji6]....
Ila being fake in a relationship nayo inahitaji kipaji.....[emoji854][emoji854][emoji854]
Mara nyingi wanaume tunapomfuata mwanamke huwa tunajua lengo letu ndani ya mioyo yetu.Kutamka nakupenda ni rahisi sana na kumuaminisha mtu,ila je mtu anayeghilibiwa anajua?Huo ndio ufake wenyewe!Mwanamke anaweza kufuatwa na mwanaume anayempenda kwa dhati asimuamini,au anakuwa hana uhakika akampotezea,akafuata na tapeli ambaye anataka kuona tigo yake wakati wa doggy style akamkubali,kumbe linapiga na kusepa baadaye anaolewa na mtu tu kujisitiri,unadhani pana upendo na kuhitaji masomo na mitihani?Wanawake wanabahatisha kujua kama wanapendwa au wanachezewa,sisi tunajua tunapomfuata mtu.
 
Mara nyingi wanaume tunapomfuata mwanamke huwa tunajua lengo letu ndani ya mioyo yetu.Kutamka nakupenda ni rahisi sana na kumuaminisha mtu,ila je mtu anayeghilibiwa anajua?Huo ndio ufake wenyewe!Mwanamke anaweza kufuatwa na mwanaume anayempenda kwa dhati asimuamini,au anakuwa hana uhakika akampotezea,akafuata na tapeli ambaye anataka kuona tigo yake wakati wa doggy style akamkubali,kumbe linapiga na kusepa baadaye anaolewa na mtu tu kujisitiri,unadhani pana upendo na kuhitaji masomo na mitihani?Wanawake wanabahatisha kujua kama wanapendwa au wanachezewa,sisi tunajua tunapomfuata mtu.
Kwahiyo....sisi wadada/wanawake ndio wakulaumiwa?
Kwa mtu aliyekomaa anashindwaje kutambua hapa napendwa na kuamua kutulia?
 
Kwahiyo....sisi wadada/wanawake ndio wakulaumiwa?
Kwa mtu aliyekomaa anashindwaje kutambua hapa napendwa na kuamua kutulia?
Utagundua hupendwi late,ushagegedwa unaona ukitoka ukienda kwa mtu mwingine huku umepotwza muda na kule hujui ndio hayo tena au unapendwa kweli,unajidanganya unafikiri utambadilisha.Amini Mungu kuna umri wa mtu kubadilika ukipita hata ufanyeje habadiliki.
 
Habari zenu wana jf?

Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini?
Embu twende moja kwa moja kwenye mada
Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)

Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall

Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.

Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.

Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.

Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
muulize jamaaa ndo atakuambia
 
Unafikiri shida ni ndoa? Ndoa is just an institution.

The problem is me and you. We do not know the true meaning of marriage. We only focus on the moment. Just because we can have a lavish wedding and be featured on tabloids across the country and on social media then let's go for it.

As soon as the excitement wears off and reality sinks in then hard truth hits us in the face and we realize how wrong we are.

Maisha ya ku date ni tofauti sana na ya kwenye ndoa. Makucha hufichuliwana tabia zetu halisi hujionyesha. Mengine tunaweza kuvumilia mengine hatuwezi. Uvumilivu wetu nao unatofautiana.

Sasa kuna sababu ya ku retrace footsteps zetu na kuangalia ni wapi tunakosea Ili watoto wetu wasifate nyayo zetu.
Hakika kabisaah.
 
Kwenye maisha kukiwa na mchangamano wa zaidi ya mtu mmoja ni lazima kunakuwa na kuvumiliana.

Hili ni somo/jambo ambalo wengi hatulipi uzito wa kutosha na kudhani mtu unayeoa/kuolewa naye atakuwa vile unataka/unamtaka awe.

Mwisho wa siku kuna mambo hamtaendana na wakati mwingine ni mambo ya kipuuuzi tu, kama tabia yake ya kupenda kuangalia TV mpaka usiku mnene na mengine kama hayo.
 
Unafikiri shida ni ndoa? Ndoa is just an institution.

The problem is me and you. We do not know the true meaning of marriage. We only focus on the moment. Just because we can have a lavish wedding and be featured on tabloids across the country and on social media then let's go for it.

As soon as the excitement wears off and reality sinks in then hard truth hits us in the face and we realize how wrong we are.

Maisha ya ku date ni tofauti sana na ya kwenye ndoa. Makucha hufichuliwana tabia zetu halisi hujionyesha. Mengine tunaweza kuvumilia mengine hatuwezi. Uvumilivu wetu nao unatofautiana.

Sasa kuna sababu ya ku retrace footsteps zetu na kuangalia ni wapi tunakosea Ili watoto wetu wasifate nyayo zetu.

Karusiiii nimependa KINGE chako[emoji3]
 
Habari zenu wana jf?

Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini?
Embu twende moja kwa moja kwenye mada
Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)

Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall

Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.

Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.

Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.

Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
Sahii
 
muulize vizuri rafiki yako,asilimia kubwa ya mizozo kwenye ndoa kwa sasa ni utandawazi...hizi simu zimekuwa shida kubwa sana kwenye mahusiano ni wachache sana watakaosalimika watakapokagua simu za wenzi wao,ukitaka salama,amani na kudumu kwenye mahusiano zama hizi usiguse wala kudukua simu ya mwenzi wako
 
Habari zenu wana jf?

Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini?
Embu twende moja kwa moja kwenye mada
Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)

Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall

Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.

Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.

Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.

Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?

Mkuu hii mbona imekaa muda mrefu kunandoa huwa zinavunjika ndani ya masaa 72 tu.

Ndoa inafungwa ijumaa, J3 imeisha.
 
Back
Top Bottom