Joseph lebai
JF-Expert Member
- Jul 19, 2017
- 8,452
- 8,670
Huenda walizingatia sana mafundisho ya dini yao, Nina maana tunda linaliwa baada ya ndoa, linaitwa tendo la ndoa, labda mwanaume jojoo haliwiki.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sikuhizi wanandoa tunajiona ni wakubwa kuliko taasisi ya Ndoa.
Hao wote bado hawakuwa wamekomaa kuingia ndoani. Ili ndoa idumu ni lazima kuwe na mwanandoa mmoja mkomavu anaeweza kujishusha, kuvumilia au kubeba tatizo la mwenza kuwa ni lake.
Naona jibu tayari uzi ufungwe sasaLabla hawaku-tingisha vizuri kabla ya kutumia
Heaven Sent mama mlezi please unahitajika hapa utoe neno la busara.
muulize vizuri rafiki yako,asilimia kubwa ya mizozo kwenye ndoa kwa sasa ni utandawazi...hizi simu zimekuwa shida kubwa sana kwenye mahusiano ni wachache sana watakaosalimika watakapokagua simu za wenzi wao,ukitaka salama,amani na kudumu kwenye mahusiano zama hizi usiguse wala kudukua simu ya mwenzi wako
Nina wasiwasi demu kamuambia bikra halafu jamaa kakuta tobo lipo wazi.......Habari zenu wana jf?
Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini?
Embu twende moja kwa moja kwenye mada
Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)
Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall
Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.
Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.
Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.
Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
Km wewe ni mwanamke usijaribu kusema maneno haya kwake, ni dalili ya kiburi, jeuri & likes dhidi ya mwanaume....Huo ujinga wa kuishi na mtu ambae simu yake ina mapaswed kila kona siji kuufanya.
Ina nini mpaka nisiiguse?
Na ukiona mwanaume anaiogopa sim ya mpenz wake ujue ..teyar keshamshindwa huyo mwanamke.yaan mwanamke anamtawala...mim kum.anina nikulipie mahar halaf ulete use.nge wa et kila mtu na sim yake ..ma.mae. Nakufukuza siku hyo hyo. Ndomana mi nilichoamua kwasasa nakijua mwenyew...yaan nikuwazalisha tu hawa ma slay queen..ila ndoa ..no no no..yaan nawazalisha ma slay queen kama wa 3 hiv..kila m1 watoto wawil wawil....na sioiHuo ujinga wa kuishi na mtu ambae simu yake ina mapaswed kila kona siji kuufanya.
Ina nini mpaka nisiiguse?
shida sio paswed shida ni timing...Huo ujinga wa kuishi na mtu ambae simu yake ina mapaswed kila kona siji kuufanya.
Ina nini mpaka nisiiguse?
Mnaangaika bure tuu tatizo moja tuu. Watu wanakuwa walishagegedana.Habari zenu wana jf?
Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini?
Embu twende moja kwa moja kwenye mada
Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)
Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall
Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.
Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.
Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.
Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
Aisee kutingisha kabla ya kutumia ni muhimu sanaNaona jibu tayari uzi ufungwe sasa
Huna uhakika wa ulichoandika, maana unajiuliza maswali badala ya kueleza tatizo. Je nia ni kumwaga ubuyu hapa?Habari zenu wana jf?
Ndoa za sisi vijana wa siku hizi tatizo nini?
Embu twende moja kwa moja kwenye mada
Nina rafiki yangu sana tumekuwa kama ndugu, amefunga ndoa na mchumba wake wa muda kidogo (BONGE MOJA LA HARUSI)
Kiufupi kwao pesa zipo na kwa binti pia zipo, ndugu jamaa na marafiki wamechanga sana michango, harusi yake ilikuwa na bajeti ya 27 ml. Harusi ilifanyika diamond Jubilee hall
Baada ya harusi wakapaa zao uk kwenda kunyanduana huko, kinachonisikitisa ndoa yao ina miezi miwili tu na hakuna ndoa tena.
Wote ni wakristo, Roman Catholic mpaka sasa ivi hatujajua tatizo ni nini? Kipindi cha uchumba wao walikuwa vizuri sana.
Vijana wenzangu tatizo nini? Mbona siku hizi tunaacha kirahisi sana? Nilicho kigundua siku hizi kumekuwa na ndoa za show off, utayari wa kuishi kwenye ndoa hatuna.
Watu tunajitutimua kuwachangia alafu mnaishia njiani?
makofiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiiUnafikiri shida ni ndoa? Ndoa is just an institution.
The problem is me and you. We do not know the true meaning of marriage. We only focus on the moment. Just because we can have a lavish wedding and be featured on tabloids across the country and on social media then let's go for it.
As soon as the excitement wears off and reality sinks in then hard truth hits us in the face and we realize how wrong we are.
Maisha ya ku date ni tofauti sana na ya kwenye ndoa. Makucha hufichuliwana tabia zetu halisi hujionyesha. Mengine tunaweza kuvumilia mengine hatuwezi. Uvumilivu wetu nao unatofautiana.
Sasa kuna sababu ya ku retrace footsteps zetu na kuangalia ni wapi tunakosea Ili watoto wetu wasifate nyayo zetu.
Naomba utoe neno lako la busara.Abeeeeeeeee