Ndugu zangu nawasalimu Kwa Jina la jamhuri ya Tanganyika. Mimi ni muumini wa dini ya kiislam Ambae Kwa kiasi Fulani naweza kusema Imani yangu imeteteleka kutokana...
wewe ni MUISLAM mwenye akili mingi sana jamaa!!!"nenda kwa mpemba mwambie akupimie UROJO naja lipa mzee!!" kiuhalisia, hapa Tanzania au niseme hapa DSM,kuna wakati ata wewe mwenyewe unajishindwa,,,namaanisha nini kwa kusema kujishindwa? ninamaanisha kuna wakati wewe mwenyewe unaua winga,,,yaani wewe mwenyewe mahitaji yako mwenyewe kama kula,kulala na kujitibu ni issue,,,sasa unakuta m2 ana wake 4 watoto 16,,,then kazi yake kubwa si kutafuta pesa,kazi kubwa ni kuingia msikitini na kutoka mara 5 kwa siku!!!!!!kweli ataenda MBINGUNI huyu?
Unajifanya bize kusali alafu watoto wako unawapa shida ya NJAA!!! kwanza ata wewe wakati wa swala akili yako haipo kwa ALLAH na kama ipo kwa ALLAH swala yako siku zote ni kuomba muujiza wa kujikimu na kulalamika{sikatai wala sisemi kwenda msikitini ni dhambi,,hapana,ila unaendaje wakati umejitengenezea mateso ya kujitakia}.
Yaani wewe miaka yako yote ni kuingia kwenye milango ya wake zako kwenda kuwashuhulikia,ukitoka kwa AMINA unaenda msikitini,ukitoka msikitini unaingia kwa MARIAM, ukitoka kwa MARIAM,unarudi msikitini,ukitoka msikitini unaingia kwa ZINDUNA,Ukitoka kwa ZINDUNA unarudi msikitini, ukitoka msikitini unamalizia kwa MAIMUNA!!!!! da!!! mboo ingekuwa kama pipi kifua uingeisha man!!! da!!! bize kinomanoma!!!!