Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Hajielewi huyo Baba hapo alivyo mkaba akimng'ata kengele zake atasemaje! Huyo mke akiache tu abaki mwenyewe, ukute hata huko ndani nitia maji tia maji mke anamvumilia tu nakumtunzia siri pumbafu kabisa, waliosema kujenga nyumba nakuweka vyumba anazani hawana akili kwanini kumdhalilisha mkeo hivyo , hizo chuki mpaka kwa watoto wake .
 
Umeeleza vyema sana mkuu na ndio ukweli
 
Mke hachungwi hivyo unazani yeye akitaka kucheat anajiendea tu? Kuna wakati upo kwenye gari umesimama umebanwa huwezi fanya lolote, yeye ni mkamilifu?
 
When commonsense is not common.Huyu jamaa ni mjinga haswa.Kamruhusu mwenyewe kwenda alipokwenda na kakaa mpaka saa 4 usiku.Solution ni kumkaba?Anatia aibu wanaume. Huwezi ku deal na ndoa kistaarabu usioe.
Eti kamruhusu sasa anamkaba nini badala ya kuuliza kwanza labda usafiri , mjinga kwakweli yapo mengi ya hivi lingine linaweza likamropokea tu mkewe hata mbele za watu mpaka unajiuliza huyu ni msukule part two au kitu gani
 
Kwahiyo watu wabaki kwenye ndoa iliwauane na kupigana lock up barabarani. Watu kama nyie mnafikiria kinyume. Siyo kila ndoa inatakiwa kudumu.
 
Binadamu wejaa unafiki sana yan badala ya kuduluhisha na kuamu kistaarabu basi wanaona wachukue na video ili warushe wawe wao wa kwanza kuonesha.

Huu unafiki sijui utatuisha lini dah, binadamu utu umetuisha
 
Kuna hatua ukifika tu, acha mambo yaende yenyewe.. Achana nae shika zako, ya nini ujimalize. Utapiga utauwa utaishia jela, starehe za mjini ma duniani unakosa.

Hukuzaliwa na mtoto wa mtu, ye sio wa kwanza na hawezi kuwa wa mwisho.
Piga chini vuta mali nyingine.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…