MastaKiraka
JF-Expert Member
- Jan 10, 2015
- 5,736
- 18,648
Unapigia mtu missed call 16 halafu hakuingizii hata shilingi kumi?? kweli ndoa zina vituko. Missed call 3 tu zinatosha kumrudisha mwanamke kwao akafunzwe adabu na shangazi zake.Ni mwendo wa visu juu ya gadem visu
Yeye kashahitimisha mkewe alikua kuliwa. Kazi sana ndoa hizi.Ila jamaa kweli kazingua
Unaanzaje kupigana kwa style hiyo ya mauaji na mwanamke
Yeye mwenyewe kamruhusu aende huko aliko enda huwezi jua sherehe ilipamba moto dada wa watu akawa hasikii simu
Missed calls 16 imekuwa ni lorry ya mzigo wa sigara unahangaika kujua limefikia wapiUnapigia mtu missed call 16 halafu hakuingizii hata shilingi kumi?? kweli ndoa zina vituko. Missed call 3 tu zinatosha kumrudisha mwanamke kwao akafunzwe adabu na shangazi zake.
Anapigana na mkewe kama anapigana na kibaka, mkeo umamweka chini kama lijuha vile!Ila jamaa kweli kazingua
Unaanzaje kupigana kwa style hiyo ya mauaji na mwanamke
Yeye mwenyewe kamruhusu aende huko aliko enda huwezi jua sherehe ilipamba moto dada wa watu akawa hasikii simu
Jamaa na mke wake inaonekana ni pipa na mfuniko. Vichwa tupuMissed calls 16 imekuwa ni lorry ya mzigo wa sigara unahangaika kujua limefikia wapi
Kama anavyo mpa jamaa kaamua kumpa na mwingine 😄Yeye kashahitimisha mkewe alikua kuliwa. Kazi sana ndoa hizi.
Missed calls 16 unaweza hata kuzipiga ndani ya dakika 5-8 zikafika 16Missed calls 16 imekuwa ni lorry ya mzigo wa sigara unahangaika kujua limefikia wapi
Kwanini upige simu zaidi ya mara mbili?Kitu Wanawake hawajui ni kadri mwanaume anapokupigia simu afu haupokei ndivyo inavyozidi kupandisha hasira mwanaume .
Najua wanawake wengi huona bora asipokee simu kwa kuepuka kufokewa kwenye simu na kujipa moyo kuwa akifika nyumbani watayajenga . Lakin wasichojua sisi wanaume hufafanua hiyo ni kama dharau na kuamini kile tunachokiamini kwenye akili yetu kwa wakati huo kama vile ananisariti muda huu ndyo maana hapokei simu yangu .
Tisa kumi . Unaweza kujiuliza ni nini kimepelekea huyu mwanaume kuhisi kusalitiwa ?? Kwanini hajawaza labda mkewe alikuwa mbali na simu au alikuwa simu kaiweka silent mode ??.
Hapa kwa uzoefu wangu . Jibu ni kuwa huyu jamaa huende huko nyuma alishawahi fumania mesegi au maongezi fulani ya mkewe ambayo yaliashiria usaliti na kuamua kumsamehe mkewe lakini toka hapo amekuwa hamuamini tenaaa mkewe na ndiyo maana hata simu iliposhindwa kupokelewa moja kwa moja yeye kawaza mkewe alikuwa kaenda kumsaliti tu na si vinginevyo.
Msitufanyie hivyo bana raraa rereeDr Lizzy wee cheka tu mwaka huu mwendo ni smack down tuu 😄
Salma ni nani na ilikuaje kakaMissed calls 16 lazima awe hivyo, zile za salma zilikuwa 40 akafyatuliwa ubongo.
Mkuu watu tunatofautiana kuitikia mambo,yani ukiona unaweza wa kutuliza hasira na kuzungumza na mtu kwa utaratibu unakuwa umebahatika sana! Hapo lazima Kuna mambo yanaendelea kwenye hiyo familia so hicho kimekuwa kisingizio tu, imagine saa12 mpaka saa4 usiku mkeo hapokei simu,missi calls 16,so mwamba anajua kachapiwa ndiosababu kapanikiHuyo mwanaume naye ana akili za kitoto sana.
Kama anahisi mkewe anamsaliti kwanini asiachane naye?
Kwani ndoa ni jambo la kulazimishana?
Nani anampa huyo mwanaume haki ya kumtesa au kumkaba ili kumuua huyo mkewe?
Kuna kitu kinaitwa BUSARA kikikosekana ndio mambo kama haya yanatokeaHii video ime nifikirisha sana
Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwann asingesubiri mpk wafike nyumbani