Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 301,577
- 754,412
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni swalhaSalma ni nani na ilikuaje kaka
Ukweli wanao wenyewe.Mi naona watu mnapiga kelele hapa hamuelewi wanawake wanavooperate na akili zao
Usikute jamaa alitaka wafike nyumbani ila majibu ya kijinga ya mke wake yakafanya apaki kwanza 😁
Nasema hivii hata wanawake wangekua wanaume halafu wangepata wanawake wanaojibu shit vizuri wangeelewa kwann mtu anapigwa bastola hivi hivi
Ni rahisi sana kuyaongea tu, kuyaishi ni ngumu sana mkuu. Hata ingekuwa kuachana bado hakuna wanandoa wanaoachana kwa kukata keki na kulishana. Its anger, exasperation, crossness na ghadhabu kama zote. Hata waislam ambao kwao kuachana ni rahisi, bado kunakuwa na hasira, ghadhabu nk.Ni utoto na mental health
Bora wagombanie vitu vingine Lakini sio mapenzi
Jamaa Hana chake
Mbaya zaidi polisi walivyokuja huyo mwanamke kakataa kata kata kuwa hakupigwa wakati video watu wanayo.Hao watu waliokuwa wanarekodi tu na kumbembeleza huyo mwanaume nao ni kama wapumbavu tu.
Katika hali ya kawaida huyo mwanaume alipaswa kushambuliwa kwa fimbo na mawe, raia hawakupaswa kucheka na huyo mwanaume, ndoa sio kichaka cha kufichia ukatili.
Aisee inawezekana ni kweli kabisa kwenye ndoa kuna idadi kubwa ya vichaaa eeeh!Maumivu ...maumivu..ukute hapo ni pahala tu sisi wapita njia tunaona kwa juu juu.
Huko kuna vichaa wengi sana kwenye Ndoa.
Stori ya upande mmoja hii mkuu[emoji28] bibiye nae hatujamsikiliza, au naleta ufeminist?
Ni bora kuliko kuishi maisha ya uchungu. Mbona watu wanaacha kila siku na maisha yanaendelea. Kumbuka kwamba hakuna spare ya uhai lakini wake kwa waume wamejaa kibao.Ni rahisi sana kuyaongea tu, kuyaishi ni ngumu sana mkuu. Hata ingekuwa kuachana bado hakuna wanandoa wanaoachana kwa kukata keki na kulishana. Its anger, exasperation, crossness na ghadhabu kama zote. Hata waislam ambao kwao kuachana ni rahisi, bado kunakuwa na hasira, ghadhabu nk.
Kabla ya kwenda huko alikoenda alienda saloon na wakati wa kurudi tena apitie saloon yaani wewe ungetundikwa kabisa maana hata kudanganya hujui 😄😂😂 nachekaaa ila kwa uchungu.
Nashindwa kuelewa hao wanandoa jamani, kwani wanakuwaga bado kumaliza heka heka za dunia au vipi?
Missed call 16 dada nae alishindwa nn kusema kapita saloon?
Ipo hivyo. ..sasa kama hapo unafikiri kuna uzima hapo??Aisee inawezekana ni kweli kabisa kwenye ndoa kuna idadi kubwa ya vichaaa eeeh!
Wengi tu. Kuna wengine wamefyatuliana risasi hewani juzijuzi.Aisee inawezekana ni kweli kabisa kwenye ndoa kuna idadi kubwa ya vichaaa eeeh!
Nakazia!.. Tusimlaumu tu et kisa mwanamke ndo anapigwa!.. hao ni watu wazima wanaojielewaHuyu jamaa unakuta kashasema ndani mpaka kachoka, hapo ni ile hali yaku changanyikiwa anahisi akifanya ivyo mbele za watu kuna relief atapata...... na pengine anahisi akifika ndani mwanamke labda ataomba msamaha, kuna wanawake kwenye ndoa hata akosee vipi samahani hasemi,
Unaweza usimuelewe huyo jamaa na wengi tutasema kakosea!!! Ila vipi kuhusu izo calls zote alizopiga wife alikuwa haoni???
Hii story ilinisikitisha sana. Hamna faida yoyote waliyopata zaidi ya kuacha huzuni kwenye familia zao. Hivi watu kama hawawezani kwa nini wasiachane huwa najiuliza sanaNi swalha
View attachment 2865896View attachment 2865898
![]()
JAMAA ALIYEUA MKE KWA KUMPIGA RISASI MWANZA AJIUA...MKE HAKUPOKEA SIMU ZA MMEWE MARA 37
Malunde1 blog Fahari ya Shinyanga ni blog ya Kiswahili maarufu duniani kwa habari za Matukio, Siasa, Magazeti, Nyimbo za asili na habari za kusisimua.www.malunde.com
😥😥Watoto jamaniHii story ilinisikitisha sana. Hamna faida yoyote waliyopata zaidi ya kuacha huzuni kwenye familia zao. Hivi watu kama hawawezani kwa nini wasiachane huwa najiuliza sana