raraa reree
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 11,504
- 35,520
Ila jamaa kazingua unamkaliaje mwenzio kooni namna hioMsitufanyie hivyo bana raraa reree
Tupendeni tu!!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila jamaa kazingua unamkaliaje mwenzio kooni namna hioMsitufanyie hivyo bana raraa reree
Tupendeni tu!!!
Uwii nahisi sikusoma uzi wote.Kabla ya kwenda huko alikoenda alienda saloon na wakati wa kurudi tena apitie saloon yaani wewe ungetundikwa kabisa maana hata kudanganya hujui 😄
Hasira za kikanda hizo 😂Ila jamaa kazingua unamkaliaje mwenzio kooni namna hio
Dar tu ndio tuna uwezo wa kutoa kipondo namna hii wapi kwingineUwii nahisi sikusoma uzi wote.
🤣🤣 angepita basi Tandika kununua vitambaa au hawako Dar?
Kupigana namna ile? UchiziNi rahisi sana kuyaongea tu, kuyaishi ni ngumu sana mkuu. Hata ingekuwa kuachana bado hakuna wanandoa wanaoachana kwa kukata keki na kulishana. Its anger, exasperation, crossness na ghadhabu kama zote. Hata waislam ambao kwao kuachana ni rahisi, bado kunakuwa na hasira, ghadhabu nk.
Kwamba jamaa ni wa kule kanda maalum 😄Hasira za kikanda hizo 😂
Siku hizi za kikristo wanaachana kila kukicha. Hayo ya sijui mpaka kifo kiwatenganishe huku mnaishi vyumba tofauti au mnachomana na magunia ya mjaa ni ujuha.😘 ya kikristo ubeberu mwingi....tumeshindwa jifunza hata kwa Suleiman.... Au kubaki kama masihi na paulo
Huenda labda bado hujaingia kwa ndoa, inaweza kuwa rahisi kuyaongea. Au upo kwa ndoa na mtu sahihi so hayajakukuta.Kupigana namna ile? Uchizi
😂😂😂watu wameshtukiaSiku hizi za kikristo wanaachana kila kukicha. Hayo ya sijui mpaka kifo kiwatenganishe huku mnaishi vyumba tofauti au mnachomana na magunia ya mjaa ni ujuha.
Acha upumbavu , mnaleta umalaya mkipigwa eti mnanyanyaswa, mwanamke ni kama mtoto kwa mume anastaili kichapo akifanya ujingaHiyo mbaba nae anatia aibu.. mnyanyasaji.. mp*mbavu, mke amuache libaki lenyewe.. akwende zake. *henzwi taipu.. kwani ndoa lazima.. aibu kwake sasa.. hata kazi afukuzwe mnyanyasaji wa wanawake.
Ni ujinga kukaa gerezani kisa ndoa. Binadamu tumepewa utashi ukiona unakosa amani au maisha yako yako hatarini kimbia. Hakuna spare ya uhai.😂😂😂watu wameshtukia
Hivi walikua na watoto kumbe? Yaani inaumiza sana Mungu atuepushe na mambo ya kuuana tunatesa viumbe visivyo na hatia.😥😥Watoto jamani
Sio tu Wakristo Mkuu karibia kila sampuli wanaachana! Kwa ufupi rate ya divorce imepanda kwa zaidi ya 39% duniani! Single parent families ndo zimekuwa nyingi.Siku hizi za kikristo wanaachana kila kukicha. Hayo ya sijui mpaka kifo kiwatenganishe huku mnaishi vyumba tofauti au mnachomana na magunia ya mjaa ni ujuha.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Stori ya upande mmoja hii mkuu[emoji28] bibiye nae hatujamsikiliza, au naleta ufeminist?
Check akili za wanawake zilivyo mbovu unabanwa nini kwenye gari? Mbona watu wengi tu wanapokea kwenye gari na kuwaambia watu wao wanaowapigia wasubiri washuke?Mke hachungwi hivyo unazani yeye akitaka kucheat anajiendea tu? Kuna wakati upo kwenye gari umesimama umebanwa huwezi fanya lolote, yeye ni mkamilifu?
Ni kweli.Sio tu Wakristo Mkuu karibia kila sampuli wanaachana! Kwa ufupi rate ya divorce imepanda kwa zaidi ya 39% duniani! Single parent families ndo zimekuwa nyingi.
Tatizo mmoja anakuwa tayari kashaingia kwenye stage nyingine ya ukichaa kwahiyo kwenye kufanya maamuzi ya busara inakuwa ngumu. Ilikuwa mbaya sana kwakweli.Hii story ilinisikitisha sana. Hamna faida yoyote waliyopata zaidi ya kuacha huzuni kwenye familia zao. Hivi watu kama hawawezani kwa nini wasiachane huwa najiuliza sana