Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

Ndoa zimekuwaje? Kuna Video inatrend leo Mume akimkaba mkewe na kutaka kumuua live barabarani

sa
Kitu Wanawake hawajui ni kadri mwanaume anapokupigia simu afu haupokei ndivyo inavyozidi kupandisha hasira mwanaume .

Najua wanawake wengi huona bora asipokee simu kwa kuepuka kufokewa kwenye simu na kujipa moyo kuwa akifika nyumbani watayajenga . Lakin wasichojua sisi wanaume hufafanua hiyo ni kama dharau na kuamini kile tunachokiamini kwenye akili yetu kwa wakati huo kama vile ananisariti muda huu ndyo maana hapokei simu yangu .

Tisa kumi . Unaweza kujiuliza ni nini kimepelekea huyu mwanaume kuhisi kusalitiwa ?? Kwanini hajawaza labda mkewe alikuwa mbali na simu au alikuwa simu kaiweka silent mode ??.

Hapa kwa uzoefu wangu . Jibu ni kuwa huyu jamaa huende huko nyuma alishawahi fumania mesegi au maongezi fulani ya mkewe ambayo yaliashiria usaliti na kuamua kumsamehe mkewe lakini toka hapo amekuwa hamuamini tenaaa mkewe na ndiyo maana hata simu iliposhindwa kupokelewa moja kwa moja yeye kawaza mkewe alikuwa kaenda kumsaliti tu na si vinginevyo.
sasa upumbavu mkubwa, ni kuishi na mtu usiye muamini...
 
Hii video ime nifikirisha sana
Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwann asingesubiri mpk wafike nyumbani
Ulitaka aendelee ku drive akiwa na hasira ili akapate ajali na yeye afe kwa mjinga wa mwanamke mmoja mshenz mshenzi tu.
Jamaa katumia akil sana...tena katumia akil mnoo maana alijua akifikanae home anaweza akaua.
Bora hapo hadharan watajitokeza watu wa kumuamlia ugomvi.

Jamaa ana akil sana.
Hakutaka kwenda kujishushia heshima mbele ya watoto wake
 
Stori ya upande mmoja hii mkuu😅 bibiye nae hatujamsikiliza, au naleta ufeminist?
Aah wapi namtetea mwanaume
Maelezo yako wazi kabisa
Kamruhusu mwenyewe,na alijua alipoenda ,ilikuwa arudi sa kumi na mbili,badala yake huo muda we hupokei cm mpk sa nne usiku?!!like seriously
Hapana aisee mi ndo maana Bora niwe mwenyewe unaweza ua mtu Bure sitaki mambo ya kipuuzi kabisaa
Mtu anae cheat simuwezi,simutaki
 
Back
Top Bottom