Be calm
JF-Expert Member
- May 20, 2023
- 3,766
- 8,959
Siyo maana yangu🙊Kataa ndoa kama nawaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Siyo maana yangu🙊Kataa ndoa kama nawaona
Ivo yaanNi ujinga kukaa gerezani kisa ndoa. Binadamu tumepewa utashi ukiona unakosa amani au maisha yako yako hatarini kimbia. Hakuna spare ya uhai.
Huzuni😂😂😂😂😂 Sina ujinga huo na sijawahi na Sina hata Mpango wa kufunga Ndoa 😁😁
Wengi wanateseka kisa huo ujinga
Kabisa mkuuNa hapo ndio kwenye tatizo
sasa upumbavu mkubwa, ni kuishi na mtu usiye muamini...Kitu Wanawake hawajui ni kadri mwanaume anapokupigia simu afu haupokei ndivyo inavyozidi kupandisha hasira mwanaume .
Najua wanawake wengi huona bora asipokee simu kwa kuepuka kufokewa kwenye simu na kujipa moyo kuwa akifika nyumbani watayajenga . Lakin wasichojua sisi wanaume hufafanua hiyo ni kama dharau na kuamini kile tunachokiamini kwenye akili yetu kwa wakati huo kama vile ananisariti muda huu ndyo maana hapokei simu yangu .
Tisa kumi . Unaweza kujiuliza ni nini kimepelekea huyu mwanaume kuhisi kusalitiwa ?? Kwanini hajawaza labda mkewe alikuwa mbali na simu au alikuwa simu kaiweka silent mode ??.
Hapa kwa uzoefu wangu . Jibu ni kuwa huyu jamaa huende huko nyuma alishawahi fumania mesegi au maongezi fulani ya mkewe ambayo yaliashiria usaliti na kuamua kumsamehe mkewe lakini toka hapo amekuwa hamuamini tenaaa mkewe na ndiyo maana hata simu iliposhindwa kupokelewa moja kwa moja yeye kawaza mkewe alikuwa kaenda kumsaliti tu na si vinginevyo.
Missed calls 16 unaweza hata kuzipiga ndani ya dakika 5-8 zikafika 16
Huyo jamaa kasema kamtafuta masaa manneMissed calls 16 unaweza hata kuzipiga ndani ya dakika 5-8 zikafika 16
Hujaolewa tu wewe na huna unalolijua kuhusu ndoa, waachie yanayowahusu!.Ndoa ni kama dini, watu wameaminishwa hakuna kutengana,ivo wameuza nafsi zao huko....kufa kupona
Ilikuwa zamaniNdoa ni kama dini, watu wameaminishwa hakuna kutengana,ivo wameuza nafsi zao huko....kufa kupona
Hiyo mbaba nae anatia aibu.. mnyanyasaji.. mp*mbavu, mke amuache libaki lenyewe.. akwende zake. *henzwi taipu.. kwani ndoa lazima.. aibu kwake sasa.. hata kazi afukuzwe mnyanyasaji wa wanawake.
umesikiliAza vzr maneno ya mume?Miss call 16 hapokei sim..huyo ametoka kuliwa..
Ulitaka aendelee ku drive akiwa na hasira ili akapate ajali na yeye afe kwa mjinga wa mwanamke mmoja mshenz mshenzi tu.Hii video ime nifikirisha sana
Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwann asingesubiri mpk wafike nyumbani
Ndyo ampigie katikati ya barabara jamaniumesikiliAza vzr maneno ya mume?
Alikoenda napajua,n anilimruhusu Mimi mwenyewe,sa kumi na mbili arudi,badala yake s kumi na Mbili hapokei cm mpk sa nne usiku!
Though mi Niko upande wa mwanaume
Mbona huelewek mtumishi..chagua uoande mmoja basi 😂😂umesikiliAza vzr maneno ya mume?
Alikoenda napajua,n anilimruhusu Mimi mwenyewe,sa kumi na mbili arudi,badala yake s kumi na Mbili hapokei cm mpk sa nne usiku!
Though mi Niko upande wa mwanaume
Si alijua kati kati ya barabara watatokea watu wawaamue..aliona akifika nae home anaweza akamuua..Ndyo ampigie katikati ya barabara jamani
Aah wapi namtetea mwanaumeStori ya upande mmoja hii mkuu😅 bibiye nae hatujamsikiliza, au naleta ufeminist?