ujoka
JF-Expert Member
- Nov 27, 2014
- 4,792
- 11,295
amin dingii
Wacha mbwembwe dogo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wacha mbwembwe dogo.
Sasa sista ako anapasuliwa na anayempasuaga k daily wewe inakuuma nini..?ukiwa umelelewa kwenye vituo vya watoto wanaoishi kwenye mazingira magumu huwez kuelewa hii kitu kwamba ukimtendea ukatili wa waz sista angu nikaona bas sehemu za haja kubwa zitakua rehani
kuna jamaa zangu walimvunja mguu dindi yao alikua akilewa anampiga mama yao sasa ije kua tu uyu pimbiSasa sista ako anapasuliwa na anayempasuaga k daily wewe inakuuma nini..?
Daily hao wanapigana uchi na sister ako hata hawaambii af leo wewe ujifanye kuumia wakipigana huku wamvaa nguo?😂😂😂
😂😂😂😂 hao walikua na laanakuna jamaa zangu walimvunja mguu dindi yao alikua akilewa anampiga mama yao sasa ije kua tu uyu pimbi
sisi hata mtaani kwetu tukijua unampiga mkeo mangumi tukikufuma live unachezea mangumi pia hatujali kama mnapendana au la kama mnapigana in privacy na mnavumiliana fresh tu ila ukimpiga mbele tukaona au tukasikia maana umejivunjia mwenyewe your freedom to privacy lazima tukufunze adabu mwanamke hapigwi ngumi😂😂😂😂 hao walikua na laana
Utakuja kufa kifo kisicho chako amini maneno yangu!sisi hata mtaani kwetu tukijua unampiga mkeo mangumi tukikufuma live unachezea mangumi pia hatujali kama mnapendana au la kama mnapigana in privacy na mnavumiliana fresh tu ila ukimpiga mbele tukaona au tukasikia maana umejinjia mwenyewe your freedom to privacy lazima tukufunze adabu mwanamke hapigwi ngumi
jichanganye sasaU
Utakuja kufa kifo kisicho chako amini maneno yangu!
Ndiyo mtupigeKwahiyo na nyie mkivuka mstari tuwapige
Wewe ni me au ke? Maana umetoa hoja zinazosadifu kote kote.Wake zao Wana moyo Mimi siweziiiii🙌🙌🙌
Hiyo ndo asili ya wanaume, mwanaume akiwa na mwanamke zaidi ya mmoja ni urijali, ila mwanamke akiwa na mwanaume zaidi ya mmoja ni umalaya. Wanaume tunaanza kutamani, kupenda inakuja baadae, so tuna tamaa usitushangae.Hapo mwanaume ukimsachi kwenye simu hukosi chats za wanawake kama wanne hivi
Nyege haziishagi, Wacha kututania.Pia hakikisha umemaliza nyege zako zote ndipo uingie kwenye ndoa kifo kitakuhusu
Haki hiyo alipewa siku familia ya baba mkwe walipopokea posa na ikahitimishwa na kasisi wa kanisa takatifu kwamba wao ni mke na mume.Huyo mwanaume naye ana akili za kitoto sana.
Kama anahisi mkewe anamsaliti kwanini asiachane naye?
Kwani ndoa ni jambo la kulazimishana?
Nani anampa huyo mwanaume haki ya kumtesa au kumkaba ili kumuua huyo mkewe?
Eeehh, tumefika hukoo?? Kazi ipoo, ila vdude vtamuu alooo na hizi njaa zetuu sasaHujasikia majuzi kuna kiwanda cha juice hapa nchini kilikuwa kinachanganya kemikali kwenye maabara isivyotakiwa?
Huyu lazima ni mwanaJF😅😅Hii video imenifikirisha sana. Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwanini asingesubiri mpaka wafike nyumbani.
Atakuwa ni nani embu otea 😄Huyu lazima ni mwanaJF😅😅
Na huyu bibie hapo chini 😄Atakuwa DeepPond
😂😂😂nyumbani angeua kabisaHii video imenifikirisha sana. Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwanini asingesubiri mpaka wafike nyumbani.
Ha haaa atakuwa sio member wa jf huyo maana sio mjanjaNa huyu bibie hapo chini 😄
missed calls 16 usubiri hadi nyumbani inahitaji hekima sanaHii video imenifikirisha sana. Aibu yote hii ya nini barabarani usiku ni upendo wa jamaa tuu kwa huyo mkewe ama ni nini kwanini asingesubiri mpaka wafike nyumbani.